Utafanya nini ukimfumania mkeo/mumeo akichepuka?

Utafanya nini ukimfumania mkeo/mumeo akichepuka?

Utachukua maamuzi gani endapo utamkuta live akifanya ngono. Je?
1. Utamuacha na kutengana naye.

2. Utampiga huyo anayechepuka naye.

3. Utampiga huyo mwenza wako.

4. Utawapiga wote wawili.

5. Utasamehe tu na kufanya ni siri ya ndani.


Nini hasa utafanya.

na mimi nitaomba nimgegede wife hapo hapo nilipomfumania
 
kitu cha kwanza nitakachofanya ni kujirudi na kujaji je mimi sijawahi kuchepuka? kama sijawahi kutengana ni haki lakini kama na mimi niliwahi namsamehe. tunakaa tunazungumza life go on. ila lazima mabadiliko yaanzie kwangu mwenyewe.

"kipimo kile kile upimacho ndicho utakachopimiwa" usihukumu .....................
 
Mkristo wa kweli anajua ameagizwa kusamehe hata 7 x 70 kwa siku.
KUSAMEHE NI LAZIMA KUAMBATANE NA KUSAHAU PAPO KWA PAPO.
NI asilimia 8.7543%
Wenye kusamehe na kusahau
 
Mwanafunzi wa kweli wa Yesu Kristo,atabeba msalaba wake katika ndoa; yaani majaribu ya ndoa yake.
{MARKO 8:34;MK10:2-12}

So inamaana unahalalisha watu wafanye nje ya ndoa Kwa kisingizio wasamehewe, huo ni wehu kutafuta ushindi Kwa kupitia mwingine kama anachepuka hakuna kuhurumiwa Kwa kisingizio chochote ni kwamba achukue mchepuko na amuache mwenzie Kwa wema kabisa.
 
Inategemea kaliwa na nani, kama kaliwa na mwenye pesa na hb kuliko mimi nipo tayari kumsamehe. Kinyume na hapo nidharau kubwa ipasayo adhabu sawia.
 
Sijaona jibu kati ya hayomyote mkuu,....mbona sijaona la kuwaua wote wawili ili wasiniletee kichefuchefu kila niwaonapo.
 
Mi ntawaruhusu waendelee kungonoka, wakimaliza wanitaarifu. Baada ya kumaliza tutaendelea kuishi kwa kuogopana kwa muda mpaka ama tuachane au nimsamehe.
 
Back
Top Bottom