LUPITUKO
JF-Expert Member
- Sep 19, 2011
- 279
- 183
Wana JF nauliza hivii; Idara ya utabiri wa hali ya hewa ina wataalamu wenye vyeti fake? Au vyombo vyao vimepitwa na wakati? Hakuna namna yeyote ya kuwashtakii kwa hasara au usumbufu wanatuletea wananchi kwa utabiri fake?
Kinachonishangaza zaidi ni kwamba hata simu yangu ya mkononi inatabiri hali ya hewa kwa usahihi zaidi kuliko hawa jamaa wanaokula kodi zetu. Haiwezekani utabiri hali ya mafuriko makubwa pakosekane hata manyunyu tu!
Mzee wa upako LUSEKELO lazima ana simu tu yenye kutabiri hali ya hewa ndo maana alisema kwa uhakika hakutakuwa na mvua Dar na mimi nilijua hilo pia ila kwa mara ya kwanza nilitaka kujua kama simu zinadanganya au ziko sahihi kuliko vyombo vya hawa jamaa.
Kwa wiki sasa nimefatilia simu iko sahihi kuliko maelezo.
Kinachonishangaza zaidi ni kwamba hata simu yangu ya mkononi inatabiri hali ya hewa kwa usahihi zaidi kuliko hawa jamaa wanaokula kodi zetu. Haiwezekani utabiri hali ya mafuriko makubwa pakosekane hata manyunyu tu!
Mzee wa upako LUSEKELO lazima ana simu tu yenye kutabiri hali ya hewa ndo maana alisema kwa uhakika hakutakuwa na mvua Dar na mimi nilijua hilo pia ila kwa mara ya kwanza nilitaka kujua kama simu zinadanganya au ziko sahihi kuliko vyombo vya hawa jamaa.
Kwa wiki sasa nimefatilia simu iko sahihi kuliko maelezo.