Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,561
- 19,056
Tatizo wasugiaji wengine wanambwembwe na madoido sana! Wanaosha na kusugua miguu ya wadada in a way you can say romanticallySasa mnataka wasuguliwe na nani hao wake zenu
Tatizo wasugiaji wengine wanambwembwe na madoido sana! Wanaosha na kusugua miguu ya wadada in a way you can say romanticallySasa mnataka wasuguliwe na nani hao wake zenu
sasa si ili huduma iwe nzuri mteja afurahi au?Tatizo wasugiaji wengine wanambwembwe na madoido sana! Wanaosha na kusugua miguu ya wadada in a way you can say romantically
Acha kudharau Kazi za watu,matusi hayo mfungashie mwanamke wako kama hutaki apate huduma hiyoMuelimishe mkeo kwamba atapata magonjwa na fungas sugu zisizopona kwa kutumia vifaa vya kuchonolea makucha vya hao nyambizi
Harafu sio nzuri kwa afya ya ndoa yetu
We mtu unashikwa vidoleni mpaka unajisikia nyege K inalowa mbele ya mwosha kucha je si hatari hiyo ikitokea dogo akajiongeza kidogo tu si anakula mzigo
Ole wako nimkute huyo nyoko hapa nitamkata masikio
Fyuuuuuuu.......
Raha mpate nyie huku waume zenu roho zinaturuka! Kwani huwezi kujisugua mwenyewe? Wanawake hasa wake za watu siku hizi mnarahisisha sana mambo, itafika wakati mtaona poa tu hata kufanyiwa body massage na midume huku mmejifunga taulo la kiuno mkiwa mpo chupiless!sasa si ili huduma iwe nzuri mteja afurahi au?
Kama roho zinawaruka si mtusugue???Raha mpate nyie huku waume zenu roho zinaturuka! Kwani huwezi kujisugua mwenyewe? Wanawake hasa wake za watu siku hizi mnarahisisha sana mambo, itafika wakati mtaona poa tu hata kufanyiwa body massage na midume huku mmejifunga taulo la kiuno mkiwa mpo chupiless!
Tukiwasugua mtakuja na demand nyingine kua mikono ya waumeme zenu migumu mnawataka vijana wa kusuguaKama roho zinawaruka si mtusugue???
Wanafanyiwa scrub huku kichwa kimeekwa kwenye manyonyoTuachieni mr kucha wetu wanatupa raha. Nyie mnavyoenda kunyoa huko masaloon mnapetiwa na kukandwa na wadada ambao wako kimitegotego mnaona raha.
Mkuki kwa nguruwe.....
Sugua kwanza ulalamikiwe ndio uongee....Tukiwasugua mtakuja na demand nyingine kua mikono ya waumeme zenu migumu mnawataka vijana wa kusugua
Tatizo lenu hamna jema mkisuguliwa kwa nguvu mtasema 'hee unasugua mpaka moto unawaka' , mkisuguliwa ki romantic mtasema 'bora yule kijana huyu mume hawezi, kalegeeea'Sugua kwanza ulalamikiwe ndio uongee....
Halafu mnapeenda kushindana, mengine mmezee tunaenda kunyoa ili kuweka personality nzuri kwenye vikao maofisini na kwenye deals ili tulete msoc nyumbaniTuachieni mr kucha wetu wanatupa raha. Nyie mnavyoenda kunyoa huko masaloon mnapetiwa na kukandwa na wadada ambao wako kimitegotego mnaona raha.
Mkuki kwa nguruwe.....
sasa kuepusha maneno maneno acheni kina Mr Kucha wafanye yaoTatizo lenu hamna jema mkisuguliwa kwa nguvu mtasema 'hee unasugua mpaka moto unawaka' , mkisuguliwa ki romantic mtasema 'bora yule kijana huyu mume hawezi, kalegeeea'
Tunalazimika tu basi kuwaachia hao kina Mr Kucha, tutafanyaje sasa na nyie mkishikilia jambo utafikiri mmechanjiwa nalo...ila roho zinatuuma mjuesasa kuepusha maneno maneno acheni kina Mr Kucha wafanye yao
wenyewe tunafanya hivo kujikeep swafi miguu isuguliwe iwe laini na ipendeze, la sivo mna maneno ooh mke tangu nimuoe ni mchafu urembo kaweka pembeni....Halafu mnapeenda kushindana, mengine mmezee tunaenda kunyoa ili kuweka personality nzuri kwenye vikao maofisini na kwenye deals ili tulete msoc nyumbani
Si uniambie nikununulie vifaa halafu dada wa kazi anakusugua kama hajui unamfundisha, kwani lazima ukasuguliwe saloon?wenyewe tunafanya hivo kujikeep swafi miguu isuguliwe iwe laini na ipendeze, la sivo mna maneno ooh mke tangu nimuoe ni mchafu urembo kaweka pembeni....
Mmmh yani dada wa kazi anisugue miguu? Kwanini sio mme? Siwezi kumpa dada hiyo kaziSi uniambie nikununulie vifaa halafu dada wa kazi anakusugua kama hajui unamfundisha, kwani lazima ukasuguliwe saloon?
Kutengeneza kucha tunataka kuwa smart pia. Vitu vidogo sana hivyo acheni kulalamika.Halafu mnapeenda kushindana, mengine mmezee tunaenda kunyoa ili kuweka personality nzuri kwenye vikao maofisini na kwenye deals ili tulete msoc nyumbani
Mmmh yani dada wa kazi anisugue miguu? Kwanini sio mme? Siwezi kumpa dada hiyo kazi[/QUOTE
Haaa! Si unaona sasa, yaani dada wa kazi hutaki ila Mr Kucha akusugue kiroho safi na pesa unampa! Na pesa zenyewe nimekupa mimi umetaka za kwenda kutangeneza nywele kumbe wakandwa kandwa miguu na kidume! Mnatutaftiaga kesi kwa hao Mr Kuchas