Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,301
- 33,920
Aina ya maisha (Life style) ya watu wa pwani na baadhi ya watu wa bara ambayo yanaitwa maisha ya Kiswahili ni maisha yanayoaksi aidha Uhindi ama Uarabu.
Lakini "uswahili" asili yake ni kuiga mambo mengi ya watu toka India ama toka Uarabuni? Watu wa pwani kuitwa "Sahel" ndiyo tiketi ya kusemwa kwamba uswahili asili yake ni Uarabu?
Tukiangalia biashara, kuoana, ujenzi,na Lugha za watu wa pwani wanavyowasiliana jee tunaweza kufikia hitimisho gani kuhusu asili ya uswahili? Jee ni kuiga maisha ya waarabu waliokuja pwani ya Afrika Mashariki na kufika hadi ndani kabisa Bara ama Wahindi walioishia kwenye pwani hizi za Afrika Mashariki?
Lakini "uswahili" asili yake ni kuiga mambo mengi ya watu toka India ama toka Uarabuni? Watu wa pwani kuitwa "Sahel" ndiyo tiketi ya kusemwa kwamba uswahili asili yake ni Uarabu?
Tukiangalia biashara, kuoana, ujenzi,na Lugha za watu wa pwani wanavyowasiliana jee tunaweza kufikia hitimisho gani kuhusu asili ya uswahili? Jee ni kuiga maisha ya waarabu waliokuja pwani ya Afrika Mashariki na kufika hadi ndani kabisa Bara ama Wahindi walioishia kwenye pwani hizi za Afrika Mashariki?