duuh!! Mungu aniepushe na siasa kwa kweli
Yaani kuna Muislamu atadanganywa na huu uhuni? Hapa anapoteza hata kura za Kanisani kwake kwa kutaka vyote kwa pupa.
Kwa hiyi mkuu, wewe na Waislamu wenzako hamtampa kura huyu baharia?Yaani kuna Muislamu atadanganywa na huu uhuni? Hapa anapoteza hata kura za Kanisani kwake kwa kutaka vyote kwa pupa.
Kwa faida ya sisi tusio Waislamu, Je hii Shams Al kubul aliyoitaja Chid Boy ni nini?Yaani kuna Muislamu atadanganywa na huu uhuni? Hapa anapoteza hata kura za Kanisani kwake kwa kutaka vyote kwa pupa.
Si anajivunia jiwe msukuma mwenzake kwamba labda atambeba!!!.Rashidi haendi mbinguni ungeshinda kama ungegombea kolomine ila kawe No!
Hakika,maana sio kwa kuhangaika huku.Kiboko ya mdee
Hoja kuntu.Shida sio kutunukiwa ubunge na NEC , swali ni je atakua na hoja za maana kuwatetea wana Kawe, au ndo mpaka aliyeshika hazina aamue apeleke nini jimbo la Kawe??
Mimi nilidhani ni kitabu kilichoandikwa na mtu tu na si km Taasisi ya Dini katika Uislamu.Katika Uislam hakuna kitabu kiitwacho "Shams Al kubul"
Hutaki kufanya usanii km wa Ustadhi Rashid Josephat Gwajima??duuh!! Mungu aniepushe na siasa kwa kweli
Anatosha kwako?Gwajima anatosha!
Gwajima hazuiliki.
Halafu jiwe anatulazisha eti nuketeeni Gwajimaaaaaa.Sasa ngoja apigwe chini.Gwaji boy au Chid boy nina shaka na akili yake kama iko sawa maana hata anayoyaongea ni kama fyuzi imekatika kichwani.
Umenena mkuu,bila Unafiki mambo hayawezi kwenda.Ukiwa mwanasiasa hasa ccm ili mambo yako waweze kwenda ni lazima uwe mnafiki hasa