Utafiti: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na ukweli wake!

Huwezi kukanusha uwepo wa Mfumo kristo kwa kuangalia idadi ya watu. Matukio ya kanisa kuingilia maamuzi ya serikali yanayowahusu watz waislamu ktk nchi yao huo ndio mfumo wenyewe. Yaani kanisa kuwa na sauti kuzidi serikali. Mfumo uliasisiwa na nyerere pamoja na askofu rugambwa laanatu-llah
 
Huwezi kukanusha uwepo wa Mfumo kristo kwa kuangalia idadi ya watu. Matukio ya kanisa kuingilia maamuzi ya serikali yanayowahusu watz waislamu ktk nchi yao huo ndio mfumo wenyewe. Yaani kanisa kuwa na sauti kuzidi serikali. Mfumo uliasisiwa na nyerere pamoja na askofu rugambwa laanatu-llah

Mkuu bado hujasema mfumo kristu upo wapi zaidi ya dhana ya kufikirika tu
 
KWA UTAFITI WAKO INAONEKANA ASILIMIA KUBWA YA WATANZANIA NI WAISLAMU,, YAAANI ASILIMIA ZAIDI YA 60%... ili utafiti wako uweze kuaminika ni kazi saaana,, MIMI NI muislamu, na 80% ya sehemu nilizowahi kufanya kazi waislamu tunakuwa hatuzidi 3.... 90% ya shule nilizosoma nikianzia shule ya msingi mpaka chuo kikuu darasani huwa hatuzidi 30% ni shule ya msingi tu ndio nakumbuka labda tulifika kama 46% ... Chuo kikuu darasani waislamu tulikuwa wanne...
college waislamu tulikuwa hatuzidi watano,,, secondari pale AZANIA waisilamu tulikuwa kwenye darasa langu hatukuzidi 10....
KAKA hii tafiti sio sahihi kwa 95%,,,,,,, ninachoweza kusema idadi ya waislamu matajiri inaweza kuzidi ila si kwa asilimia kubwa,,, Idadi kubwa ya waislamu ni masikini hasa pwani na tatizo linawezakuwa ni kweli walipuuza elimu au ulikuwa mkakati maalumu wa kuwamaliza kama inavyosemekana hili limeanzia Vatican.. na kusimamiwa na Marekani...

Tunaomba uwe mfano wewe maana umesema umesoma mpaka chuo ulikutana na vikwazo gani vya huo mfumo.
Mimi ninaamini adui wenu ni hayo mawazoya kubanguliwa. Katika watu ambao walipaswa kumnyoshea kidole nyerere ni watu wa Kilimanjaro mimi nakumbuka wakati wa utawala Mwalimu kwa mfano shule ya Umbwe na Lyamungo sec zilikuwa ni shule za misheni serekali ikataivisha baada ya hapo ilikuwa ni vigumu sana mwanafunzi kutoka ndani ya wilaya kupata nafasi kwenye hizi shule unaweza kukuta kidato cha kwanza hakina mwanafunzi hata mmoja anaetoka kwenye kata au kata za jirani asilimia kubwa walikuwa wanatoka nje ya mkoa.
Ilikuwa ni jambo la kawaida kabisa shule kutokutoa mtoto hata mmoja kwenda kidato cha kwanza sio kwamba hawakuwa na akili utaona wazazi waliogundua huo mpango wa serekali walienda kuwasomesha watoto wao mikoa mingine bila kutumia jina la ukoo baada ya kuja rais Mwinyi utaona wazazi hawakuishia kulalamika walianzisha
Shule kwa michango ya lazima wakajenga shule nyingi kwajili ya watoto wao bila kuitegemea serekali. Kwa mfano hapo ilipo shule ya Umbwe kuna secondary mbili Mlama na Somsom nieneo moja kiasi kwamba Mwalimu ana weza kufundisha shule tatu kwa Siku Moja. Kwahiyo tuache kulalamika maeneo ya Pwani unayosema mpaka leo ndiyo hayo walimu wanapangwa wanakimbia kwasababu wanalongwa wenyeji hawataki maendeleo ikiwemo elimu ndiyo tunasikia matukio chungu tele wanafunzi wanapagawa mapepo tutafute mbaya wa waisilam siyo serekali
 
Tunaomba uwe mfano wewe maana umesema umesoma mpaka chuo ulikutana na vikwazo gani vya huo mfumo.
Mimi ninaamini adui wenu ni hayo mawazoya kubanguliwa. Katika watu ambao walipaswa kumnyoshea kidole nyerere ni watu wa Kilimanjaro mimi nakumbuka wakati wa utawala Mwalimu kwa mfano shule ya Umbwe na Lyamungo sec zilikuwa ni shule za misheni serekali ikataivisha baada ya hapo ilikuwa ni vigumu sana mwanafunzi kutoka ndani ya wilaya kupata nafasi kwenye hizi shule unaweza kukuta kidato cha kwanza hakina mwanafunzi hata mmoja anaetoka kwenye kata au kata za jirani asilimia kubwa walikuwa wanatoka nje ya mkoa.
Ilikuwa ni jambo la kawaida kabisa shule kutokutoa mtoto hata mmoja kwenda kidato cha kwanza sio kwamba hawakuwa na akili utaona wazazi waliogundua huo mpango wa serekali walienda kuwasomesha watoto wao mikoa mingine bila kutumia jina la ukoo baada ya kuja rais Mwinyi utaona wazazi hawakuishia kulalamika walianzisha
Shule kwa michango ya lazima wakajenga shule nyingi kwajili ya watoto wao bila kuitegemea serekali. Kwa mfano hapo ilipo shule ya Umbwe kuna secondary mbili Mlama na Somsom nieneo moja kiasi kwamba Mwalimu ana weza kufundisha shule tatu kwa Siku Moja. Kwahiyo tuache kulalamika maeneo ya Pwani unayosema mpaka leo ndiyo hayo walimu wanapangwa wanakimbia kwasababu wanalongwa wenyeji hawataki maendeleo ikiwemo elimu ndiyo tunasikia matukio chungu tele wanafunzi wanapagawa mapepo tutafute mbaya wa waisilam siyo serekali

Ni ngumu sana kukuelewesha ukaelewa, ila ngoja nijaribu kadili niwezavyo,,, kwenye comment yangu nimeandika hivi "inawezekana walipuuzia kweli elimu au ni mkakati maalumu wakufanya wawe hivyo" uelewe kwanza hiyo kauli, pili futa kwenye kichwa chako kwamba wanaokaa mikoa ya pwani ni waislamu peke yao, mfano MTWARA wakristo ni wengi.... waisamu ni wachache... KIGOMA na TABORA inawezekana waislamu wakawa wengi kuliko huko PWANI... suala la kubaguliwa waislamu kielimu huwezi kulielewa kama unakuwa na mawazo ya upande mmoja... ila jiulize kama mkoloni alitaka watu wote wasome kwa nini alianzisha shule za kanisa na muislamu kusoma mpaka ubadili dini?? mfano akina kawawa na hili limesababisha Kingunge hana dini mpaka sasa... kwani kuna tofauti gani ya kibinadamu kati yako wewe mkristo na muislamu halafu wewe ukapenda kizuri muislamu akapenda kibaya?? wewe ukapenda shule na muislamu akachukia shule?? Muislamu anayezungumziwa hapa si wa dar es salaam ila ni yule wakule kijijini kabisa, au wewe huoni akina mama wanalalamikia mfumo ni mfumo dume na unakandamiza wanawake? mimi na wewe tunaliona hili???

Suala la uchawi haliko uko pwani unakosema wewe,, suala hili hata kanda ya ziwa lipo!!! au huoni mauji ya vikongwe shinyanga kwa imani za ushirikina?? Watu wa pwani wameshindwa kwenda shule ni kwa sababu ya uduni wa maisha na si vinginevyo, je unajua uduni huu wa maisha umeletwa na nani na kwa misingi ipi??? hizo shule unazosema zipo kilimanjaro ni za nani???? maana me nao nyingi ni st marry, st aug ni st st st.... sasa sijui mwananchi wa kilimanjaro alichangia nini hapa...

hili suala ni pana sana kaka na limeanzia mbali sana,, unahitaji kufanya uchunguzi kuanzia Europe na America,,,, halafu utapata majibu kwa nini waarabu wako vitani miaka yote.... kwani wao hawaipendi amani kama wewe unavyoipenda?? maana nao ni binadamu!!!

kwa taarifa yako hata kwenye KORAN muislamu ameambiwa asome!! sasa sijui inakuwaje wakaichukia tena elimu!!
 
Ni ngumu sana kukuelewesha ukaelewa, ila ngoja nijaribu kadili niwezavyo,,, kwenye comment yangu nimeandika hivi "inawezekana walipuuzia kweli elimu au ni mkakati maalumu wakufanya wawe hivyo" uelewe kwanza hiyo kauli, pili futa kwenye kichwa chako kwamba wanaokaa mikoa ya pwani ni waislamu peke yao, mfano MTWARA wakristo ni wengi.... waisamu ni wachache... KIGOMA na TABORA inawezekana waislamu wakawa wengi kuliko huko PWANI... suala la kubaguliwa waislamu kielimu huwezi kulielewa kama unakuwa na mawazo ya upande mmoja... ila jiulize kama mkoloni alitaka watu wote wasome kwa nini alianzisha shule za kanisa na muislamu kusoma mpaka ubadili dini?? mfano akina kawawa na hili limesababisha Kingunge hana dini mpaka sasa... kwani kuna tofauti gani ya kibinadamu kati yako wewe mkristo na muislamu halafu wewe ukapenda kizuri muislamu akapenda kibaya?? wewe ukapenda shule na muislamu akachukia shule?? Muislamu anayezungumziwa hapa si wa dar es salaam ila ni yule wakule kijijini kabisa, au wewe huoni akina mama wanalalamikia mfumo ni mfumo dume na unakandamiza wanawake? mimi na wewe tunaliona hili???

Suala la uchawi haliko uko pwani unakosema wewe,, suala hili hata kanda ya ziwa lipo!!! au huoni mauji ya vikongwe shinyanga kwa imani za ushirikina?? Watu wa pwani wameshindwa kwenda shule ni kwa sababu ya uduni wa maisha na si vinginevyo, je unajua uduni huu wa maisha umeletwa na nani na kwa misingi ipi??? hizo shule unazosema zipo kilimanjaro ni za nani???? maana me nao nyingi ni st marry, st aug ni st st st.... sasa sijui mwananchi wa kilimanjaro alichangia nini hapa...

hili suala ni pana sana kaka na limeanzia mbali sana,, unahitaji kufanya uchunguzi kuanzia Europe na America,,,, halafu utapata majibu kwa nini waarabu wako vitani miaka yote.... kwani wao hawaipendi amani kama wewe unavyoipenda?? maana nao ni binadamu!!!

kwa taarifa yako hata kwenye KORAN muislamu ameambiwa asome!! sasa sijui inakuwaje wakaichukia tena elimu!!

Labda nikuulize swali dogo hizo shule zinazoanza na st ni za kikristo tu?mbona nyng tunaziona zinaanz st lakini ni za binafsi na sio za mission na zinachukuwa dini zote.
 
kwa taarifa yako siku hizi karibia mapadri wote lazima wasome na most of them ni miaka minne ya upadre then shule, asilimia karibia 30 wana masters. usijetaka linganisha mapadre na maskheih utakimbia ndugu hapo ni tembo na sisimiz
PUNGUZA JAZBA MKUU WAKRISTO HUJITAHID KUDHIBITI HISIA, LILE SWALI NILIELEKEZA KWA WANAOLALAMIKA KUWEPO KWA MFUMO KRISTU, NIKAWA NAWAAMBIA MIMI TU KATIKA KUWAFAHAMU WACHACHE MNO KATI YA MAPADRI, TAYARI NILIOKUTANA NAO WANA ELIMU KUANZIA DIGRII KWENDA JUU, PIA NAWAFAHAMU MAPRO WATATU, YAANI MMIMI AMBAYE HATA KUTEMBEA SIJATEMBEA SANA. MASHEIKH NAWAFAHAMU MLUKUKI ILA SIKUMBUKI KAMA NAMFAHAMU HATA WA FORM SIX MMOJA, LABDA MMOJA.:lol:
 
Ni ngumu sana kukuelewesha ukaelewa, ila ngoja nijaribu kadili niwezavyo,,, kwenye comment yangu nimeandika hivi "inawezekana walipuuzia kweli elimu au ni mkakati maalumu wakufanya wawe hivyo" uelewe kwanza hiyo kauli, pili futa kwenye kichwa chako kwamba wanaokaa mikoa ya pwani ni waislamu peke yao, mfano MTWARA wakristo ni wengi.... waisamu ni wachache... KIGOMA na TABORA inawezekana waislamu wakawa wengi kuliko huko PWANI... suala la kubaguliwa waislamu kielimu huwezi kulielewa kama unakuwa na mawazo ya upande mmoja... ila jiulize kama mkoloni alitaka watu wote wasome kwa nini alianzisha shule za kanisa na muislamu kusoma mpaka ubadili dini?? mfano akina kawawa na hili limesababisha Kingunge hana dini mpaka sasa... kwani kuna tofauti gani ya kibinadamu kati yako wewe mkristo na muislamu halafu wewe ukapenda kizuri muislamu akapenda kibaya?? wewe ukapenda shule na muislamu akachukia shule?? Muislamu anayezungumziwa hapa si wa dar es salaam ila ni yule wakule kijijini kabisa, au wewe huoni akina mama wanalalamikia mfumo ni mfumo dume na unakandamiza wanawake? mimi na wewe tunaliona hili???

Suala la uchawi haliko uko pwani unakosema wewe,, suala hili hata kanda ya ziwa lipo!!! au huoni mauji ya vikongwe shinyanga kwa imani za ushirikina?? Watu wa pwani wameshindwa kwenda shule ni kwa sababu ya uduni wa maisha na si vinginevyo, je unajua uduni huu wa maisha umeletwa na nani na kwa misingi ipi??? hizo shule unazosema zipo kilimanjaro ni za nani???? maana me nao nyingi ni st marry, st aug ni st st st.... sasa sijui mwananchi wa kilimanjaro alichangia nini hapa...

hili suala ni pana sana kaka na limeanzia mbali sana,, unahitaji kufanya uchunguzi kuanzia Europe na America,,,, halafu utapata majibu kwa nini waarabu wako vitani miaka yote.... kwani wao hawaipendi amani kama wewe unavyoipenda?? maana nao ni binadamu!!!

kwa taarifa yako hata kwenye KORAN muislamu ameambiwa asome!! sasa sijui inakuwaje wakaichukia tena elimu!!

....kwa unachokisema kwa upande mwingine ni kweli lakini..turudi kwny historia,

Wamishionar walkuja kueneza dini za kikristo km sehem ya kuwatawala waafrika, na waljtahd kujenga makanisa km lililopo Zanzibar km sehemu ya kuwabdlsha watu kiimani na c hvyo tu walpojenga makanisa waljtahdi huduma za msingi km hospitali znaptkana ili kuwavuta watu.

Wengi waliosoma shule hzo walkua watoto wa machifu na wafanyakaz wa kikoloni, wakt wa vuguvugu la uhuru kwny miaka ya 1950's makanisa mengi ya watu weus yalianzshwa yalyokua yanapnga ukoloni(independent church ) na yakaja na mifumo hile hile kanisa, shule, hospital...
Kama njia ya kupata waumini ililazimu watu wacyo wakristu wacsome shule hzo kwa sabbu mbali mbali.
1. Hofu ya watoto wao kubadir dini kwani walfundshwa pua na elimu ya dini na sheria za dini hucka shuleni ilbd kila mwanafunzi azfuate

2. Dhana ya makafir; kafir ni mtu ambae c muislam ilchangia wengi wacsome shule hzo za seminar.

Pamoja na mambo mengi, hvyo baada ya uhuru serikali ya Jk nyerere kutambua tabaka kubwa la wasomi ltakua la watt wa wafanyakaz na watu wenye uwez pamoja na wakristu ikadi shule nyingi hzo za mission kutaifshwa na kuwa za serikali.

Kwa mfano Mwanza shule nyng zlkua chini ya kanisa kama vile Ngaza sec, Nsumba, bwiru ambazo ni shule kubwa mpk leo na Mwanza sec ambayo ilkua chini wa wahindi na kufanya elimu iwe ruksa kwa wote.

Rais wetu alsoma shule ya mission ambayo ilkua chini ya kanisa na alkua muislam na c dhani km albadr jina ili apate nafas pale

DHANA YA MFUMO KRISTU.
Kama historia inavyosema hali hii hakuna halyeijenga bali na watu wenyw kuofia watt wao kuchangankan na makafr na kubdl dini hofu hii ndyo ibajenga dhana ya mfumo kristo kwa kudhani
 
Boss, nachukulia mashaka data zako. utafiti ulichukua muda gani? kwa maana kwa idadi uliyoainisha hapo juu, ina mana kama ulitumia mwaka mmoja, kwa wastani ulihoji watu 1000 kwa siku.

siku moja ina dakika 1440 kwahiyo ili kuhoji watu 1000 kwa siku, utatumia dakika 1.4 ka kila mtu, na hapo na assume wanakufuata wewe wamepanga foleni na unafanya kazi masaa 24 bila kupumzika mwaka mzima.

ungetufafanulia umekusanyaje takwimu zako kutuaminisha, ingekua vizuri boss wangu
 
huwezi kukanusha uwepo wa mfumo kristo kwa kuangalia idadi ya watu. Matukio ya kanisa kuingilia maamuzi ya serikali yanayowahusu watz waislamu ktk nchi yao huo ndio mfumo wenyewe. Yaani kanisa kuwa na sauti kuzidi serikali. Mfumo uliasisiwa na nyerere pamoja na askofu rugambwa laanatu-llah
hoja si kwa kanisa kutozungumza pale serikali inapozungumza.hoja ni kipi kinachojadiliwa na "mantiki"yake.kama taasisi ina wajibu wa kushauri,ili mambo nchi ienende na misingi tuliyojiwekea kama taifa.sasa haiwezekani watu wanyamaze hata kwenye mambo ya hatari yanayopitishwa na serikali.nguvu ya hoja ndio iamue kama hili linafaa kwa taifa na lina maslahi kiasi!!!dini hizi zitusaidie kumjua mungu na kutenda mema.zisitufanye tuchukiane na kuonana maadui.kila wakati kabla ya kufanya kitu,tujiulize(ni kweli mungu anataka haya?).kama ambavyo tumekuwa na maoni na mitizamo tofauti kwenye "mambo mengi ya msingi",yatupasa tuelewane mungu karuhusu hali hiyo itokee.kama vile mtu mmmoja na anavyokuwa na "akili" zaidi ya mwingine,fahamu mungu "karuhusu hali hiyo itokee".kwa hiyo yatupasa kufahamu kuwa "hata hili la dini tofauti"mungu karuhusu litokee vilevile.kiuhasilia hatuwezi kufanana kwa kila kitu.tofauti zipo tokea adamu na hawa!!!!tukiyaelewa haya na kuyaishi nadhani duniani kutakuwa sehemu nzuri ya kuishi.
Nani anayebisha haya maneno????((mungu ametuumba ili tumjue,tumpende na kumtumia yeye???)).sasa huu ugomvi na kidini unatoka wapi???
 
hoja si kwa kanisa kutozungumza pale serikali inapozungumza.hoja ni kipi kinachojadiliwa na "mantiki"yake.kama taasisi ina wajibu wa kushauri,ili mambo nchi ienende na misingi tuliyojiwekea kama taifa.sasa haiwezekani watu wanyamaze hata kwenye mambo ya hatari yanayopitishwa na serikali.nguvu ya hoja ndio iamue kama hili linafaa kwa taifa na lina maslahi kiasi!!!dini hizi zitusaidie kumjua mungu na kutenda mema.zisitufanye tuchukiane na kuonana maadui.kila wakati kabla ya kufanya kitu,tujiulize(ni kweli mungu anataka haya?).kama ambavyo tumekuwa na maoni na mitizamo tofauti kwenye "mambo mengi ya msingi",yatupasa tuelewane mungu karuhusu hali hiyo itokee.kama vile mtu mmmoja na anavyokuwa na "akili" zaidi ya mwingine,fahamu mungu "karuhusu hali hiyo itokee".kwa hiyo yatupasa kufahamu kuwa "hata hili la dini tofauti"mungu karuhusu litokee vilevile.kiuhasilia hatuwezi kufanana kwa kila kitu.tofauti zipo tokea adamu na hawa!!!!tukiyaelewa haya na kuyaishi nadhani duniani kutakuwa sehemu nzuri ya kuishi.
Nani anayebisha haya maneno????((mungu ametuumba ili tumjue,tumpende na kumtumia yeye???)).sasa huu ugomvi na kidini unatoka wapi???
kumtumikia
 
Rahisi kupima
Weka jedwali la wateuzi wote wa rais awamu hii
Ratio inatisha
Labda ni 90 kwa 10
Jamaa kawasahau kabisaaa
 
Back
Top Bottom