Usiyoyajua kuhusu Papa

Usiyoyajua kuhusu Papa

Hao papa wakubwa kwa bongo ni nadra sana kwa Africa sana Sana niliwahi kusikia mkubwa kuvuliwa ni yule miaka kadhaa huko Mombasa.

Papa watamu mno ukute wale wenyewe wadigo wawapike na mihogo duh ni hatari.
Sema kwa wajuzi Kuna ng'onda ,papa sijui na nguru hawa Wana tofauti gani ?Mi naonaga wanavyaoanikwa na kukausha katika mfumo mmoja.
Nguru ni kingfish sio wakubwa kama papa ila wana minofu
 
1671271501747.png

1671271587663.png
 
Mkuu hili la ulinganifu wa uzito wa papa na dala dala umetupiga bhana.

Dala dala ni 3.5 ama 4 ton wakati papa ana uzito wa 20 tons, ungelinganisha na tipa la mchanga lililojazwa kifusi likielekea kumwaga kwenye barabara za mchina!

Hapo kidoooogo inaweza kuingia akilini na ku make sense!
Hivi mnamuongelea papa au nyangumi?
 
Hapa umechanganya madesa wana uzito kati ya kilo 600 hadi 2000 hii ni tani 2 sio 20..

Nimekumbuka movie ya USS Indianapolis.
Papa wapo wa aina tofauti tofauti, yupo anayefikia uzito huo, anaitwa Whale Shark , ndio jamii ya papa wanaokula mimea bahari(plankton) na kufanya filter feeding kama Nyangumi.

Na kwa nchi yetu hii, Tanzania, whale sharks wanapatikana kwa wingi huko kisiwa cha Mafia.
 
At first, I thought the thread is about pope Francis🤣

Jamani ni samaki papa.

Thanks for sharing this
 
Dah tani 20 uyo papa wa aina gani, papa hasa wanaenda adi tani 4-5,
 
Back
Top Bottom