Utafiti: Wanyakyusa wana manabii na mitume wengi kuliko wayahudi

Utafiti: Wanyakyusa wana manabii na mitume wengi kuliko wayahudi

Munch wa Annabelle

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2019
Posts
6,274
Reaction score
10,838
Huu ni utafiti mdogo usio rasmi ambao unaoenesha karibu Kila mtaa au Kijiji huko Mbeya kina nabii mmoja na mtume mmoja, Hali ambayo hata UKo Kwa wayahudi Toka enzi na enzi Hadi Sasa haijwahi tokea, swali je hii comeback ya ajabu imetokea wapi?

Maana hata ukichanganya waarabu na wayahudi Kwa pamoja hawafikii idadi ya manabii na mitume ya kinyakyusa na kifaswa iliyopo mbeya na Tanzania Kwa ujumla.

Chambua
 
Huu ni utafiti mdogo usio rasmi ambao unaoenesha karibu Kila mtaa au Kijiji huko mbeya kina nabii mmoja na mtume mmoja, Hali ambayo hata UKo Kwa wayahudi Toka enzi na enzi Hadi Sasa haijwahi tokea, swali je hii comeback ya ajabu imetokea wapi?

Maana hata ukichanganya waarabu na wayahudi Kwa pamoja hawafikii idadi ya manabii na mitume ya kinyakyusa na kifaswa iliyopo mbeya na Tanzania Kwa ujumla.

Chambua
Hajajaja humo nako ni specoal zote..wanamtafuta vvilivyoo mwokozi waoooo
 
Huu ni utafiti mdogo usio rasmi ambao unaoenesha karibu Kila mtaa au Kijiji huko mbeya kina nabii mmoja na mtume mmoja, Hali ambayo hata UKo Kwa wayahudi Toka enzi na enzi Hadi Sasa haijwahi tokea, swali je hii comeback ya ajabu imetokea wapi?

Maana hata ukichanganya waarabu na wayahudi Kwa pamoja hawafikii idadi ya manabii na mitume ya kinyakyusa na kifaswa iliyopo mbeya na Tanzania Kwa ujumla.

Chambua

Bila kumsahau yule sheikh almaarufu, mwaipopo nduguye Malaria 2.
 
Back
Top Bottom