winner forever
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 1,094
- 269
CCM kwa sasa ndio chama kilichobeba matumaini ya watanzania. Ni chama chenye dira na mwelekeo bora wa maendeleo.
Katibu mkuu wa chama hicho kanali Abdulrahman Kinana amekirudisha chama hicho katika chati na hivi sasa hakina tena mpinzani.
Wananchi waliohojiwa Dsm, Pwani,Morogoro,Iringa,Dodoma,Mwanza,Arusha,Ruvuma na Mbeya wametoa majibu yafuatayo.
1. Heri tuendelee kuongozwa na CCM tunayoijua waliosema hivyo ni 75%
2.Tuna imani na CCM 80%
3.CCM itashinda uchaguzi 2015 81%
4.CCM inapendwa nchini kuliko vyama vingine 79%
5.Upinzani bado ni mchanga kukabidhiwa dola 70%
6.Hatuna imani na upinzani 73%
7.Kinana na sekretariate yake wanaongoza chama vizuri 74%
8.Kinana aendelee kuwa katibu mkuu 89%
Sina sababu ya kupingana na wewe ila nilitaka kufahamu:
- Je chini ya uongozi wa Kinana CCM imechukua majimbo mangapi kutoka upinzani na kuyarudisha CCM?
- Je imeongeza kata ngapi za uchaguzi kutoka upinzani na kuzirudisha CCM?