Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Twaweza inafanya uzinduzi wa Ripoti mbili za tafiti zake za Sauti za Wananchi siku ya Alhamisi Julai 5, 2018.
Moja inahusu Maoni ya Wananchi kuhusu ushiriki na maandamano na Ya pili inahusu Maoni ya wananchi kuhusu siasa kwa Tanzania
Uzinduzi huu utahusisha wageni waalikwa kadhaa ama wazungumzaji wakiwemo Makatibu wakuu wa ACT, CCM, TLP, NCCR, CUF na CHADEMA pamoja na Rais wa TLS, Bi. Fatma Karume.
Wengine ni Julius Mtatiro, Dr. Vicencia Shule(UDSM), Jenerali Ulimwengu, Maria Sarungi na JamiiForums' very own, Maxence Melo.
Mahali ni ukumbi wa JNICC.
Wote mnakaribishwa!
NB: JamiiForums itakuletea uzinduzi huu live kupitia kurasa zake za kijamii.