tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,863
- 3,854
Mara Kadhaa unaweza kukutana na ustaarabu huu wa Bongo:-
1. Kuulizwa "umeniletea zawadi gani?" hata kabla haujapewa pole ya safari kana kwamba alikupatia pesa umnunulie.
2. Kukutana na mtu dukani akakulazimisha umnunulie kitu au umtoe mkwanja, na usipomnunulia au kumpa linakuwa bifu.
3. Bidada kujihisi unamtaka kimapenzi kila umsalimiapo.
Je, ukiwa kama mdau, kuna ustaarabu mwingine wa Bongo umewahi kukutana nao?
Changia....
1. Kuulizwa "umeniletea zawadi gani?" hata kabla haujapewa pole ya safari kana kwamba alikupatia pesa umnunulie.
2. Kukutana na mtu dukani akakulazimisha umnunulie kitu au umtoe mkwanja, na usipomnunulia au kumpa linakuwa bifu.
3. Bidada kujihisi unamtaka kimapenzi kila umsalimiapo.
Je, ukiwa kama mdau, kuna ustaarabu mwingine wa Bongo umewahi kukutana nao?
Changia....