Utafiti: JamiiForums inaaminika sana. Watu huwa huru kutoa maoni hata kukiwa na sheria kandamizi

OLS

JF-Expert Member
Oct 12, 2019
419
670
Utafiti uliofanywa kwa ushirikiano wa Sabancı University, Nukta Africa, Utah State University na University of Pennsylvania. Umebaini kuwa mbali na uwepo wa sheria kandamizi watanzania huendelea kutoa Mawazo yao kwa uhuru ndani ya JamiiForums.

Utafiti huu uliofanywa na Fatih Serkant Adiguzel, Nuzulack Dausen, Diego Romero na Erik Wibbels ulichunguza athari za Sheria ya Uhalifu wa Mtandao ya 2015 nchini Tanzania kwa tabia za mtandaoni za wananchi, ambapo waliangalia kwa kuzingatia mijadala inayoendela Jamii Forum. Watafiti walikusanya data kutoka kwenye mada za kisiasa kwenye Jamii Forums kuanzia mwaka 2006 hadi 2021, ambapo walipata jumla ya machapisho milioni 11.5. Walibainisha machapisho yanayohusiana na watendaji wa serikali kwa kutumia maneno muhimu. Uchambuzi wa hisia ulifanyika kwenye machapisho haya. Utafiti pia ulichunguza idadi ya akaunti mpya na zile zilizokuwa hazishiriki mijadala jukwaa.ni
Screenshot 2023-10-28 at 08-59-53 Jamii_Forum.pdf.png

Matokeo ya utafiti huu ni kuwa, Kiasi kikubwa cha machapisho ya kisiasa kiliongezeka kabla ya utekelezaji wa Sheria ya Uhalifu wa Mtandao (Septemba-Novemba 2015). Kipindi hicho kiliambatana na uchaguzi, na sheria haikuonekana kuzuia mjadala wa kisiasa jukwaani.

Pia akaunti nyingi hazikuwa zinashiriki mijadala kabla na baada ya sheria kuanza kutumika kikamilifu mwezi wa Septemba, ikionyesha kwamba sheria ya ukandamizaji iliathiri tabia ya mtandaoni ya idadi kubwa ya wananchi waliokuwa na akaunti za awali.

Aidha kulikuwa na ongezeko za kufanya mijadala kwa watumiaji wapya muda mfupi kabla ya Sheria ya Uhalifu wa Mtandao kuanza kutumika kikamilifu, na idadi kubwa ya akaunti mpya ziliongezeka. Hata hivyo, ongezeko hili lilisimama mara tu sheria ilipoanza kutumika.

Uchambuzi wa hisia ulionyesha kuwa akaunti mpya na zile zilizokuwa hazifanyi mijadala zilikuwa na hisia sawa kuelekea watendaji wa serikali. Hii inaonyesha kwamba baadhi ya wananchi huenda walifungua akaunti mpya kwa mikakati huku wakiruhusu akaunti zao za awali kusimama ili kuepuka ukaguzi wa maudhui.

Watafiti hawa wamehitimisha kwa kuonesha kuwa Sheria ya Uhalifu wa Mtandao ya 2015 nchini Tanzania haikuzuia jumla ya machapisho ya kisiasa ya wananchi kwenye Jamii Forums. Ingawa baadhi ya akaunti zilisimama kwa muda lakini mijadala ya kisiasa dhidi ya watendaji wa serikali iliendelea.

Hii inaonesha wananchi wanaona wako salama ndani ya JamiiForums.

Hata hivyo, watu waliingia woga kidogo wiki moja baada ya sheria kufanya kazi, maelfu ya akaunti zilikuwa kimya na kulikuwa na ongezeko la akaunti mpya, japo si sawa na zile zilizokuwa kimya. Maana yake ni kuwa watu huweza kufungua akaunti mpya ili kuendelea na mijadala ikiwa tu anadhani akaunti yake ya awali inaweza kumletea sintofahamu.

Tafiti imebaini ni kweli sheria ilifanikiwa kuwanyamazisha baadhi ya wananchi na kuwazuia kushiriki kwenye majadiliano mtandaoni. Lakini kwa data za na matokeo ni kuwa watu wanaacha kutumika akaunti zao na kufungua mpya na kuendeleza moto.

Hii ndio Imani kubwa watu waliyonayo dhidi ya JamiiForums. Unaweza kuisoma tafiti hiyo hapa https://research.sabanciuniv.edu/id/eprint/48195/1/Jamii_Forum.pdf
 

Attachments

  • Jamii_Forum (2)_231002_145347.pdf
    743.8 KB · Views: 2
Miaka miwili kuna member alileta malalamiko flani.. Kuhusu Mahakama ya Mwanzo mkoa flani..
Kumbe ile issue ilifuatiliwa na kuleta balaa kwenye watendaji wa Mahakama hiyo...

Jamii forums inafuatiliwa sana.. Ukiweka jambo humu.. Linasomwa sehemu nyingi
 
Hawa jamaa wajipongeze wenyewe pia kwa kugeuzwa sugu na sheria kandamizi zilizotengenezwa na watawala, zile safari za mahakamani walizokuwa wakizifanya miaka kadhaa iliyopita na ushindi waliopata zimewakomaza, sasa wameshajua mbinu zao na namna ya kupambana nao.
 
Hii inajulikana hata kabla ya utafiti huu wa kisayansi kuwa JamiiForums ni chombo kikubwa na kinategemewa na wananchi pia serikali kwa habari

Vyuo vikuu tajwa kama University of Pennsylvania, University of South Carolina vinafuatilia mada zetu, tatizo vyuo vyetu kama Mzumbe, UDSM, SAUT n.k wanakuwa waoga kualika Jamiiforums tuingie kuwapiga muhadhara

Tundu Lissu akiwa mgeni mwalikwa kutoa muhadhara wa kuhusu uongozi na rushwa barani Afrika, habari hii inapatikana exclusive JamiiForums kwa wasomaji wa nchini Tanzania, vyombo vingine vimekacha kuongelea kiini issue zilizoibuliwa na Tundu Lissu katika mhadhara huu

Tundu Lissu |Guest Lecturer Corruption, Darla Moore School of Business, University of South Carolina
1698497205977.png
 
Siyo kutoa maoni tu. Jamiiforums ndiyo mahala pekee unaweza hata kumtukana rais na ukabakia kuwa salama.
 
Obviously Jamii forum ni chanzo cha taarifa nyingi zilizo wazi, hii inasaidia wananchi kufumua uozo wa taasisi nyingi na watendaji wao wabovu au huduma zikiwa mbovu, ina umbua watu wengi huku.
Viva JF...
 
Umuhimu wa uhuru wa habari unakaziwa na watu mashuhuri JamiiForums kuwakumbusha wanaopindisha maneno kuyaita matusi wakati kamusi ya kiswahili inayatambua kuwa ni maneno ya kawaida yasiyo kwaza utu wa mtu.

Kesi za mchongo nazo zinatumika kukaba uwepo wa uhuru, kelele za JamiiForums zimeweza kusababisha kesi hizo kufutwa au kuondolewa mahakamani.

Mifano ni mingi kuhusu mguso wa JamiiForums katika kubadilisha jamii yetu kuwa bora zaidi yenye kuheshimu uhuru, haki, demokrasia na kuchochea maendeleo ya watu .

Rowan Atkison on free speech


View: https://m.youtube.com/watch?v=xUezfuy8Qpc
Text / transcript :
“My starting point when it comes to the consideration of any issue relating to free speech is my very passionate belief that the second most precious thing in life is the right to express yourself freely. The most precious thing in life I think is food in your mouth and the third most precious is a roof over your head but a fixture in the Number 2 slot for me is free expression, just below the need to sustain life itself. That is because I have enjoyed free expression all my professional life and expect to continue to do so, I personally highly unlikely to be arrested whatever laws exist to contain free expression, because of the undoubtedly privileged position that is afforded to those of a high public profile.

So my concerns are less for myself and more for those more vulnerable because of their lower profile. Like the man arrested in Oxford for calling a police horse gay. Or the teenager arrested for calling the Church of Scientology a cult. Or the café owner arrested for displaying passages from the bible on a TV screen.

When I heard of some of these more ludicrous offences, I remembered that I had been here before in a fictional context.

I once did a show called Not the Nine O’Clock News, and we did a sketch where Griff Rhys-Jones played Constable Savage, a manifestly racist police officer to whom I, as his station commander, is giving a dressing down for arresting a black man on a whole string of ridiculous, trumped up and ludicrous charges. The charges for which Constable Savage arrested Mr. Winston Kodogo of 55 Mercer Road were these:

‘Walking on the cracks in the pavement’

‘Walking in a loud shirt in a built up area during the hours of darkness’
and one of my favourites ‘Walking around all over the place’

He was also arrested for ‘Urinating in a public convenience’ and ‘Looking at me in a funny way’.

“Who would have thought that we would end up with a law that would allow life to imitate art so exactly. I read somewhere, a defender of the status quo claiming that the fact that the gay horse case was dropped after the arrested man refused to pay the fine and that the Scientology case was also dropped at some point during the court process was indicative of a law working well, ignoring the fact that the only reason those cases were dropped was because of the publicity that they had attracted.

The Police sensed that ridicule was just around the corner and withdrew the actions. But what about the thousands of other cases that did not enjoy the oxygen of publicity? That weren’t quite ludicrous enough to attract media attention? Even for those actions that were withdrawn, people were arrested, questioned, taken to court and then released. That isn’t a law working properly: that is censoriousness of the most intimidating kind, guaranteed to have a ‘chilling effect’ on free expression and free protest.

“Parliament’s Joint committee on Human Rights summarized this whole issue well by saying ‘While arresting a protestor for using ‘threatening or abusive’ speech may, depending on the circumstances, be a proportionate response, we do not think that language or behaviour that is merely ‘insulting’ should ever be criminalized in this way’. The clear problem with the outlawing of insult is that too many things can be interpreted as such.

Criticism is easily construed as insult. Ridicule is easily construed as insult. Sarcasm, unfavourable comparison, merely stating an alternative point of view can be interpreted as insult. And because so many things can be interpreted as insult, it is hardly surprising that so many things have been, as the examples I talked about earlier show.

“Although the law under discussion has been on the statute book for over 25 years, it is indicative of a culture that has taken hold of the legislative programmes of successive governments that, with the reasonable and well-intended ambition to contain obnoxious elements in society, has created a society of an extraordinarily authoritarian and controlling nature. It is what you might call The New Intolerance, a new but intense desire to gag uncomfortable voices of dissent.
‘I am not intolerant’, say many people; say many softly spoken, highly-educated, liberal-minded people: ‘I am only intolerant of intolerance’. And people tend to nod sagely and say ‘Oh, Wise words, wise words’ and yet if you think about this supposedly inarguable statement for longer than five seconds, you realize that all it is advocating is the replacement of one kind of intolerance with another. Which to me doesn’t represent any kind of progress at all. Underlying prejudices, injustices or resentments are not addressed by arresting people: they are addressed by the issues being aired, argued and dealt with preferably outside the legislative process.

For me, the best way to increase society’s resistance to insulting or offensive speech is to allow a lot more of it. As with childhood diseases, you can better resist those germs to which you have been exposed.

“We need to build our immunity to taking offence, so that we can deal with the issues that perfectly justified criticism can raise. Our priority should be to deal with the message, not the messenger. As President Obama said in an address to the United Nations a month or so ago: ‘…laudable efforts to restrict speech can become a tool to silence critics, or oppress minorities.

The strongest weapon against hateful speech is not repression, it is more speech’ and that is the essence of my thesis; more speech. If we want a robust society, we need more robust dialogue and that must include the right to insult or to offend. Because, as someone once said, the freedom to be inoffensive is no freedom at all.

“The repeal of this clause will be only a small step, but it will I hope be a critical one in what should be a longer term project to pause and slowly rewind a creeping culture of censoriousness. It is a small skirmish in the battle to deal with what Sir Salman Rushdie refers to as the Outrage Industry: self-appointed arbiters of the public good, encouraging media-stoked outrage, to which the police feel under terrible pressure to react.

A newspaper rings up Scotland Yard: someone has said something slightly insulting on Twitter about someone who we think a national treasure: what are you going to do about it? And the police panic and they scrabble around and then grasp the inappropriate lifeline of Section 5 of the Public Order Act: that thing where they can arrest anybody for saying anything that might be construed by anybody else as insulting. They don’t need a complainant, or a real victim: they need only to make the judgment that somebody could have been offended if they had heard or read what has been said. The most ludicrous degree of latitude.

The storms that surround Twitter and Facebook comment have raised some fascinating issues about free speech. So far, we have learnt two important lessons. Firstly, that we all have to take responsibility for what we say, which is not a bad lesson to learn. And secondly, we’ve learnt how appallingly prickly and intolerant society has become of even the mildest adverse comment.

“The law should not be aiding and abetting this new intolerance. Free speech can only suffer if the law prevents us from dealing with its consequences. I offer you my wholehearted support to the Reform Section 5 campaign. Thank you.’
 
Hawa jamaa wajipongeze wenyewe pia kwa kugeuzwa sugu na sheria kandamizi zilizotengenezwa na watawala, zile safari za mahakamani walizokuwa wakizifanya miaka kadhaa iliyopita na ushindi waliopata zimewakomaza, sasa wameshajua mbinu zao na namna ya kupambana nao.
Pole mkuu , umekukala ban Nini🥺
 
Utafiti uliofanywa kwa ushirikiano wa Sabancı University, Nukta Africa, Utah State University na University of Pennsylvania. Umebaini kuwa mbali na uwepo wa sheria kandamizi watanzania huendelea kutoa Mawazo yao kwa uhuru ndani ya JamiiForums.

Utafiti huu uliofanywa na Fatih Serkant Adiguzel, Nuzulack Dausen, Diego Romero na Erik Wibbels ulichunguza athari za Sheria ya Uhalifu wa Mtandao ya 2015 nchini Tanzania kwa tabia za mtandaoni za wananchi, ambapo waliangalia kwa kuzingatia mijadala inayoendela Jamii Forum. Watafiti walikusanya data kutoka kwenye mada za kisiasa kwenye Jamii Forums kuanzia mwaka 2006 hadi 2021, ambapo walipata jumla ya machapisho milioni 11.5. Walibainisha machapisho yanayohusiana na watendaji wa serikali kwa kutumia maneno muhimu. Uchambuzi wa hisia ulifanyika kwenye machapisho haya. Utafiti pia ulichunguza idadi ya akaunti mpya na zile zilizokuwa hazishiriki mijadala jukwaa.ni
View attachment 2795405
Matokeo ya utafiti huu ni kuwa, Kiasi kikubwa cha machapisho ya kisiasa kiliongezeka kabla ya utekelezaji wa Sheria ya Uhalifu wa Mtandao (Septemba-Novemba 2015). Kipindi hicho kiliambatana na uchaguzi, na sheria haikuonekana kuzuia mjadala wa kisiasa jukwaani.

Pia akaunti nyingi hazikuwa zinashiriki mijadala kabla na baada ya sheria kuanza kutumika kikamilifu mwezi wa Septemba, ikionyesha kwamba sheria ya ukandamizaji iliathiri tabia ya mtandaoni ya idadi kubwa ya wananchi waliokuwa na akaunti za awali.

Aidha kulikuwa na ongezeko za kufanya mijadala kwa watumiaji wapya muda mfupi kabla ya Sheria ya Uhalifu wa Mtandao kuanza kutumika kikamilifu, na idadi kubwa ya akaunti mpya ziliongezeka. Hata hivyo, ongezeko hili lilisimama mara tu sheria ilipoanza kutumika.

Uchambuzi wa hisia ulionyesha kuwa akaunti mpya na zile zilizokuwa hazifanyi mijadala zilikuwa na hisia sawa kuelekea watendaji wa serikali. Hii inaonyesha kwamba baadhi ya wananchi huenda walifungua akaunti mpya kwa mikakati huku wakiruhusu akaunti zao za awali kusimama ili kuepuka ukaguzi wa maudhui.

Watafiti hawa wamehitimisha kwa kuonesha kuwa Sheria ya Uhalifu wa Mtandao ya 2015 nchini Tanzania haikuzuia jumla ya machapisho ya kisiasa ya wananchi kwenye Jamii Forums. Ingawa baadhi ya akaunti zilisimama kwa muda lakini mijadala ya kisiasa dhidi ya watendaji wa serikali iliendelea.

Hii inaonesha wananchi wanaona wako salama ndani ya JamiiForums.

Hata hivyo, watu waliingia woga kidogo wiki moja baada ya sheria kufanya kazi, maelfu ya akaunti zilikuwa kimya na kulikuwa na ongezeko la akaunti mpya, japo si sawa na zile zilizokuwa kimya. Maana yake ni kuwa watu huweza kufungua akaunti mpya ili kuendelea na mijadala ikiwa tu anadhani akaunti yake ya awali inaweza kumletea sintofahamu.

Tafiti imebaini ni kweli sheria ilifanikiwa kuwanyamazisha baadhi ya wananchi na kuwazuia kushiriki kwenye majadiliano mtandaoni. Lakini kwa data za na matokeo ni kuwa watu wanaacha kutumika akaunti zao na kufungua mpya na kuendeleza moto.

Hii ndio Imani kubwa watu waliyonayo dhidi ya JamiiForums. Unaweza kuisoma tafiti hiyo hapa https://research.sabanciuniv.edu/id/eprint/48195/1/Jamii_Forum.pdf
Nanukuu,
"
Pia akaunti nyingi hazikuwa zinashiriki mijadala kabla na baada ya sheria kuanza kutumika kikamilifu mwezi wa Septemba, ikionyesha kwamba sheria ya ukandamizaji iliathiri tabia ya mtandaoni ya idadi kubwa ya wananchi waliokuwa na akaunti za awali"


Nakazia📌📌🔨🔨
 
Uhuru tuliona hautokani na uhuru wa kutoa maoni, bali vifuatavyo;

1. Waasisi wa JF kulinda wateja wao. Hata kama wakishurutishwa kutoa taarifa juu ya mtu fulani hawatoi.

2. Matumizi ya ID fake.

3. Kwa wale wenye majina yao halisi, wanalindwa na ukweli wa wanachokiandika, pamoja na kutovunja taratibu za uandishi
 
Umuhimu wa uhuru wa habari unakaziwa na watu mashuhuri JamiiForums kuwakumbusha wanaopindisha maneno kuyaita matusi


Mbinyo mpya kwa waandishi wa habari na vyombo wanavyotumikia

29 October 2023

Marufuku 'wanaoichafua' Taaluma ya Habari Tanzania



View: https://m.youtube.com/watch?v=jZhsoDm7Eb0

Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kufikia Desemba mwaka huu 2023, Serikali itakamilisha uundwaji wa Baraza la ithibati kwa waandishi wa habari.

Matinyi ameyasema hayo jijini Dar es Salaam leo, Jumapili Oktoba 29, 2023 alipozungumza na waandishi wa habari.

Kulingana na matakwa ya sheria ya huduma za habari, Bw. Matinyi amesema baraza hilo litakuwa na wajumbe saba kutoka vyombo mbalimbali vya habari.

Bw. Matinyi ameongeza kuwa uundwaji wa baraza hilo, utafuatiwa na kuundwa kwa Baraza huru la vyombo vya habari kama inavyoelekeza sheria hiyo ya huduma za habari ya mwaka 2016.
 
Back
Top Bottom