Hilo mbona liko wazi mkuu, hata huyu katibu mkuu mpya wa wizara ya kilimo na umwagiliaji aliisha wahi
lisemea kitambo sana, sema kibongo bongo ndo twasubiri "asiye sikia la mkuu..."
Tatizo sio Kutoa Elimu bure tatizo ni kuwa anayetoa hii Elimu Bure hakujipanga kutoa Elimu bure alizungumza tu majukwaani baada ya kuona Mwingine anazungumza.
Kwa kiasi fulani imesaidia hasa kwa zile kaya maskini zaidi ila Imekuja na Changamoto.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.