Utabiri wangu kuhusu Derby umenitafakarisha sana

Utabiri wangu kuhusu Derby umenitafakarisha sana

Muimba SINGELI

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
4,211
Reaction score
10,860
Tajiri hasalimii..

UFAFANUZI KWA KIFUPI.

Ninaposema siamini uwepo wa Mungu simaanishi Mungu hayupo, pengine yupo au hayupo ila ni mimi ndiyo siamini.

Na ndiyo maana huitwa:
Imani  za kidini.
Imani za kishirikina nk.

Juzi nilitabiri kuhusu Dabi ya kariakoo na pengine utabiri wangu umeingia katika tabiri 5 nilizo zishuhudia humu jf ambazo zilitimia kwa asilimia zisizopungua 80.

1.
kuna jamaa alitabiri matokeo ya mechi zote mbili za fainali ambayo simba ilicheza na RS Berkane na mechi zote mbili alipatia.

2. kuna jamaa aliwahi kuleta uzi humu 2014 mwanzoni kama nipo sahihi. Alisema safari ya hayati JPM kumtembelea hayati Benjamin Mkapa inaakisi Urais wa JPM 2015, uzi ulikuwa na wachangiaji wachache sana kwani ilikuwa ni jambo lisilofikirika kwa wakati ule kwani ni Kama JPM hakuwa machoni/vichwani mwa wengi kwenye kushinda upezidee.

3.Mwingine huyu (sikumbuki mwaka ila ni kipindi cha J pia) alitabiri kwa mfumo wa kusimulia hadithi, katika hadithi hiyo alisema mkuu wa nchi aliopo atatuacha njiani baada ya kuumwa, Daah ikawa kweli bwana mzee akatuacha🤔.

4. huyu namkumbuka hadi jina anaitwa Maharagwe ya ukweni, huyu alitabiri ajali ya ndege kilichonichosha zaidi alitabiri itakatika vipende viwili. Nadhani hii ilitokea mwaka ule ule aliotabiri na wajuzi wa mambo humu jf walituthibitishia kweli ndege ilikatika vipande viwili 🤔🤔🤔.
Hii ilinifanya niiogope sana Jf.

Nina miezi sita tu tangu nimejiunga rasmi japo ni muda mrefu naperuzi humu.

Mkono wangu juzi ulitaka kuandika 'baada ya mechi Mzinze ndiyo mchezaji ataeimbwa zaidi' Sijuwi ni nini kilinizuia, ila nadhani hapa ndiyo mngepigana vikumbo huko pm.

Utabiri wangu juu ya mchezo ule nimeupa asilimia 88.

Sikuwahi kuandika uzi wowote ule unaohusu michezo kabla.

Siamini uwepo wa Mungu, uchawi wala nguvu za giza ila hii imenitafakarisha sana.
 
Tajiri hasalimii..

UFAFANUZI KWA KIFUPI.

Ninaposema siamini uwepo wa Mungu simaanishi Mungu hayupo, pengine yupo au hayupo ila ni mimi ndiyo siamini.

Na ndiyo maana huitwa:
Imani  za kidini.
Imani za kishirikina nk.

Juzi nilitabiri kuhusu Dabi ya kariakoo na pengine utabiri wangu umeingia katika tabiri 5 nilizozishuhudia humu jf ambazo zilitimia kwa asilimia zisizopungua 80.

1.
kuna jamaa alitabiri matokeo ya mechi zote mbili za fainali ambayo simba ilicheza na RS Berkane na mechi zote mbili alipatia.

2. kuna jamaa aliwahi kuleta uzi humu 2014 mwanzoni kama nipo sahihi. Alisema safari ya hayati JPM kumtembelea hayati Benjamin Mkapa inaakisi Urais wa JPM 2015, uzi ulikuwa na wachangiaji wachache sana kwani ilikuwa ni jambo lisilofikirika kwa wakati ule kwani ni Kama JPM hakuwa machoni/vichwani mwa wengi kwenye kushinda upezidee.

3.Mwingine huyu (sikumbuki mwaka ila ni kipindi cha J pia) alitabiri kwa mfumo wa kusimulia hadithi, katika hadithi hiyo alisema mkuu wa nchi aliyopo atatuacha njiani baada ya kuumwa, Daah ikawa kweli bwana mzee akatuacha🤔.

4. huyu namkumbuka hadi jina anaitwa Maharagwe ya ukweni, huyu alitabiri ajali ya ndege kilichonichosha zaidi alitabiri itakatika vipende viwili. Nadhani hii ilitokea mwaka ule ule aliotabiri na wajuzi wa mambo humu jf walituthibitishia kweli ndege ilikatika vipande viwili 🤔🤔🤔.
Hii ilinifanya niiogope sana Jf.

Nina miezi sita tu tangu nimejiunga rasmi japo ni muda mrefu naperuzi humu.

Mkono wangu juzi ulitaka kuandika 'baada ya mechi Mzinze ndiyo mchezaji ataeimbwa zaidi' Sijuwi ni nini kilinizuia, ila nadhani hapa ndiyo mngepigana vikumbo huko pm.

Utabiri wangu juu ya mchezo ule nimeupa asilimia 88.

Sikuwahi kuandika uzi wowote ule unaohusu michezo kabla.

Siamini uwepo wa Mungu, uchawi wala nguvu za giza ila hii imenitafakarisha sana.
Mungu yupo! Anza kuamini! Nenda Kanisani na uanze kuhudhuria Ibada. Yaweza kuwa u-nabii wewe!
 
Sijaweka uzi wangu pekee hapo mkuu, uzi wangu ni kama namba 5 nyuma ya hizo nne nilizoziweka, kinachonitafakarisha hapo ni mtu anavyoweza kutabiri mambo yajayo na yakatimia kwa asilimia zisizopungua 80.
Inawezekana kabisa ni vile tu akili zetu zinatakataka nyingi ila akili yenye utulivu ipo connected na mazingira yote , na kila kitu DR Mambo Jambo ajazie nyama kidogo.
 
uzi wenyewe ni huu hapa.

 
Mi bado napambana na mishangzi huku..
Ebu fanya kunitabilia na mimi nipate demu wa ndoto
Pale ambapo unamuona mtu aliyekushawishi umuamin YAVUZ akiomba msaada kwa wengine
1750920337965.jpg
 
Humu ndani ni km mtaani tuu ttafauti humu watu wanaju kusoma na kuandika.
Ila wachawi wamo
Wacha Mungu wamo
Wezi wapo
Matapeli wapo
Kila Aina ya watu wapo
Usiogope kuandika yale inayofikiri sababu watu watakushambulia.
Ishi maisha yako km umepanga uswazi inatosha.
 
Back
Top Bottom