Utafiti unaendelea

Utafiti unaendelea

Half american

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
45,823
Reaction score
113,405
Habari za majukumu wakuu?
Jibu kiuhalisia na ikiwezekana toa sababu ya kutetea jibu ulilopendekeza

A) Laki mbili/200k
au
B) Laki saba/700k
255762342707_status_5437724b25234e10931dac51c5b1a102.jpeg
 
Tafiti zinaonyesha wenza wanaoweka bayana mapato yao huwa na maisha ya furaha saana na kudumu kwenye ndoa.

Mawazo binafsi.

Utakuta hiyo meseji kaiandika mtoto asiyehata na mchumba anayeishi kwa baba na mama wanaoambizana wanachoingiza kwa siku. Teknolojia imewarahisishia hata watoto wasiojua ndoa ni nini kuiongelea mitandaoni huku wanandoa wakikaa majukwaani kama huku wakiamini mawazo ya watoto wao.
 
Ni hoja kama nyingine
Tafiti zinaonyesha wenza wanaoweka bayana mapato yao huwa na maisha ya furaha saana na kudumu kwenye ndoa.

Mawazo binafsi.

Utakuta hiyo meseji kaiandika mtoto asiyehata na mchumba anayeishi kwa baba na mama wanaoambizana wanachoingiza kwa siku. Teknolojia imewarahisishia hata watoto wasiojua ndoa ni nini kuiongelea mitandaoni huku wanandoa wakikaa majukwaani kama huku wakiamini mawazo ya watoto wao.
Familia haitakuwa na hela kwasababu laki tano ni ya mke na laki mbili ni ya mume
Lakini Familia ni muunganiko wa mume na mke
 
hapo ni 200k
Maana hela ya mwanamke haionekanagi inapokwenda na hapo atakupiga mzinga kwenye hiyo 200K
 
Unaambiwa hela ya familia ni 100k hyo 100k nyingn ni yake ya kusuka [emoji38]
KUNA WAKATI NLIKUA NAFANYA KAZI MKOA FULANI,
1. HUYU MAMA YEYE ALIKUA ANAFICHA SALARY SLIPS OFISINI MAANA YAKE MUMEWE HAJUI KIPATO CHAKE.
2. HUYU MAMA YEYE AKIPATA MSHAHARA ANAPELEKA NYUMBA ILA FEDHA YOYOTE NJE YA MSHAHARA HAIENDI HOME
 
Atakimbia hatoweza baki
Si umpige kipara mbaki na mzigo wote?
mume si ndo kichwa cha familia bwana mkuu
Sawa na mke ndo mnyonyaji wa familia ?
KUNA WAKATI NLIKUA NAFANYA KAZI MKOA FULANI,
1. HUYU MAMA ALIKUA ANAFICHA SALARY SLIPS OFISINI MAANA YAKE MUMEWE HAJUI KIPATO CHAKE.
2. HUYU MAMA AKIPATA MSHAHARA ANAPELEKA NYUMBA ILA FEDHA YOYOTE NJE YA MSHAHARA HAIENDI HOME
Wengi wanafanya hvyo wengine hadi wanajenga sehem nyingn na familia haijui
 
Back
Top Bottom