Utafanyaje kwenye situation kama hii?

Yaani akificha halafu huko mbeleni ikaja gundulika na huyo mshkaji ndo italeta bifu ila ktk hatua za mwanzo kabisa hizi amwambie asifiche, hakuna kibaya hapo
 
nausema ukweli haraka sana....halafu namtuma aseme na ndugu yake aache visa

Sawa bibie atamwambia kaka mtu kuwa mdogo wake aliwahi kumtongoza; kaka mtu ataaminije kuwa mdogo mtu hakula uroda endapo siku ya siku atagundua kuwa bi harusi hakuwa na bikira?
 
Sawa bibie atamwambia kaka mtu kuwa mdogo wake aliwahi kumtongoza; kaka mtu ataaminije kuwa mdogo mtu hakula uroda endapo siku ya siku atagundua kuwa bi harusi hakuwa na bikira?

Hata kama dogo alikula tunda si tatizo sana,kwani amemuambia yeye bado sealed?Suala ni kusema ukweli tuu kwa sababu hayo yote yalitokea kabla hawajafahamiana.Madhara ya ukweli uwa ni madogo kuliko madhara ya uongo.Awe makini kwani ndo anajenga msingi wa ndoa yake sasa,akileta utoto kwishne.
 
swala ni kusema tu ukweli kama mdogo wake mliwahi kukutana kipindi cha nyuma akarusha ndoana ikatoka bila kitoweo ndo sababu za bifu iliyopo
 
swala ni kusema tu ukweli kama mdogo wake mliwahi kukutana kipindi cha nyuma akarusha ndoana ikatoka bila kitoweo ndo sababu za bifu iliyopo


hehehehe!

Ni ngumu kidogo,akisema ukweli pia ana risk kuvunja ushusiano kati ya kaka mtu na mdogo mtu, ujue hawa ni ndugu wa damu na hilo bifu halitaisha, ataaminije kama hakufunua, kisha akala especially kama tamkuta kuwa hana ile kitu?

Pili, ni coincidence ya namna gani kumkatalia mdogo mtu kisha kukutana na kaka mtu na kumkubalia? ni one of those rare cases.

Mi namshauri apime vizuri madhara ya kusema au kutosema. Ikiwezekana wamalizane kwanza wao wawili. suala la kuwa eti walikutana kabla hajamwona kaka mtu linakuwa gumu kuamini ukichukulia ni ndugu moja,,

au kune ukweli hatuambiwi hapa, kuwa mdogo mtu alifunua kiukweli na sasa kinamuuma kuwa kaka yake anapewa free?
 
Hata kama dogo alikula tunda si tatizo sana,kwani amemuambia yeye bado sealed?Suala ni kusema ukweli tuu kwa sababu hayo yote yalitokea kabla hawajafahamiana.Madhara ya ukweli uwa ni madogo kuliko madhara ya uongo.Awe makini kwani ndo anajenga msingi wa ndoa yake sasa,akileta utoto kwishne.

bwana kama dogo alikula tunda ni tatizo /kikwazo huwezi kushea penzi na ndugu jamani mtakuwa mnaangalianaje ndani ya nyumba ???
 
Hata kama dogo alikula tunda si tatizo sana,kwani amemuambia yeye bado sealed?Suala ni kusema ukweli tuu kwa sababu hayo yote yalitokea kabla hawajafahamiana.Madhara ya ukweli uwa ni madogo kuliko madhara ya uongo.Awe makini kwani ndo anajenga msingi wa ndoa yake sasa,akileta utoto kwishne.
Kama dogo alishamega litakuwa tatizo tena kubwa tu. Kwanza kaka atakosa imani kabisa na ndugu yake punde anapokuwa na shemeji yake. Unajua mapenzi ni mchezo wa ajabu, unaweza ukakuta dogo na shemeji yake wakaanza kuvinjari kidogo kidogo na itakuwa hatari sana kwa ndugu hawa wawili. Ilishatokea ishu kama hii mtaani kwetu, ila kaka mtu akaamua kuachana na demu wake baada ya kupewa ukweli kuwa dogo alikuwa anamega kabla ya wawili hao kujuana.
 
Kama ni kweli mdogo mtu alimtongoza msichana na msichana akamtolea nje na mambo yakaishia hapo sioni tatizo msichana kumweleza mume mtarajiwa. Lakini kama msichana aliwahi kumkubalia mdogo mtu na sasa anataka kuolewa na kaka mtu nilazima BIFU litakuwepo kati ya wawili hawa ambapo anaona kama anataka kuwachanganya ndugu. Hili ni jambo la hatari kwa usalama wa ndoa tarajiwa. OGOPA WIVU WA MAPENZI HASA KWA NDUGU
 
hapo ni kumuambia ukweli tu rafiki. kama alivyosema mchangiaji mmoja. ukweli utakuweka huru tena ni vizuri huyo mume wake akasikia ukweli huo toka kwa mwanamke kuliko kusikia kutoka kwenye other sources of which he may get an edited version of the true story.
 
HAkuna harm kumueleza ukweli mumewe. Hata kama ana wivu akumbuke hii ilikuwa kabla hawajakutana na mdogo mtu hakukubaliwa!
 
Ukweli ni nguzo katika mahusiano ya mapenzi.Bora umwambie mapema kabla mambo hayajamfikia.Maana akijua,kabla ya kuambiwa na wewe hatakuamini kiurahisi.Be open ,tell him-then you will solve the problem.
 
Back
Top Bottom