ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 24,756
- 60,518
Wakuu mwanamke sio wa kuleta naye mazoea Sana we ukishakuwa naye we kuwa kauzu.usicheke naye kabisa Wala kukenua kenua we cheka na wananchi wengine.akikuzoea Sana mwisho wa siku Inakuwaga miyeyusho.
hata ukishamuoa ukamuweka ndani we fanya Yako ukirudi Ni salamu unafanya yako unaondoka.usimzingatie sana wala kumuwaza.
huwezi ukaja ukamuweza mwanamke kikubwa Ni kufanya TU ibada.ukiwa naye kuwa naye,Ukiwa na wageni kuwa naye,ukimtuma aende akikataa potezea.we fanya ibada Kama Ni muislam Sali sana swala tano na kama Ni mkristo fuatilia Soma biblia na hudhuria misa zote na mikutano.
Pia fanya mazoezi kila siku na kula chakula cha asili usile mavyakula yenye mafuta na masukari.fanya Mambo yote kwa ufaham wako tafuta sana faraja popote ilipo na kuwa eneo salama muda wote.hamasisha watu wamche mwenyeziMungu mwanamke wako akikuunga mkono kwenye kazi hiyo itapendeza,asipokuunga mkono ndo Basi Tena we fanya TU kuepuka ujinga kwani ndio Chanzo Cha matatizo yote.
hata ukishamuoa ukamuweka ndani we fanya Yako ukirudi Ni salamu unafanya yako unaondoka.usimzingatie sana wala kumuwaza.
huwezi ukaja ukamuweza mwanamke kikubwa Ni kufanya TU ibada.ukiwa naye kuwa naye,Ukiwa na wageni kuwa naye,ukimtuma aende akikataa potezea.we fanya ibada Kama Ni muislam Sali sana swala tano na kama Ni mkristo fuatilia Soma biblia na hudhuria misa zote na mikutano.
Pia fanya mazoezi kila siku na kula chakula cha asili usile mavyakula yenye mafuta na masukari.fanya Mambo yote kwa ufaham wako tafuta sana faraja popote ilipo na kuwa eneo salama muda wote.hamasisha watu wamche mwenyeziMungu mwanamke wako akikuunga mkono kwenye kazi hiyo itapendeza,asipokuunga mkono ndo Basi Tena we fanya TU kuepuka ujinga kwani ndio Chanzo Cha matatizo yote.