Utafanyaje kama ni wewe

Utafanyaje kama ni wewe

induna's

Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
40
Reaction score
3
Kuna jamaa alikuwa anafanya usafi ndani ya ndege mara akapata kitabu,kitbu hicho kinamaelezo ya kuendesha ndege, jamaa kila akisoma anafanya na kitendo!!!!ikaanza jinsi ya kuwasha akawasha, ikafuata jinsi ya kupaisha akapaishaaa sasa akiwa na ndege angani akaendelea kusoma but
Kilichofuata akafka mwisho wa kitabu na imeandikwa kwakiendelea mbele na somo kasomee kozi miaka 5 je mwenzangu ungefanyaje na upo angani
 
Kwa kuwa hii ni story haina shida ila katika uhalisia wake ni kitu kisichowezekana kabisa
 
Hapo najipeleka Ukraine ili ndege itunguliwe.
Nalog off
 
Back
Top Bottom