Tanzania 1
Senior Member
- Oct 4, 2007
- 197
- 24
Kwa sababu wamesoma na ni waelewa. Watu wasio soma si rahisi kuliona hili, hata iweje!
Hata mungu wako Mwamedi anawatambua Wakristu na Wayahudi kuwa ni watu wasomi (Ahl al Khitab)..
Sawasawa?
And who the heck told you, Abu-Jahl of this era, that Ahlul (not Ahl, rudi darasani) Kitaab (not Khitab, waombe wapemba wakufundishe) = wasomi?!