Cha kwanza sitapata usingizi.. nikipata ni nje ya NET.
Pili simu yake iwe haipatikani.. unaweza kujua haina chaji kumbe kazima tu, sasa wewe huku unatamani umrushie bando la TANESCO
Cha kwanza sitapata usingizi.. nikipata ni nje ya NET.
Pili simu yake iwe haipatikani.. unaweza kujua haina chaji kumbe kazima tu, sasa wewe huku unatamani umrushie bando la TANESCO
Post inaonyesha nshasomesha mkuu... Ila kweli kusomesha mwanamke bora ufate taratibu za kisheria uwachukue watoto yatima kwenye vituo uwapige tafu na Mungu atakubariki sana
mkuu mwanamke acha kabisa, ni mama zetu ila acha tu akili zao wanazijua wenyewe, hapo inawezekana kakutana na mwanachuo mwezake kamdanganya kakuona hufai.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.