excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,861
kuzaa mapema sio tatizo sema huyo baba wa kuzaa nae anastahili kuitwa baba maana si kila mwanaume anasifa ya ubaba.
baba baba tu j.lee hata kama katosa familia.!!!
kwani wewe unataka kuzaa au unataka nini?
mahitaji yanatofautiana kutoka mwanamke mmoja kwenda mwingine!! kuna wengine wanataka kuzalishwa tu na wengine wanataka wakae mzazi mwenzie...!
wewe wasemaje ????