Utachukua atua gani.!??

Utachukua atua gani.!??

upo kwenye mausiano na msichana na unampenda sana, baada ya wiki 3 kwny mauxiano, unagundua kua kwenye mkono wa kushoto ameweka vizuia mimba yaan "vinjiti" utachukua a2a gan....?!?
Mbona niliwahi gundua na niliendelea kuipiga
 
Nitaona anajitambua na yupo makini, kwani umemkuta bikra? alikuwa anajilinda huko atokapo na aendapo.
 
upo kwenye mausiano na msichana na unampenda sana, baada ya wiki 3 kwny mauxiano, unagundua kua kwenye mkono wa kushoto ameweka vizuia mimba yaan "vinjiti" utachukua a2a gan....?!?
Umeandika thread yako kwa kutumia maneno ya kike kike sana.......
mauxiano...
a2a....
 
Hapan hakua bikra!!?
Basi kama ni hivyo furahia umepata mwanamke anajua thamani yake ya kujilinda na mimva zisizotarajiwa, Ukimwi unaua kapime kabla ya mambo mjuane afya zenu. Asante.
 
Nic
Basi kama ni hivyo furahia umepata mwanamke anajua thamani yake ya kujilinda na mimva zisizotarajiwa, Ukimwi unaua kapime kabla ya mambo mjuane afya zenu. Asante.
Axante Mkuu
 
kwani na wewe unavyogegeda kwa kutumia condom yeye anachukua hatua gani au huyo anatofautianaje na wewe?
 
upo kwenye mausiano na msichana na unampenda sana, baada ya wiki 3 kwny mauxiano, unagundua kua kwenye mkono wa kushoto ameweka vizuia mimba yaan "vinjiti" utachukua a2a gan....?!?
Nitafurahi na kumuona anajitambua kuweka njia za uzazi haimaanishi ni malaya ila kujitambua na kujua kuwa kuitengeneza kesho yako kunaanzia kwenye mahusiano uliyonayo au unataka apate mimba alafu uanze kuisi ni yangu au si yangu na kuanza kupiga hesabu
 
Mi nmemwambia avtoe,,,, vp ntakua npo wrong!!?
Avitoe unataka kumuowa au ipi dhamira yako kwake kama hutaki kumuowa acha kujipa majuku yasiyokuusu na acha kumpelekesha ili uonekane kidume
 
Back
Top Bottom