Utabiri wa Humphrey Polepole waanza kutimia

Utabiri wa Humphrey Polepole waanza kutimia

Etwege

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2018
Posts
7,380
Reaction score
18,175
Balozi Humphrey Polepole kabla ya kutekwa na kupotezwa alitabiri mambo mengi kwa nchi yetu Tanzania ikiwa itaendelea kuwa chini Rais Samia (2025-2030). Leo nawaletea tabiri mbili tu ambazo nimeona zimeanza kuonekana dhahiri.

Rais Samia kutowaheshimu watanzania baada ya uchaguzi mkuu

Humphrey Polepole alionya kuwa ikiwa Rais Samia atalazimisha uchaguzi na kujipitisha kuwa Rais ,basi baada ya hapo hatawaheshimu na wala hatawasemea watanzania shida zao.

Ni kweli baada ya October 2025 Rais Samia anaonekana dhahiri hayuko upande wa watanzania hasa watanzania wanyonge! Wamachinga wanafukuzwa, bei za bidhaa na mafuta zinapanda hovyo hovyo lakini Rais Samia yuko kimya na hata akiongea anatetea hali hiyo bila kujali inavyoathiri maisha ya wananchi wake.

Rais Samia kukosa uhalali kisiasa

Balozi Polepole alionya mapema sana kuwa Rais Samia alitakiwa uongozi wake kuishia 2025 na kama atalazimisha kwenda zaidi ya hapo basi atakosa uhalali kisiasa kutoka ndani ya nchi na nje ya nchi.

Utabiri huu umetimia kwa haraka sana, Rais Samia hakubaliki nje ya nchi ndiyo maana hajafanya ziara yoyote Ulaya mpaka sasa. Kutoka ndani ya nchi Rais Samia utawala wake umepuuzwa kuanzia kijijini hadi mjini.
 
Wanabinya vyombo vya habar
Shughuli za vyama vya siasa
Wanaharakati
Uchaguzi huru na WA haki
Asasi imara za kiraiya (siyo za machawa)

Kisha wanalalamika wizi kwenye report ya CAG?

Nani hapo Lumumba wa kuweza kihoji wizi Sasa?

Kuanzia diwani mpaka raisi huyu muuaji wote wezi.

Bunge li kibogoyo wamejaa machawa mule ndani. Unategemea nn?

Pm anapokea rushwa cash kwenye sandarusi
 
Angalia usije KUWEHUKA arifu.
 
Rais Samia kukosa uhalali kisiasa
Balozi Polepole alionya mapema sana kuwa Rais Samia alitakiwa uongozi wake kuishia 2025 na kama atalazimisha kwenda zaidi ya hapo basi atakosa uhalali kisiasa kutoka ndani ya nchi na nje ya nchi.
Utabiri huu umetimia kwa haraka sana, Rais Samia hakubaliki nje ya nchi ndiyo maana hajafanya ziara yoyote Ulaya mpaka sasa. Kutoka ndani ya nchi Rais Samia utawala wake umepuuzwa kuanzia kijijini hadi mjini.
framework ya huu utabiri mbona haina viwango?

kusema ongozi wa samuya ulitakiwa uishie 2025 , sio sahihi

kuhusu ziara za ulaya muda wa kuanza kupata mashaka kwamba hakutokua na ziara ulaya bado mapema sana

nyongeza japo si kwa umuhimu: upande wa vijijini kwa huku nilipo ukiwaambia leo hii samuya anajiuzulu wanaweza wakaandama asitoke kwenye hicho kiti
 
1. Sema mh RAIS anawadharau chademoghasia pamoja na tecdema
-mh RAIS anasimamia vitu vingi sana kwa wakati mmoja, anathubutu na anaweza.

2. kwa dunia ya sasa, sema ni nchi gani ambayo gharama za maisha hazijapanda?
-eti gharama za mafuta! hv una akili timamu wewe? haujui mafuta yanatoka wapi we nyumbu au kule irani kaendapo mh rais samia? hauoni tahira wenu wa marekani anachokifanya yanakotoka mafuta? ni nchi gani ambayo haijahaha kuhusu gharama za mafuta?

3. niambye machinga wanaohangaika? au unataka majiji yakae kama mavi yanavyopangana kwenu?
-tofauti na kwenda gerezani kumuona yule ropo ropo na kwenda kutafuta katiba kwenye maduka ya simu, uliwahi kutembelea jijij kubwa lolote uone mpangilio wa wafanyabiashara wadogowadogo?
 
1. Sema mh RAIS anawadharau chademoghasia pamoja na tecdema
-mh RAIS anasimamia vitu vingi sana kwa wakati mmoja, anathubutu na anaweza.

2. kwa dunia ya sasa, sema ni nchi gani ambayo gharama za maisha hazijapanda?
-eti gharama za mafuta! hv una akili timamu wewe? haujui mafuta yanatoka wapi we nyumbu au kule irani kaendapo mh rais samia? hauoni tahira wenu wa marekani anachokifanya yanakotoka mafuta? ni nchi gani ambayo haijahaha kuhusu gharama za mafuta?

3. niambye machinga wanaohangaika? au unataka majiji yakae kama mavi yanavyopangana kwenu?
-tofauti na kwenda gerezani kumuona yule ropo ropo na kwenda kutafuta katiba kwenye maduka ya simu, uliwahi kutembelea jijij kubwa lolote uone mpangilio wa wafanyabiashara wadogowadogo?
Vita vipo tangu enzi za mababu, wamachinga pia umezaliwaukawakuta na utawaacha
 
framework ya huu utabiri mbona haina viwango?

kusema ongozi wa samuya ulitakiwa uishie 2025 , sio sahihi

kuhusu ziara za ulaya muda wa kuanza kupata mashaka kwamba hakutokua na ziara ulaya bado mapema sana

nyongeza japo si kwa umuhimu: upande wa vijijini kwa huku nilipo ukiwaambia leo hii samuya anajiuzulu wanaweza wakaandama asitoke kwenye hicho kiti
Story za kujifariji ni Kijiji kipi ambacho wanataka huyo mama yenu aendelee
 
1. Sema mh RAIS anawadharau chademoghasia pamoja na tecdema
-mh RAIS anasimamia vitu vingi sana kwa wakati mmoja, anathubutu na anaweza.

2. kwa dunia ya sasa, sema ni nchi gani ambayo gharama za maisha hazijapanda?
-eti gharama za mafuta! hv una akili timamu wewe? haujui mafuta yanatoka wapi we nyumbu au kule irani kaendapo mh rais samia? hauoni tahira wenu wa marekani anachokifanya yanakotoka mafuta? ni nchi gani ambayo haijahaha kuhusu gharama za mafuta?

3. niambye machinga wanaohangaika? au unataka majiji yakae kama mavi yanavyopangana kwenu?
-tofauti na kwenda gerezani kumuona yule ropo ropo na kwenda kutafuta katiba kwenye maduka ya simu, uliwahi kutembelea jijij kubwa lolote uone mpangilio wa wafanyabiashara wadogowadogo?
Kobazi nenda kizimkazi ukale nguruwe usindikize na ndizi
 
Back
Top Bottom