Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,561
- 19,056
Uwamuzi wa busara huonitampaka mwenyewe
Uwamuzi wa busara huonitampaka mwenyewe
Umeona eeh! Usilolitaka wewe wengine wanalitafuta, kuna mtu humu katika kuchangia uzi flani alisema anatafuta sana mwanamke mwenye kujambajamba! Sasa sijui alimpata?kweli kila mtu ana fantasy zake.
Hapana aisee, sio kwa lugha ileUtakuja kurudisha hadi pesa sikumoja, pengine waambiwa biko imekutembelea wee unailaani bahati
Umeona eeh! Usilolitaka wewe wengine wanalitafuta, kuna mtu humu katika kuchangia uzi flani alisema anatafuta sana mwanamke mwenye kujambajamba! Sasa sijui alimpata?
Wambie hao, waheshimu kazi za watu wivu waajabu waweke pembeni...Ujue ifikie kipindi tuacheni dhana mbaya kwamba kila mpaka rangi kucha basi anakuwa na tabia zilizo mbovu juu ya mteja wake mi nakataa aisee.
Kiukweli ile ni kazi na kama mteja kamuita akatae? Hapo shida itakuwa kwa mwanamke sio bure ikiwa mtu kaja kukuosha kucha na wewe unajitanua tanua pasi kujijali na kujiheshimu unadhani huyo muosha kucha afanyeje sasa.
Wakati wao wenyewe hawana huo muda wala interestSasa mnataka wasuguliwe na nani hao wake zenu
Ahsante sana mtani.Kweli mtani ndio mana ukabaki mjini peke yako unabusara
Hahaaa. Umeonaee.Wambie hao, waheshimu kazi za watu wivu waajabu waweke pembeni...