Utabiri wa anguko la wabunge wa chadema 2015

Utabiri wa anguko la wabunge wa chadema 2015

nimekuwa nikitafakari mwenendo wa baadhi ya viongozi wa cdm na haya matukio yaliyotokea recently kwenye chama hiki ambacho wengi tulikuwa tunakiona ni chama mbadala! Migogoro iliyopo sasa, na zaidi, kubwa ni suala la kukosekana kwa demokrasia ndani ya cdm na ongezeko la vibaraka wasio na ushawishi wala weledi wa masuala uchumi, maendeleo, siasa za ndani na za kimataifa kutasababisha cdm iporomoke zaidi na ikose mvuto mbele ya wapiga kura!

Si hayo tu, wakati tunajiaandaa na uchaguzi mkuu mwakani, ni dhahiri cdm haitakuwa na nafasi ya kutosha kurekebisha hali ya mambo ndani ya chama na kupata nafasi ya kuunda timu ya ushindi 2015! Tukutane baada ya uchaguzi 2015, lakini kwa sasa naona wabunge wafuatao watapoteza viti vyao:-

1. John mnyika – kaishiwa sera, hana tena mvuto ubungo, hasa hili la kukosa msimamo
2. Godbless lema – controversial politician, anapenda vurugu ambazo zimesababisha wafuasi na wanachama wengi wa cdm na wananchi wa kawaida kupoteza maisha au kupata vilema vya kudumu kutokana na ushauri na ushawishi wake wa kutumia maandamano na ghasia dhidi ya vyombo vya dola…watanzania wameshtuka, arush ahawatamuunga mkono
3. Peter msigwa – amejitahidi kuongea akiwa bungeni, lakini kujiingiza kwenye mgogoro na zitto, na kuendelea na mapambano dhoidi ya zk hata wakati amesimamishwa kumemshushia hadhi! Haonekani kama ana jipya, hana uwezo wa kupata info kama zk, who was a think tank of cdm!
4. Halima mdee – amekuwa kimy akwa muda mrefu, tumesikia pi amalalamiko ya wapig akura wa kawe, zaidi jimbo hilo sasa linatamaniwa na kiongozi wa nccr-mageuzi, nab ado mama ritha anaklitaka! Kuna habari pia mchungaji rwakatare anajipanga kugombea….ni wazi halima hatakuwa na chake
5. Tundu lissu – hadi raisi alimwit ani muongo mbele ya halaiki! Ni aibu. Pia huu mgogoro wa zitto na cdm amekuwa akiishauri vibaya cdm, haonekani kama ana elewa vizuri siasa; huyu ni activist, not politician! Kule singida kwao watamtupilia mbali…

hawa ni wabunge mashuhuri wa cdm, wakitupwa nje ya ulingo hao na cdm inapoteza umaarufu zaidi hata ya tlp! Hapo bado kun ahatihati kwa kina nasari,


tusubiri tuone

you must be crazy
 
gas inagunduliwa nyingi magamba mnapandisha bei ya umeme, unafuu wa maisha upo wapi? ccm mtpigwa kama mmsimama
 
Hajashawishi watu mkapigie kura chama chakavu. Inawezekana wakaondolewa na kamati kuu au hapo cdm hakuna wagombea wengine?

We unadhani hii tabia ya mauaji ya Tembo na watu wananong'ona kabisa kuwa baadhi ya viongozi waandamizi wa Chama chakavu wanahusika mwishowe tunaona Mawziri wanaojitahidi kupambana na mtandao wanaondolewa, umeme bei juu automatikali bei ya bidhaa itapanda unadhani watu wanadanyika tena, ngojea uone
 
hayo ni maoni yako lakini wenye maamuzi ya mwisho ni wananchi pia muda bado hupo kuna ambao wanaweza kufa, au hata kutoitaji kugombea................think before you lip
 
Nimekuwa nikitafakari mwenendo wa baadhi ya viongozi wa CDM na haya matukio yaliyotokea recently kwenye chama hiki ambacho wengi tulikuwa tunakiona ni chama mbadala! Migogoro iliyopo sasa, na Zaidi, kubwa ni suala la kukosekana kwa demokrasia ndani ya CDM na ongezeko la vibaraka wasio na ushawishi wala weledi wa masuala uchumi, maendeleo, siasa za ndani na za kimataifa kutasababisha CDM iporomoke Zaidi na ikose mvuto mbele ya wapiga kura!

Si hayo tu, wakati tunajiaandaa na uchaguzi mkuu mwakani, ni dhahiri CDM haitakuwa na nafasi ya kutosha kurekebisha hali ya mambo ndani ya chama na kupata nafasi ya kuunda timu ya ushindi 2015! Tukutane baada ya uchaguzi 2015, lakini kwa sasa naona wabunge wafuatao watapoteza viti vyao:-

1. John Mnyika – kaishiwa sera, hana tena mvuto Ubungo, hasa hili la kukosa msimamo
2. Godbless Lema – controversial politician, anapenda vurugu ambazo zimesababisha wafuasi na wanachama wengi wa CDM na wananchi wa kawaida kupoteza maisha au kupata vilema vya kudumu kutokana na ushauri na ushawishi wake wa kutumia maandamano na ghasia dhidi ya vyombo vya dola…watanzania wameshtuka, Arush ahawatamuunga mkono
3. Peter Msigwa – amejitahidi kuongea akiwa bungeni, lakini kujiingiza kwenye mgogoro na Zitto, na kuendelea na mapambano dhoidi ya ZK hata wakati amesimamishwa kumemshushia hadhi! Haonekani kama ana jipya, hana uwezo wa kupata info kama ZK, who was a think tank of CDM!
4. Halima Mdee – Amekuwa kimy akwa muda mrefu, tumesikia pi amalalamiko ya wapig akura wa Kawe, Zaidi jimbo hilo sasa linatamaniwa na Kiongozi wa NCCR-Mageuzi, nab ado mama Ritha anaklitaka! Kuna habari pia Mchungaji Rwakatare anajipanga kugombea….ni wazi Halima hatakuwa na chake
5. Tundu Lissu – Hadi Raisi alimwit ani muongo mbele ya halaiki! Ni aibu. Pia huu mgogoro wa Zitto na CDM amekuwa akiishauri vibaya CDM, haonekani kama ana elewa vizuri siasa; huyu ni activist, not politician! Kule Singida kwao watamtupilia mbali…

Hawa ni wabunge mashuhuri wa CDM, wakitupwa nje ya ulingo hao na CDM inapoteza umaarufu Zaidi hata ya TLP! Hapo bado kun ahatihati kwa kina Nasari,


Tusubiri tuone

bwegebwege,

Kama jina lako lilivo wewe unoekana ni bwe_gexxxx kweli!

Tathmini yako kuhusu hawa WABUNGE wa CDM haina mashiko. Sababu zote uliozitaja hazina uzito kabisa. Kwanini unakilenga CDM tu ilhali CCM wanazidi kutimuanahadi Mawaziri kwa kushindwa kutimiza majukumu yao???

Mbona huwataji Mawaziri mizigo? Tayari wane wamesha achia ngazi tokana na operesheni Tokomeza, bado kuna orodha ndefu ya Bwana Kinena na Nepi Nauye ya Mizigo!

Kuna watu mnaichukia CHADEMA kwa vile inatishia nafasi ya CCM kuingia Ikulu kwa uchaguzi ujao. CDM kwasasa ndiyo chama chenye sera zinazokubalika na Wabunge wote uliowataja ndio wenye michango na Hoja nzito Bungeni! Hata huyo Tundu Lissu siyo mwongo kama Rais wako KIWETE anavodai. Hata juzi kwenye kukabidhiwa Rasimu ya Katiba Mpya Kiwete alitambua uwepo wa Tundu Lissu na akakiri kwa mdomo wake kuwa Lissu ni WAKILI MAARUFU TANZANIA NA ANA AMINIKA si kwa CDM tu baali hata kwa CCM wenyewe!

Kama unabisha endelea kuwa bwegebwege hivo!
 
Natamani nihudhurie hiyo mikutano ya LISSU (huko vijijini anakosifiwa)! Lakini ukweli uko wazi, he is useless! Nikuhakikishie tu kwamba Lissu harudi Bungeni 2015

Kumtaja Lissu kwamba hatarudi Bungeni na kumuacha John Shibuda, nimekuona kweli wewe ni mtabiri Bweg.ebwege kama jina lako.

Na kwa utabiri huu kibwe.----- jiandae CCM watakuchinjia baharini ........... maana inaelekea hata darasa la marehemu Sheikh Yahya hukuwahi kutia mguu.

FYI, CDM itaongeza wabunge wengi na wakati huo huo CCM ikipoteza majimbo mengi. Mark my words. Huu sio utabiri kama wako wewe -----.----- but a plain fact.
 
Umesahau majimbo yafuatayo:
1. Jimbo la Kigoma Kasikazini litakwenda NCCR au CCM ( in fact kigoma CDM hawatapata jimbo lolote)
2. Musoma Mjini - lipo neutral (linaweza chukuliwa na yeyote)
3. Meatu Majimbo (2)- yatakwenda CCM ama UDP kama sio CUF
4. Songea Mjini (linakwenda CDM) iwapo Mbunge wa sasa atapewa uwaziri
5. Mbeya mjini (lipo neutral linaweza chukuliwa na yeyote)
6. Mwanza - jimbo moja litaondoka moja litabaki
7. Bukoba (mjini) - itategemea na afya ya Lwakatare
8. Singida (kabla ya mgogoro huu CDM ingeweza pata majimbo 2 (jimbo la Lissu na Kitila) ila kwa sasa watakosa hata hilo moja.
ingawa umesahau kutabiri kuwa CUF na NCCR watafanya vizuri zaidi kuliko vyama vingine vya Siasa,



Nimekuwa nikitafakari mwenendo wa baadhi ya viongozi wa CDM na haya matukio yaliyotokea recently kwenye chama hiki ambacho wengi tulikuwa tunakiona ni chama mbadala! Migogoro iliyopo sasa, na Zaidi, kubwa ni suala la kukosekana kwa demokrasia ndani ya CDM na ongezeko la vibaraka wasio na ushawishi wala weledi wa masuala uchumi, maendeleo, siasa za ndani na za kimataifa kutasababisha CDM iporomoke Zaidi na ikose mvuto mbele ya wapiga kura!

Si hayo tu, wakati tunajiaandaa na uchaguzi mkuu mwakani, ni dhahiri CDM haitakuwa na nafasi ya kutosha kurekebisha hali ya mambo ndani ya chama na kupata nafasi ya kuunda timu ya ushindi 2015! Tukutane baada ya uchaguzi 2015, lakini kwa sasa naona wabunge wafuatao watapoteza viti vyao:-

1. John Mnyika – kaishiwa sera, hana tena mvuto Ubungo, hasa hili la kukosa msimamo
2. Godbless Lema – controversial politician, anapenda vurugu ambazo zimesababisha wafuasi na wanachama wengi wa CDM na wananchi wa kawaida kupoteza maisha au kupata vilema vya kudumu kutokana na ushauri na ushawishi wake wa kutumia maandamano na ghasia dhidi ya vyombo vya dola…watanzania wameshtuka, Arush ahawatamuunga mkono
3. Peter Msigwa – amejitahidi kuongea akiwa bungeni, lakini kujiingiza kwenye mgogoro na Zitto, na kuendelea na mapambano dhoidi ya ZK hata wakati amesimamishwa kumemshushia hadhi! Haonekani kama ana jipya, hana uwezo wa kupata info kama ZK, who was a think tank of CDM!
4. Halima Mdee – Amekuwa kimy akwa muda mrefu, tumesikia pi amalalamiko ya wapig akura wa Kawe, Zaidi jimbo hilo sasa linatamaniwa na Kiongozi wa NCCR-Mageuzi, nab ado mama Ritha anaklitaka! Kuna habari pia Mchungaji Rwakatare anajipanga kugombea….ni wazi Halima hatakuwa na chake
5. Tundu Lissu – Hadi Raisi alimwit ani muongo mbele ya halaiki! Ni aibu. Pia huu mgogoro wa Zitto na CDM amekuwa akiishauri vibaya CDM, haonekani kama ana elewa vizuri siasa; huyu ni activist, not politician! Kule Singida kwao watamtupilia mbali…

Hawa ni wabunge mashuhuri wa CDM, wakitupwa nje ya ulingo hao na CDM inapoteza umaarufu Zaidi hata ya TLP! Hapo bado kun ahatihati kwa kina Nasari,


Tusubiri tuone
 
Hao ndiyo wasukuma hawawataki hata kuwasikia.

Jimbo la Nyamagana....asilimia ngapi ni wasukuma? if you still cleave on tribes you have lost.....Diallo alikuwa akizungumza hadi kisukuma kwenye kampeni!
Mwanza hawana ukabila wala unyumbani....hata Diallo ni mnyantuzu wa Bariadi.....Masha ni mzinza wa sengerema lakini walipewa ridhaa....Mwanza hatuna ukabila....naomba mtuelewe...sisi tuna-utanzania tu!
 
Natamani nihudhurie hiyo mikutano ya LISSU (huko vijijini anakosifiwa)! Lakini ukweli uko wazi, he is useless! Nikuhakikishie tu kwamba Lissu harudi Bungeni 2015

Kwa TUNDU LISSU nakuunga mkono. Mimi ni mpiga kura wa jimbo la Singida Mashariki, kiukweli TUNDU LISSU akirudi tena bungeni kupitia jimbo hilo basi itakuwa ni moja ya maajabu 8 ya dunia. Hana msaada wowote kwa jimbo, ziara zake zinaishia makao makuu ya jimbo (alipozaliwa, Ikungi) tu. Hata sisi tuliowashawishi bibi na babu zetu vijijini kupigia kura upinzani (unajua ilivyo ngumu) tunalaumiwa. Miradi yote ya maendeleo imesimama na yeye anahubiri kuwa serikali itafanya (na inaonekana ushawishi wake ni mdogo ndani ya bazara la madiwani) kwani fedha zinazotengwa zinapelekwa mahali pengine kwakuwa wananchi wamehamasishwa wasichangie serikali itafanya. Ameshindwa kuiga kwa akina Mnyika, Mbowe na wabunge wengine ambao wanaunga mkono miradi mbalimbali ya maendeleo majimboni kwao kwa wananchi kuchangia nguvu.
Lissu ni maarufu kitaifa lakini sio jimboni kwake kwa sasa, Watanzania eleweni hilo
 
Hayo unayotwambia yanaonyesha kitu tunachokiita Frustrations ndani ya CCM. Nina hakika wakubwa wako wanajua kinachoendelea ndiyo maana dola inatumia nguvu kubwa kuidhibiti CHADEMA na wakati mwingine kutumia hata vyombo nyeti kuwahujumu,, Tunachojua na hasa kwa kauli za wenye hekima zao waliwahi kusema usiombe watu wakakuchoka uwapo kwenye utawala, wako tayari kumchagua hata mwendawazimu kuliko wewe ambaye watu waliokuchoka. Ebu tafakari tena kampeni na mbinu chafu zilizotumiwa na CCM wakati wa kukusanya maoni ya Katiba mpya, ili waseme serikali mbili lakini kinyume chake Tume imewaonyesha waziwazi kwamba watu wanataka serikali tatu.

Nakushukuru kwa kukubali kutafuta Blanketi ulale maana hatutumii Utabiri katika kusema mambo makubwa, ebu tafakari namna CCM inavyotumia raslimali zetu hovyo bila kuondoa umaskini, wameshindwa hata kuwa na hospitali ya kuwahudumia viongozi wa kitaifa, kila leo wako India,South Africa hata USA. Nani katuloga Tanzania CHANGES ARE INEVITABLE.

Hivi kwa kupitia ruzuku serikalini wamejalibu hata kuchimba kisima cha maji hawa chadomo zaidi ni kuwa Dj mbowe ameukarabati upya ukumbi wake wa Disco, ugonjwa kila Dr ana uwezo wa mwisho wa elimu yake ndo maana kuna hospital za rufffaaaa
 
Si mbaya maana hata S. Wasira alitabiri awakatizi 2013
 
Nimetabiri, tusubiri 2015! Nafuata ushauri wako, nalala for now

Umeulizwa swali zuri hapo juu .............. au lenyewe hujaliotea?? Ina maana akina Komba, Hawa Ghasia, Maji Marefu, Msolla, Abood ............. the list goes on, wao bado wana mvuto kwa wananchi??
 
Seriously? Changes are inevitable? If that is the case why CDM is not ready for changes within the party? And what are they preaching?
what is change by your definition?? when do you need the change?? RADA change was out several months ago!!! A traitor and his activist will never bring changes!!
 
Nimekuwa nikitafakari mwenendo wa baadhi ya viongozi wa CDM na haya matukio yaliyotokea recently kwenye chama hiki ambacho wengi tulikuwa tunakiona ni chama mbadala! Migogoro iliyopo sasa, na Zaidi, kubwa ni suala la kukosekana kwa demokrasia ndani ya CDM na ongezeko la vibaraka wasio na ushawishi wala weledi wa masuala uchumi, maendeleo, siasa za ndani na za kimataifa kutasababisha CDM iporomoke Zaidi na ikose mvuto mbele ya wapiga kura!

Si hayo tu, wakati tunajiaandaa na uchaguzi mkuu mwakani, ni dhahiri CDM haitakuwa na nafasi ya kutosha kurekebisha hali ya mambo ndani ya chama na kupata nafasi ya kuunda timu ya ushindi 2015! Tukutane baada ya uchaguzi 2015, lakini kwa sasa naona wabunge wafuatao watapoteza viti vyao:-

1. John Mnyika – kaishiwa sera, hana tena mvuto Ubungo, hasa hili la kukosa msimamo
2. Godbless Lema – controversial politician, anapenda vurugu ambazo zimesababisha wafuasi na wanachama wengi wa CDM na wananchi wa kawaida kupoteza maisha au kupata vilema vya kudumu kutokana na ushauri na ushawishi wake wa kutumia maandamano na ghasia dhidi ya vyombo vya dola…watanzania wameshtuka, Arush ahawatamuunga mkono
3. Peter Msigwa – amejitahidi kuongea akiwa bungeni, lakini kujiingiza kwenye mgogoro na Zitto, na kuendelea na mapambano dhoidi ya ZK hata wakati amesimamishwa kumemshushia hadhi! Haonekani kama ana jipya, hana uwezo wa kupata info kama ZK, who was a think tank of CDM!
4. Halima Mdee – Amekuwa kimy akwa muda mrefu, tumesikia pi amalalamiko ya wapig akura wa Kawe, Zaidi jimbo hilo sasa linatamaniwa na Kiongozi wa NCCR-Mageuzi, nab ado mama Ritha anaklitaka! Kuna habari pia Mchungaji Rwakatare anajipanga kugombea….ni wazi Halima hatakuwa na chake
5. Tundu Lissu – Hadi Raisi alimwit ani muongo mbele ya halaiki! Ni aibu. Pia huu mgogoro wa Zitto na CDM amekuwa akiishauri vibaya CDM, haonekani kama ana elewa vizuri siasa; huyu ni activist, not politician! Kule Singida kwao watamtupilia mbali…

Hawa ni wabunge mashuhuri wa CDM, wakitupwa nje ya ulingo hao na CDM inapoteza umaarufu Zaidi hata ya TLP! Hapo bado kun ahatihati kwa kina Nasari,


Tusubiri tuone

Ndugu yangu huo ni utabiri au ndoto za mchana. Je katika hao uliowataja hebu jaribu kutafuta wabunge kutoka vyama vingine wanaokaribia hata nusu ya sifa za hao unaowataja.

Kuhusu changamoto zilizotokea hivi karibuni, wewe nadhani ungetaka chama kinapohujumia au kusalitiwa kikae kimya na hatimaye kiangamie. Tunajua hoja yako hapa ni ule mkakati wa damage control baada ya CDM kugundua mkakati wa kukiangamiza. Basi utasubiri sana kama yule Fisi aliyekuwa anasubiri mkono wa mtu udondoke.
 
Mh. Sheikh, Nabii, Mtabiri au Mpiga Ramli, Kaka bwegebwege.
Naomba nikujibu au nikueleze yafuatayo:
Kuna chama kimoja tu huongoza kwenda Milingotini B'moyo kuupata oungozi. Ni Maccm. Vyama vingine vikilogwa vikaenda huko, viongozi wake watapewa ndumba fake.
Hivyo, tabiria Maccm siyo CDM. Nasema hivyo kwa sababu zifuatazo:
Chama mbadala cha upinzani kamwe hakiwezi kuendelea kwa kungojea kudra ya chama Tawala. Ati tungojee neema ya chama tawala kututeulia wabunge wa kuteuliwa. No No Nooo.
Tumeshaanza kusikia minong'ono kuwa Mkuu wa kaya amchague M/Kiti fulani wa chama fulani ati ni Economist aliye bobea kwa mambo hayo. Hiyo ni kudra ya m/kiti huyo kusikia amkubali kama huko kwenye hilo lichama mfu lake hakuna wana uchumi waliobakia baada ya mwenzetu kututangulia kwenye haki.
1. Umesema at Mh. Mnyika hana mvuto tena Ubungo. Najiuliza, kachuja sura au? Tumpake wanja au? Kama ni maendeleo, tumemsikia alivyo tetea jimbo lake la Ubungo, kwenye barabara, madaraja na hata maji. Ulitaka afanyeje chini ya ugandamizi uliopo? Nakuambia, CCM kuleni hiyo pesa wala msipoteze muda wa kuigombea Ubungo. Msithubutu.
2. Arusha na Mh. G Lema. Unamwita Controversial leader. Ati anapenda vurugu. Vurugu hizo alizianzisha mwenyewe au? Hivi kweli waweza kuchukua bomu na kujilipua mwenyewe mahali unajua watu wote hapo ni mashabiki wako? Mbona ninyi watu mna mawazo potofu hivi?
3. Mh. Msigwa, Ati kaongea sana bungeni lakini anajichanganya mwenyewe kwenye mambo ya chama. Alichoongea bungeni ni kipi au ni kwa vile alivyo yataja Majangili yenu kwa majina? Hivi nikuulize zile siku 7 alizopewa na kiongozi mmoja wa ccm hazijaisha? Mbona hatuoni action? Au ni kwa vile yule jamaa mwingine alishikwa tena Dar na Tusker? Shame on yu.
4. Mh. Halima Mdee. Ati unasema kakaa kimya. Hivi katika wabunge wanawake wa ccm na cuf ni wangapi waliotoa michango bungeni wa kuweza kuwalinganisha na Mdee? Kweli mapenzi ni maradhi ya upofu. Ndo maana m/kiti wako kamteua huyo wa upinzani ili naye ajidunduiziye kidogo kidogo apate tena nguvu ya kuja kupambana na Mdee. Hao wengine woote wa ccm hawana cha kujitetea kwa jimbo hilo kwani Maisha ya Mtanzania sasa hivi ni mzigo. Yote haya yameletwa na hilo lichama mfu.
5. Unamdharau Mh. Tundu Lisu kuitwa Muongo hadharani akamnyamazia Rais. Hivi kweli unamwona Lisu hana akili? Angemjibu pale, ni nani angeaibika? People say; Never, Never argue with a F.o.o.l Tundu bwana ana akili za ziada. Hapo nampa Hekoooo.
Wapambe wakamwambia Rais, Lisu hana breki. Mtapishe kidogo atatoa nyongo. Waapi. Lisu akamthitishia Rais wake kuwa sivyo alivyo. Hekima ikamuumbua mshambuliaji wake Lisu. B/up Lisu

haya ni mawazo yangu tu. Nawasilisha
 
Jimbo la Nyamagana....asilimia ngapi ni wasukuma? if you still cleave on tribes you have lost.....Diallo alikuwa akizungumza hadi kisukuma kwenye kampeni!
Mwanza hawana ukabila wala unyumbani....hata Diallo ni mnyantuzu wa Bariadi.....Masha ni mzinza wa sengerema lakini walipewa ridhaa....Mwanza hatuna ukabila....naomba mtuelewe...sisi tuna-utanzania tu!
Sehemu yeyote ambapo JIna la Yesu linatajwa sana kuna neema sana,hakuna ukabila,hakuna udini,hakuna ushirikina etc ....
 
Back
Top Bottom