Utabiri: CAFCL up to final

Habari wana jf,,,, natumai mko pw kwa waliobahatika kuona ule utabiri wangu wa group stage ambayo imetoka leo,,

Niliitabiri wiki moja before jinsi makundi yatakavyokuwa na ndivyo hivyo yametokaeo hiiiii..

Natabiri from group stage up to final yaani nani atapita makundi na nan ataingia robo na kutinga nusu fainali na yupi ataingia final na mshindi atakuwa yupi.....God bless

GROUP A WINNEE
1.mamelodi
2.pyramids

GROUP B WINNER
1.wydad ac
2.asec mimosa

GROUP C WINNER
1.al hilal
2.petro atletico

GROUP D
1.young africans
2.al ahly

NB: NIMETABIRI TU MIMI SIYO MCHAWI WATU WAMEZOEA KUNIITA MCHAWI LAAHASHA MI SIYO MCHAWI NA SIYO LAZIMA ITOKEE IVO JAPO SIJAWAHI KUFELI...... LABDA UNAWEZA KUJA NA UTABIRI WAKO NOTE SIJAWAHI KUFELI
Mimi naomba nioneshe uzi wako ulivyotabiri makundi ilivyokuwa wiki moja before. Maana nimejaribu kuangalia katika makaburi yako ya nyuzi ulizoanzisha sijafanikiwa kuona utabiri wako wowote ule.
 
Mimi naomba nioneshe uzi wako ulivyotabiri makundi alivyokuwa wiki moja before. Maana nimejaribu kuangalia katika makaburi yako ya nyuzi ulizoanzisha sijafanikiwa kuona utabiri wako wowote ule.
Utabiri haupo ni kujitafutia ujiko na uzushi.Nashukuru umekuwa critical thinker.
 
Mimi naomba nioneshe uzi wako ulivyotabiri makundi ilivyokuwa wiki moja before. Maana nimejaribu kuangalia katika makaburi yako ya nyuzi ulizoanzisha sijafanikiwa kuona utabiri wako wowote ule.
Jf waliunyofoa
 
Habari wana jf,,,, natumai mko pw kwa waliobahatika kuona ule utabiri wangu wa group stage ambayo imetoka leo,,

Niliitabiri wiki moja before jinsi makundi yatakavyokuwa na ndivyo hivyo yametokaeo hiiiii..

Natabiri from group stage up to final yaani nani atapita makundi na nan ataingia robo na kutinga nusu fainali na yupi ataingia final na mshindi atakuwa yupi.....God bless

GROUP A WINNEE
1.mamelodi
2.pyramids

GROUP B WINNER
1.wydad ac
2.asec mimosa

GROUP C WINNER
1.al hilal
2.petro atletico

GROUP D
1.young africans
2.al ahly

NB: NIMETABIRI TU MIMI SIYO MCHAWI WATU WAMEZOEA KUNIITA MCHAWI LAAHASHA MI SIYO MCHAWI NA SIYO LAZIMA ITOKEE IVO JAPO SIJAWAHI KUFELI...... LABDA UNAWEZA KUJA NA UTABIRI WAKO NOTE SIJAWAHI KUFELI
Uzuri ww c miongoni mwa wale wawili aliewataja mzungu pori wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Habari wana jf,,,, natumai mko pw kwa waliobahatika kuona ule utabiri wangu wa group stage ambayo imetoka leo,,

Niliitabiri wiki moja before jinsi makundi yatakavyokuwa na ndivyo hivyo yametokaeo hiiiii..

Natabiri from group stage up to final yaani nani atapita makundi na nan ataingia robo na kutinga nusu fainali na yupi ataingia final na mshindi atakuwa yupi.....God bless

GROUP A WINNEE
1.mamelodi
2.pyramids

GROUP B WINNER
1.wydad ac
2.asec mimosa

GROUP C WINNER
1.al hilal
2.petro atletico

GROUP D
1.young africans
2.al ahly

NB: NIMETABIRI TU MIMI SIYO MCHAWI WATU WAMEZOEA KUNIITA MCHAWI LAAHASHA MI SIYO MCHAWI NA SIYO LAZIMA ITOKEE IVO JAPO SIJAWAHI KUFELI...... LABDA UNAWEZA KUJA NA UTABIRI WAKO NOTE SIJAWAHI KUFELI
Haha ya moyo wako imetimia.
 
Habari wana jf,,,, natumai mko pw kwa waliobahatika kuona ule utabiri wangu wa group stage ambayo imetoka leo,,

Niliitabiri wiki moja before jinsi makundi yatakavyokuwa na ndivyo hivyo yametokaeo hiiiii..

Natabiri from group stage up to final yaani nani atapita makundi na nan ataingia robo na kutinga nusu fainali na yupi ataingia final na mshindi atakuwa yupi.....God bless

GROUP A WINNEE
1.mamelodi
2.pyramids

GROUP B WINNER
1.wydad ac
2.asec mimosa

GROUP C WINNER
1.al hilal
2.petro atletico

GROUP D
1.young africans
2.al ahly

NB: NIMETABIRI TU MIMI SIYO MCHAWI WATU WAMEZOEA KUNIITA MCHAWI LAAHASHA MI SIYO MCHAWI NA SIYO LAZIMA ITOKEE IVO JAPO SIJAWAHI KUFELI...... LABDA UNAWEZA KUJA NA UTABIRI WAKO NOTE SIJAWAHI KUFELI
Huu utabiri wako itakua umechungulia kwenye kichwa changu.
Sio bure
 
Back
Top Bottom