Utafiti: CCM chini ya Kinana imeimarika mara dufu

Utafiti: CCM chini ya Kinana imeimarika mara dufu

utaifakwanza

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
14,193
Reaction score
2,815
CCM kwa sasa ndio chama kilichobeba matumaini ya watanzania. Ni chama chenye dira na mwelekeo bora wa maendeleo.

Katibu mkuu wa chama hicho kanali Abdulrahman Kinana amekirudisha chama hicho katika chati na hivi sasa hakina tena mpinzani.

Wananchi waliohojiwa Dsm, Pwani,Morogoro,Iringa,Dodoma,Mwanza,Arusha,Ruvuma na Mbeya wametoa majibu yafuatayo.

1. Heri tuendelee kuongozwa na CCM tunayoijua waliosema hivyo ni 75%
2.Tuna imani na CCM 80%
3.CCM itashinda uchaguzi 2015 81%
4.CCM inapendwa nchini kuliko vyama vingine 79%
5.Upinzani bado ni mchanga kukabidhiwa dola 70%
6.Hatuna imani na upinzani 73%
7.Kinana na sekretariate yake wanaongoza chama vizuri 74%
8.Kinana aendelee kuwa katibu mkuu 89%
 
CCM kwa sasa ndio chama kilichobeba matumaini ya watanzania. Ni chama chenye dira na mwelekeo bora wa maendeleo.
katibu mkuu wa chama hicho kanali Abdulrahman Kinana amekirudisha chama hicho katika chati na hivi sasa hakina tena mpinzani.

Wananchi waliohojiwa dsm, pwani,morogoro,iringa,dodoma,mwanza,arusha,ruvuma na mbeya wametoa majibu yafuatayo.

1. heri tuendelee kuongozwa na ccm tunayoijua waliosema hivyo ni 75%
2.tuna imani na ccm 80%
3.ccm itashinda uchaguzi 2015 81%
4.ccm inapendwa nchini kuliko vyama vingine 79%
5.upinzani bado ni mchanga kukabidhiwa dola 70%
6.hatuna imani na upinzani 73%
7.kinana na sekretariate yake wanaongoza chama vizuri 74%
8.kinana aendelee kuwa katibu mkuu 89%
inategemea walikuwa wanauliza kundi la aina gani, kama mataaira unategemea majibu gani...kama si hivyo walikuwa wana kereka na maswali ya kipuuzi waka wanajibu ili kutoa kiwingu.. au labda hao jamaa ni majuha kiasi hawajui habari za EPA, ESCROW, RICHMOND, UNGA, WIZI WA TWIGA, MATOKEA DUNI YA KIELIMU, KURA ZA MARA YA MWISHO ZA USHINDI WA CCM. MELI YZ KUBEBEA NDOVU na uchafu mwingine mwingi tu....
 
CCM kwa sasa ndio chama kilichobeba matumaini ya watanzania. Ni chama chenye dira na mwelekeo bora wa maendeleo.
katibu mkuu wa chama hicho kanali Abdulrahman Kinana amekirudisha chama hicho katika chati na hivi sasa hakina tena mpinzani.

Wananchi waliohojiwa dsm, pwani,morogoro,iringa,dodoma,mwanza,arusha,ruvuma na mbeya wametoa majibu yafuatayo.

1. heri tuendelee kuongozwa na ccm tunayoijua waliosema hivyo ni 75%
2.tuna imani na ccm 80%
3.ccm itashinda uchaguzi 2015 81%
4.ccm inapendwa nchini kuliko vyama vingine 79%
5.upinzani bado ni mchanga kukabidhiwa dola 70%
6.hatuna imani na upinzani 73%
7.kinana na sekretariate yake wanaongoza chama vizuri 74%
8.kinana aendelee kuwa katibu mkuu 89%
Naunga mkono hoja
 
CCM kwa sasa ndio chama kilichobeba matumaini ya watanzania. Ni chama chenye dira na mwelekeo bora wa maendeleo.
katibu mkuu wa chama hicho kanali Abdulrahman Kinana amekirudisha chama hicho katika chati na hivi sasa hakina tena mpinzani.

Wananchi waliohojiwa dsm, pwani,morogoro,iringa,dodoma,mwanza,arusha,ruvuma na mbeya wametoa majibu yafuatayo.

1. heri tuendelee kuongozwa na ccm tunayoijua waliosema hivyo ni 75%
2.tuna imani na ccm 80%
3.ccm itashinda uchaguzi 2015 81%
4.ccm inapendwa nchini kuliko vyama vingine 79%
5.upinzani bado ni mchanga kukabidhiwa dola 70%
6.hatuna imani na upinzani 73%
7.kinana na sekretariate yake wanaongoza chama vizuri 74%
8.kinana aendelee kuwa katibu mkuu 89%

Mkuu, hilo halina ubishi
 
Hata Mimi nakubali sana CCM kusema ukweli mko vizuri ndio maana hata hapa jukwaani mko wengi sana ( Lizaboni utaifakwanza Simiyu Yetu wenston sengoro Chabruma (huyu kaokoka) CHAMVIGA Ritz ) na baadhi yao misimamo yao haileweki.

Labda kwakuongeza hapo tu Kinana ni Mtendaji mzuri sana ndio maana hata midugo pori inazidi kupungua.......
 
Last edited by a moderator:
Hata Mimi nakubali sana CCM kusema ukweli mko vizuri ndio maana hata hapa jukwaani mko wengi sana ( Lizaboni utaifakwanza Simiyu Yetu wenston sengoro Chabruma (huyu kaokoka) CHAMVIGA Ritz ) na baadhi yao misimamo yao haileweki.

Labda kwakuongeza hapo tu Kinana ni Mtendaji mzuri sana ndio maana hata midugo pori inazidi kupungua.......
wewe leo uko peke yako mkuu, yeriko, mtoi, haki sawa walikuwa night nini?
 
Last edited by a moderator:
inategemea walikuwa wanauliza kundi la aina gani, kama mataaira unategemea majibu gani...kama si hivyo walikuwa wana kereka na maswali ya kipuuzi waka wanajibu ili kutoa kiwingu.. au labda hao jamaa ni majuha kiasi hawajui habari za EPA, ESCROW, RICHMOND, UNGA, WIZI WA TWIGA, MATOKEA DUNI YA KIELIMU, KURA ZA MARA YA MWISHO ZA USHINDI WA CCM. MELI YZ KUBEBEA NDOVU na uchafu mwingine mwingi tu....
mataahira hawatazidi watu 17, 000 walioohojiwa na tume ya Waryoba
 
Nikumbushe yule CCM aliyemnyang'anya MHAMBO mke? Jina lake la pili nimelisahau, la kwanza anaitwa Wilbroad
Hapa ndipo uwezo wenu wa kufikiri ulipogotea!! ndiyo maana hata Bunge la katiba linawatokea puani kwa sasa!! na bado.
 
Hapa ndipo uwezo wenu wa kufikiri ulipogotea!! ndiyo maana hata Bunge la katiba linawatokea puani kwa sasa!! na bado.

Ukweli unaumae, au ulikuwa unaongelea unyang'anyi gani wewe?
 
inategemea walikuwa wanauliza kundi la aina gani, kama mataaira unategemea majibu gani...kama si hivyo walikuwa wana kereka na maswali ya kipuuzi waka wanajibu ili kutoa kiwingu.. au labda hao jamaa ni majuha kiasi hawajui habari za EPA, ESCROW, RICHMOND, UNGA, WIZI WA TWIGA, MATOKEA DUNI YA KIELIMU, KURA ZA MARA YA MWISHO ZA USHINDI WA CCM. MELI YZ KUBEBEA NDOVU na uchafu mwingine mwingi tu....

unashauriwa kutumia kichwa kufikiri badala ya kufugia nywele
 
Back
Top Bottom