L Lsk Senior Member Oct 10, 2011 178 26 Dec 3, 2011 #41 ...tunajua nyie wote waleta hizi mada ni vibaraka wa SHIGONGO. Njaa zinawasumbua tu nyie,pumbafu zenu...acheni vihabari vya kiudaku hivyo!!
...tunajua nyie wote waleta hizi mada ni vibaraka wa SHIGONGO. Njaa zinawasumbua tu nyie,pumbafu zenu...acheni vihabari vya kiudaku hivyo!!
Mzee JF-Expert Member Feb 2, 2011 13,597 5,788 Dec 4, 2011 #44 Kuna haja ya kuwapima watz akili zao. Hawakujua kuwa Mzee ni tapeli?.. Ndio hivyo tena babu katokea uzeeni kutokana na ujinga wa Watanzania.
Kuna haja ya kuwapima watz akili zao. Hawakujua kuwa Mzee ni tapeli?.. Ndio hivyo tena babu katokea uzeeni kutokana na ujinga wa Watanzania.