Utabiri "Feki" wa Sheikh Yahya mwisho jana

Utabiri "Feki" wa Sheikh Yahya mwisho jana

Huihui2

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
9,009
Reaction score
13,539
Screenshot_20251104_160839_Chrome.jpg


Sikuwahi kumsikia Sheikh Yahya Hussein, mtabiri maarufu wa Afrika Mashariki akitoa utabiri huu. Na wala hakuna mtu amewahi kuketa voice note/ video clip kuhusu maneno hayo. Lakini maneno hayo yalikuwa yana trend kila uchaguzi ulipotokea kati ya 2015, 2020 na 2025.

Sasa baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuapishwa jana rasmi ndiyo tumefunga ukurasa wa utabiri huu feki.
 
View attachment 3497189

Sikuwahi kumsikia Sheikh Yahya Hussein, mtabiri maarufu wa Afrika Mashariki akitoa utabiri huu. Na wala hakuna mtu amewahi kuketa voice note/ video clip kuhusu maneno hayo. Lakini maneno hayo yalikuwa yana trend kila uchaguzi ulipotokea kati ya 2015, 2020 na 2025.

Sasa baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuapishwa jana rasmi ndiyo tumefunga ukurasa wa utabiri huu feki.
Kwa Sheikh Yahya alisema huyo mwanamke atatawala kwa muda gani?
 
Baba yako bora angepuchu na sabuni zilizotamba jina komoa ilikuwa inatakatisha vyombo,nguo na kuosha magari ya kipindi kile kupitia shirika la UDA
 
View attachment 3497189

Sikuwahi kumsikia Sheikh Yahya Hussein, mtabiri maarufu wa Afrika Mashariki akitoa utabiri huu. Na wala hakuna mtu amewahi kuketa voice note/ video clip kuhusu maneno hayo. Lakini maneno hayo yalikuwa yana trend kila uchaguzi ulipotokea kati ya 2015, 2020 na 2025.

Sasa baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuapishwa jana rasmi ndiyo tumefunga ukurasa wa utabiri huu feki.
Ila wewe' ni kilaza... Kwani Rais kachaguliwa lini si juzi?
 
Japokuwa hakuwahi kusema hayo maneno, ila hata kama aliyasema bc bado ni updated, tusubiri 2030 Ndo itakuwa ime-expire.
 
Back
Top Bottom