Utafiti: CCM chini ya Kinana imeimarika mara dufu

Utafiti: CCM chini ya Kinana imeimarika mara dufu

CCM kwa sasa ndio chama kilichobeba matumaini ya watanzania. Ni chama chenye dira na mwelekeo bora wa maendeleo.

Katibu mkuu wa chama hicho kanali Abdulrahman Kinana amekirudisha chama hicho katika chati na hivi sasa hakina tena mpinzani.

Wananchi waliohojiwa Dsm, Pwani,Morogoro,Iringa,Dodoma,Mwanza,Arusha,Ruvuma na Mbeya wametoa majibu yafuatayo.

1. Heri tuendelee kuongozwa na CCM tunayoijua waliosema hivyo ni 75%
2.Tuna imani na CCM 80%
3.CCM itashinda uchaguzi 2015 81%
4.CCM inapendwa nchini kuliko vyama vingine 79%
5.Upinzani bado ni mchanga kukabidhiwa dola 70%
6.Hatuna imani na upinzani 73%
7.Kinana na sekretariate yake wanaongoza chama vizuri 74%
8.Kinana aendelee kuwa katibu mkuu 89%

Inategemea sample, aina ya mtafiti mwenyewe na malengo ya mwajiri wake; maana "he who pays the piper calls the tune"
Mtu gani mwenye akili timamu anayeweza kuamini matokeo yoyote ya utafiti wa jini fulani linaitwa REDET! au kumsikiliza mtu anaitwa Dr. Bana!! lazima ujitoe akili kwanza.
 
Inategemea sample, aina ya mtafiti mwenyewe na malengo ya mwajiri wake; maana "he who pays the piper calls the tune"
Mtu gani mwenye akili timamu anayeweza kuamini matokeo yoyote ya utafiti wa jini fulani linaitwa REDET! au kumsikiliza mtu anaitwa Dr. Bana!! lazima ujitoe akili kwanza.

Hizo ndizo taasisi zinazoaminika kwa sasa kwa tafiti zenye uhakika, au ulitaka tafiti zifanyike humu Jf mnasemaje?
 
CCM - Oyee!!!! Kidumu chama cha Mapinduziii......

images


wheelbarrow_ambulance_harare.jpg

wodizetu.jpg


ari_mpya_nguvu_mpya.jpg


masai+shule+ya+msingi.jpg
 
ccm mtabaki kuwa mataahira siku zote, mambo yamekuwa magumu sasa hv mmeamua kujifariji wenyewe
 
ccm mtabaki kuwa mataahira siku zote, mambo yamekuwa magumu sasa hv mmeamua kujifariji wenyewe

Unaongea kinyume mkuu, mambo magjmu kwa CHADEMa hadi wamebadili jina wanajiita UKAWA, lakini bado ngoma nzito
 
ccm hii haiawahi kutokea ni zaidi ya ccm ya kawaida kinana ni kiboko yao.
 
ccm mtabaki kuwa mataahira siku zote, mambo yamekuwa magumu sasa hv mmeamua kujifariji wenyewe

Tatizo lenu vijana mnaotoka kwenye familia za matahila mnadhani kila mtu ni tahila.
 
inategemea walikuwa wanauliza kundi la aina gani, kama mataaira unategemea majibu gani...kama si hivyo walikuwa wana kereka na maswali ya kipuuzi waka wanajibu ili kutoa kiwingu.. au labda hao jamaa ni majuha kiasi hawajui habari za EPA, ESCROW, RICHMOND, UNGA, WIZI WA TWIGA, MATOKEA DUNI YA KIELIMU, KURA ZA MARA YA MWISHO ZA USHINDI WA CCM. MELI YZ KUBEBEA NDOVU na uchafu mwingine mwingi tu....
Mkuu achana na haya mazuzu yanajitekenya na kujicheka yenyewe tena yanaenda mbali kwa kujitia na vidole kabisa! kama hiyo reseach imefanyika kwa wanaCCM wenyewe unategemea matokeo gani? Arusha ipi maana kama ni Monduli hamna CCM kuna LOWASA tu!
 
Haisaidii hata ukiweka picha za misukule wa CHADEMA, si ndiyo maisha waliochagua kwani walitumwa na CCM.?
mapovu ya nini kaka? timizeni ahadi zenu za kuwapatia watanzania Maisha bora kama mlivyojinadi 2010 kwamba "Maisha bora kwa kila mtanzania".
 
Tembo wote walioko kwenye hifadhi wameisha kwa sababu ya huyu msomali shit!!!!!
 
hakuna chama cha wajinga kama hiki ccm yule kina kipara na kidomo kama bwabwa vile
 
Back
Top Bottom