mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,664
- 18,042
Naona wewe bado haumfahamu Benzema!Pep Guardiola na Man City yake wanaenda kutwaa ndoo ya UCL hapo juni mwaka huu.
Man City kabla ya fainal atakutana na wachovu Real Madrid, ambapo mechi ya kwanza Bernabeu itaisha droo ya 1-1
Kisha mechi ya marudiano Etihad, Man City ataibuka na ushindi wa goli 2-0. Na kujikatia tiketi ya fainali ambapo atakutana na mchovu mmoja wapo kati ya Inter Milan au Ac Milan.
Mwaka huu Guardiola anatwaa UCL kwa mara ya kwanza bila Messi.
Kila siku sio ijumaaNaona wewe bado haumfahamu Benzema!
Atapasuka ndani nje .Huyo Madrid kesho atajuta kuingia uwanjan ...
Tutajuaje ume achaMadrid akimtoa city hydroxo naacha kushabikia mpira.
Hahahaa,balaaa sana Kuna dogo anaitwa Vinious JR na ndugu yake Rodrygo ukichanganya na mizee yao Benzema,Modric na Ton...Dah! Wanatisha hawatabilikiiiii....ingawa city mkali.Madrid akimtoa city hydroxo naacha kushabikia mpira.
Aaah wapi.Hahahaa,balaaa sana Kuna dogo anaitwa Vinious JR na ndugu yake Rodrygo ukichanganya na mizee yao Benzema,Modric na Ton...Dah! Wanatisha hawatabilikiiiii....ingawa city mkali.
Madrid wameshuka eh? hamta amini macho yenuAaah wapi.
City anatisha asikudanganye mtu.
Ile mechi yake na Bayern ndio ilikuwa mechi ngumu.
Kwa sasa madrid wameshuka sana viwango.
Kumtoa city ambao wamekamilika kila idara si kazi ndogo.
NakaziaAcha shobo ulikua wapi tangu mwanzo mwa msimu? Na ww uko shamba unajifanya mchambuzi kumbe mchambua mboga tu
Alipoteza mara moja 1981 Dhidi ya LiverpoolWatu kwa kukariri maisha hamjambo. Kwahiyo jamaa hawajawahi kupoteza fainali tangu club hiyo ilipoanzishwa?
Kombe limabaki kwa Real Madrid. Wakiwa CHAMPIONS LEAGUE ni wengine kabisa. Subiri utaonaPep Guardiola na Man City yake wanaenda kutwaa ndoo ya UCL hapo juni mwaka huu.
Man City kabla ya fainal atakutana na wachovu Real Madrid, ambapo mechi ya kwanza Bernabeu itaisha droo ya 1-1
Kisha mechi ya marudiano Etihad, Man City ataibuka na ushindi wa goli 2-0. Na kujikatia tiketi ya fainali ambapo atakutana na mchovu mmoja wapo kati ya Inter Milan au Ac Milan.
Mwaka huu Guardiola anatwaa UCL kwa mara ya kwanza bila Messi.
Yaya Toure kampiga Laana ya Uzeeni hahahaa.Alisikika mzee mmoja wa makamo akisema
"Pep guardiola ndiyo sababu Manchester city haitochukua UEFA."
Endapo Pep guardiola ataachia ngazi hata leo hii, Manchester city lazima ichukue UEFA.
Wee unaUNAUMWA niniPep Guardiola na Man City yake wanaenda kutwaa ndoo ya UCL hapo juni mwaka huu.
Man City kabla ya fainal atakutana na wachovu Real Madrid, ambapo mechi ya kwanza Bernabeu itaisha droo ya 1-1
Kisha mechi ya marudiano Etihad, Man City ataibuka na ushindi wa goli 2-0. Na kujikatia tiketi ya fainali ambapo atakutana na mchovu mmoja wapo kati ya Inter Milan au Ac Milan.
Mwaka huu Guardiola anatwaa UCL kwa mara ya kwanza bila Messi.
City anamtoa madrid na atacheza fainali
City anamtoa madrid na atacheza fainali