Waislamu wa Tanzania hawaijui Dini yao?

Vichekesho

JF-Expert Member
Mar 28, 2024
546
1,082
Ni hivi, viongozi kadhaa wa dini ya kiislamu hapa nchini katika mawaidha yao hudai kuwa ni haramu kuchelewesha mwili wa marehemu hata kama alikuwa kiongozi akifa azikwe fasta fasta.

Sasa kafariki Rais wa Iran (nchi yenye watu wanaoujua na kuuishi uislamu kukiko waislamu wa buza), amefariki tangu tarehe 19 na leo ni tarehe 22 bado hawajazika, wana aga tu, kesho ndiyo watazika.

Nataka mashehe wangu waje hapa waseme ni nani anaujua uislamu zaidi kati yao na hawa majamaa, ikumbukwe kuwa huyu mzee alikuwa kiongozi wa kidini tena yule mkereketwa, na Iran wana mpaka mchinjaji wa taifa anayechinja watu wanaokana uislamu na kufanya makosa mengine kinyume na sharia.
 
Kwahiyo wa Iran wamefanya haramu?
Pia naomba ujifunze dini ya kiislamu kuna mambo ya hiari na ya lazima faradha suala la mazishi sio la lazima lina flexebility kubwa kama kuna sababu, uislamu una logic sana kuliko dini zote duniani.

Hapo Iran hawana haramu yoyote ata wakiamua kukaa wiki nzima bado wako sahihi yule ni kiongozi wa nchi kuna protocal
 
Wewe bhn usichokijua ni kwamba waweza muona mtu ni mwarabu na asiijue dini yake, Usichukilie kigezo cha kuwa yeye ni mwarabu then dini itakuwa imemkaa sana kichwani.

Tofautisha kati ya mtu aliyesoma dini na mtu mwenye asili ya uarabu. Huna content Mkuu, Plus kuwa yeye alikuwa Raisi wa Inchi so ni serikali ndo inahusika na mazishi yake
 
Waheshimu wenzako na dini yao hata kidogo.

Hupungukiwi kitu,Hizi ID sababu hujulikani zisikupe kiburi Mungu anakuona.
Utakuja kupata madhira ukimbilie msilitini na unawatusi watu wa watu.
Soma vyema andiko mkuu, wapi nimekashfu mtu? Nimeuliza ili kujua nani yupo sahihi, nani mwongo
 
Kuna dini na kiongozi wa nchi. Kiongozi wa nchi ni mali ya serikali. Anapofariki serikal husimamia taratibu zote, haijalishi dini yako
Kwamba maamuzi ya serikali tena serikali ya kidini yana-override taratibu za kidini ambazo serikali hiyo hiyo inapaswa kuzisimamia? Let's be serious! The point is, kuchanganya dini na siasa ni mbaya.
 
Mmh Ufaransa ina wa kuristu 97% wamepokea ushogaa watanzania wako 30% wakristu wamegomea ushogaa, kwahiyo wataka kuwafuata kwasbb ni wengi na wanajua ukristo kuzidi nyie huku,......?
Umelewa au umevuta!? Takwimu ya wapi hiyo kuwa Wakristo Tz ni 30%? Kwa Takwimu ya mwisho hapa nchini Wakristo ni 60% ya Watanzania wote, hizo takwimu za madrasa wapelekee hukohuko madrasa muendelee kujifariji.
 
Back
Top Bottom