Jamani joanah
Ukipata muda njoo nikupe naniliu
Jamani joanah
Muda ninao ngoja nije[emoji125][emoji125]Ukipata muda njoo nikupe naniliu
Ndiooo
Wenyewe watasema ni ya matumizi yao binafsi150k hapo 50k ipo kushoto ni theluthi tu ndio inasonga front, na hiyo 500k haijawahi kueleweka wapi inaenda.
Mke ni jinsi unavyoishi nae, ukimweke kwenye mstari mzuri mbona anakaa,Maisha safi kabisaWenyewe watasema ni ya matumizi yao binafsi
Niliposoma hiyo para ya kwanza nikataka kujiuliza mkuu upo single nini.Tafiti zinaonyesha wenza wanaoweka bayana mapato yao huwa na maisha ya furaha saana na kudumu kwenye ndoa.
Mawazo binafsi.
Utakuta hiyo meseji kaiandika mtoto asiyehata na mchumba anayeishi kwa baba na mama wanaoambizana wanachoingiza kwa siku. Teknolojia imewarahisishia hata watoto wasiojua ndoa ni nini kuiongelea mitandaoni huku wanandoa wakikaa majukwaani kama huku wakiamini mawazo ya watoto wao.
Unakwama wapi mkuu kwani bado hujajua kuwa pesa ndo bwana pekee anae weza kudumu na kila demu.Habari za majukumu wakuu?
Jibu kiuhalisia na ikiwezekana toa sababu ya kutetea jibu ulilopendekeza
A) Laki mbili/200k
au
B) Laki saba/700k
View attachment 1187275
Naelewa mkuu bila pesa utaishia kuwaita shemeji tu na wanakuambia shemeji asiye na pesa ni rafiki wa dada tu sio shem [emoji38]Unakwama wapi mkuu kwani bado hujajua kuwa pesa ndo bwana pekee anae weza kudumu na kila demu.
😂😂😂😂😂😂Naelewa mkuu bila pesa utaishia kuwaita shemeji tu na wanakuambia shemeji asiye na pesa ni rafiki wa dada tu sio shem [emoji38]
[emoji38]pesa ni jeshi la mtu mmoja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo hvo wanamaanisha ukiwa shem na una pesa hata wewe unaweza pindua serikali mkuu.