Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,371
- 14,481
- Thread starter
- #21
Kwasababu ya kuvaa barakasheeAnaonekana kuwa mtu wa upendo sana huyu mtumishi wa mungu,wana kawe tusimuangushe
Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Kwasababu ya kuvaa barakasheeAnaonekana kuwa mtu wa upendo sana huyu mtumishi wa mungu,wana kawe tusimuangushe
Kha!kha!kha!,hilo nalo neno.Kama ameweza kuikana dini yake huyu akiambiwa ainamishwe ili aupate Ubunge atakubali
Waumini wake wana kazi kubwa kweli
Kwa sasa ni Ustadhi Rashidichidi mauno au gwaji chidi
Sijui wanawezaje kumuelewa ktk hali hii ya undumilakuwili.Waumini wake wana kazi kubwa kweli
Hivi hiyo Rashidi imekujakuja vipi maana nasikia tu Chidi Chidi hata sielewi?Sasa sijui kwa sasa tumuite nani
Askofu Josepat Gwajima au Ustadhi Rashidi Gwajima?
Chidi ni kifupi cha RashidiHivi hiyo Rashidi imekujakuja vipi maana nasikia tu Chidi Chidi hata sielewi?
Haya bhana,laiti km ungelijua hakika usingekomment hivi!!!!Mungu mbariki mtumishi wako gwajima
Na ulaani mfuasi wa shetani lesbian yule jike dume
Popping your nose in private matters it’s illegal.Mungu mbariki mtumishi wako gwajima
Na ulaani mfuasi wa shetani lesbian yule jike dume
Hapo issue siyo siasa.Shikamoo Siasa. ,
Tutaona mengi sana mwaka huu
Naona anatengeneza mazingira ya kuhurumiwa.ame shuti mkanda wa pornography
ametukana Waislam
amewageuka wapinzani aliokuanao mwanzo
sasa ameanza kuwageuka Wakristo
amepoteza kura ya Mkristo pia
Maalim Rashid kwishney
HakikaHapo issue siyo siasa.
Ni tamaa, njaa na unafiki.
Kweli kabisa mkuuKwa yeyote mwenye shida na kitabu kinachoitwa "Shams Al kubul" kinapatikana dukani kwangu kwa bei ya Shilingi 2000 tu.
Bora muongo kuliko mnafiki
Gwajima ni mnafiki!!
Katika Uislam hakuna kitabu kiitwacho "Shams Al kubul"