brave Mwafrika
JF-Expert Member
- May 2, 2019
- 248
- 143
upo kwenye mausiano na msichana na unampenda sana, baada ya wiki 3 kwny mauxiano, unagundua kua kwenye mkono wa kushoto ameweka vizuia mimba yaan "vinjiti" utachukua a2a gan....?!?
Si namuacha tuuuupo kwenye mausiano na msichana na unampenda sana, baada ya wiki 3 kwny mauxiano, unagundua kua kwenye mkono wa kushoto ameweka vizuia mimba yaan "vinjiti" utachukua a2a gan....?!?
Unamuoa ili hata akitoa hivyo vinjiti umtie mimba mpate watoto
Vijana fikra zao haziendi mbali. Hawazii akimtandika mimba binti wa watu si ajabu yeye mwenyewe bado anakula ugali wa wazazi, maisha yanahitaji kuwa na mawazo ya kesho na keshokutwa.Asipoelewa hapa hatoelewa teena
upo kwenye mausiano na msichana na unampenda sana, baada ya wiki 3 kwny mauxiano, unagundua kua kwenye mkono wa kushoto ameweka vizuia mimba yaan "vinjiti" utachukua a2a gan....?!?
No ckumchunguza ila iltokea 2 nkavxhkaKwanini ulimchunguza??
So utomuacha!??Nitamshukuru maana ataniepusha na dhambi ya kukimbia mimba
Mi nmemwambia avtoe,,,, vp ntakua npo wrong!!?Nachapa kwa kondomu kisha namuacha. Huyo ni community woman, analambwa na kila mtu, dalili ni hivyo vijiti.
Cjakuelewa mkuu, nan askali apo..!!? NannkifanykeULIWAHI KUONA WAPI ASKARI ANAKWENDA VITANI BILA BULLETPROOF???
So nn kifanyke!!?Vijana fikra zao haziendi mbali. Hawazii akimtandika mimba binti wa watu si ajabu yeye mwenyewe bado anakula ugali wa wazazi, maisha yanahitaji kuwa na mawazo ya kesho na keshokutwa.
Anatamani amtie mimba amtelekeze kisha aje aanzishe thread ya kuwaponda mama zetu kwa kuwaita single mother
So utomuacha!??
Vijana jiepusheni na mimba zisizopangiliwa kwakuwa kuacha kufanya ngono hadi mtakapooana ni jambo gumu sana, njia mojawapo ya kujikinga ni hiyo ya vijitiSo nn kifanyke!!?
ULIWAHI KUONA WAPI ASKARI ANAKWENDA VITANI BILA BULLETPROOF???
Oky, axantemwanaume akimbii K nitakuwa namchapa na kinga huyo anaonekana ni cha wote that's why anaogopa mimbari
So yey mwanamke yupo xawa!!???Vijana jiepusheni na mimba zisizopangiliwa kwakuwa kuacha kufanya ngono hadi mtakapooana ni jambo gumu sana, njia mojawapo ya kujikinga ni hiyo ya vijiti
Hahahahah umewaza kuxema ivyo!!?Teh teh teh in gwajima mguno