Utafanyaje kama umeongezewa chenchi?

Utafanyaje kama umeongezewa chenchi?

Marco Seth

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2022
Posts
4,699
Reaction score
5,676
FB7198B8-5CD3-4B14-8B6F-23831D817704.jpeg


Kuna muda unakuta Dukani amenunua kitu alafu muuzaji anajisahau anakuongezea chenchi pasipo yeye kujua

Je ghafla ghafla tu umepokea chenchi umeona umeongezewa alf muuzaji yupo busy

Utafanyaje ?

Na Unajiskiaje na alf ulikuwa hauna hela ?
 
Angalia aina ya Duka ulilonunua kama unaona anajiweza unapita nayo ila kama ni la kuunga unga rudisha tu..
Kuna duka walikuwa na utaratibu ,Kuna muda mkienda kuzidishiwa chenji kawaida ,ukirudisha wanachukua hata hawasemi Asante ila ndio hata usoni hawakuangalii,


Msimamo wangu rudisha chenji, huwezi kula ambako hukupanda maadam wewe ni mwanadamu
 
View attachment 3377460Kuna muda unakuta Dukani
Umenunua kitu alf muuzaji anajisahau
Anakuongezea Chenchi pasipo yeye kujua

Je ghafla ghafla tu umepokea chenchi
Umeona umeongezewa alf muuzaji yupo busy

Utafanyaje ?
Na Unajiskiaje na alf ulikuwa hauna hela ?
Unarejesha mara moja maana si pesa yako. La sivyo ni kosa la uwizi. Uaminifu ni pamoja na kupokea kilicho halali kwako tu. Au jiulize: je, ungekuwa wewe ungefurahi unaporejeshewa chenji uliyokosea kumpa mteja? Kumbuka kuwa unachopenda kutendewa, vivyo hivyo watendee wengine.
 
View attachment 3377460Kuna muda unakuta Dukani
Umenunua kitu alf muuzaji anajisahau
Anakuongezea Chenchi pasipo yeye kujua

Je ghafla ghafla tu umepokea chenchi
Umeona umeongezewa alf muuzaji yupo busy

Utafanyaje ?
Na Unajiskiaje na alf ulikuwa hauna hela ?

Sasa vichenji hivyo vya elfu moja au mbili vitakupeleka wapi? Unavirudisha tu.
 
Back
Top Bottom