cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,586
- 8,389
1,Umri wa miaka 18 hadi 21,huwa hawapendi ngono,wanapenda mahusiano au mapenzi ambayo ngono huchukua nafasi ndogo sana
2,Umri wa miaka 22 hadi 29,hupenda waolewe,wanapenda waishi kwenye mahusiano ya ndoa,wanapenda kuanzisha familia,ukianzisha mahusiano ya kimapenzi ambayo hayakuwa na malengo ya kuoana,hujaribu kumshawishi mwanaume,mahusiano yawe na malengo ya kuwapeleka kwenye ndoa
3,30-33,ari ya kuolewa hupungua na huongezeka pale anapofika umri wa miaka 34 hadi 35,36 na kuendelea hupungua
4,Wanawake walioachika wanapenda kufanya mapenzi na mtu yoyote bila kujali umri wa mwanaume
5,Wanawake wengi waliozaa kabla ya ndoa wapo kati ya umri wa miaka 22 hadi 25
6,Wanawake waliozaa kabla ya ndoa hawapendi ngono sana tofauti na wale waliozaa kwenye ndoa na kuachika
7,Wanawake walio na umri wa miaka 25 na 30 wanapenda kutembea na wanaume wa watu ili watimiziwe mahitaji
8,Wanawake walioolewa wanachepuka na wanaume wa watu
9,Wanawake kwa makusudi hutegesha apate ujauzito na mwanaume fulani ili aolewe naye hata kama walikuwa hawana malengo hayo
10,mwanamke hutaka kuzaa na mchepuko wake aliyempenda na yupo vizuri kiuchumi hata kama yupo kwenye ndoa
11,Wanawake waliopo kwenye ndoa huwa waaminifu kwenye ndoa,ila wengi hutegemea mwanaume alivyo mwaminifu kwanza
12,Wanawake waliozaa kabla ya ndoa,watoto wao wa kwanza waliwazaa na mwanaume ambaye hakuwa na malengo naye
13,Wanawake walio na umri wa miaka 29 hadi 38 hupenda waolewe na wanaume walio single father,(wanaume waliowahi kuoa ila ndoa ikavunjika au mwenza akafariki)
14,Wanawake walio na umri 18 hadi 24 hawapendi waolewe na wanaume single father
15 Wanawake walio na umri wa miaka 24 hadi 28 wako tayari kuolewa uke wenza,29 hadi 38 hawakubali kuolewa uke wenza
Je unakubaliana na huo utafiti? Binafsi kuna vitu sijakubaliana navyo ila vingine ni vya ukweli kama namba 11
2,Umri wa miaka 22 hadi 29,hupenda waolewe,wanapenda waishi kwenye mahusiano ya ndoa,wanapenda kuanzisha familia,ukianzisha mahusiano ya kimapenzi ambayo hayakuwa na malengo ya kuoana,hujaribu kumshawishi mwanaume,mahusiano yawe na malengo ya kuwapeleka kwenye ndoa
3,30-33,ari ya kuolewa hupungua na huongezeka pale anapofika umri wa miaka 34 hadi 35,36 na kuendelea hupungua
4,Wanawake walioachika wanapenda kufanya mapenzi na mtu yoyote bila kujali umri wa mwanaume
5,Wanawake wengi waliozaa kabla ya ndoa wapo kati ya umri wa miaka 22 hadi 25
6,Wanawake waliozaa kabla ya ndoa hawapendi ngono sana tofauti na wale waliozaa kwenye ndoa na kuachika
7,Wanawake walio na umri wa miaka 25 na 30 wanapenda kutembea na wanaume wa watu ili watimiziwe mahitaji
8,Wanawake walioolewa wanachepuka na wanaume wa watu
9,Wanawake kwa makusudi hutegesha apate ujauzito na mwanaume fulani ili aolewe naye hata kama walikuwa hawana malengo hayo
10,mwanamke hutaka kuzaa na mchepuko wake aliyempenda na yupo vizuri kiuchumi hata kama yupo kwenye ndoa
11,Wanawake waliopo kwenye ndoa huwa waaminifu kwenye ndoa,ila wengi hutegemea mwanaume alivyo mwaminifu kwanza
12,Wanawake waliozaa kabla ya ndoa,watoto wao wa kwanza waliwazaa na mwanaume ambaye hakuwa na malengo naye
13,Wanawake walio na umri wa miaka 29 hadi 38 hupenda waolewe na wanaume walio single father,(wanaume waliowahi kuoa ila ndoa ikavunjika au mwenza akafariki)
14,Wanawake walio na umri 18 hadi 24 hawapendi waolewe na wanaume single father
15 Wanawake walio na umri wa miaka 24 hadi 28 wako tayari kuolewa uke wenza,29 hadi 38 hawakubali kuolewa uke wenza
Je unakubaliana na huo utafiti? Binafsi kuna vitu sijakubaliana navyo ila vingine ni vya ukweli kama namba 11