Sipo
JF-Expert Member
- Jul 25, 2008
- 2,139
- 91
jana nikiwa kwenye basi la kwenda tegeta nilishuhudia uchafu mmoja uliokuwa ukifanywa na KIJANA na BINTI mmoja. Hawa walikuwa wamekaa siti ya nyuma kabisa halafu yule kijana alikuwa ANAMSHIKASHIKA yule binti MATITI uku yule binti akiwa amemuegemea. Kumbuka watu wamesimama kwenye basi kutokana na tabu ya usafiri, kuna watu wazima na wadogo, wanafunzi n.k
Naamini hii ni tabia ya kukemea hasa kwa vijana ambao wanatakiwa kuleta mabadiliko. Huu sio UZUNGU ila UPUNGUANI
Naamini hii ni tabia ya kukemea hasa kwa vijana ambao wanatakiwa kuleta mabadiliko. Huu sio UZUNGU ila UPUNGUANI