Usiyoyajua kuhusu Che Guevera

Yap alifika hadi Ilala kuna mgahawa pale aliwahi kugonga menu mara nyingi tu
Hehehe!ila alifika kwa mondlane hapo mikocheni beach,kama unaingia azura gym...ndani huko kulia kuna Nyumba ambayo mondlane aliuwawa.....
Cheguevara alionekana usiku mnene akitia timu hapo....ishu hyo nlimegewa na Mzee mmoja aliyekuwa anaishi jirani yke....ambapo wakati huo baada ya Tukio la kuuwawa mondlane Mzee wake alichukuliwa naye kwa mahojiano

Ova
 
Shukran sana
 
ukiona nyumba imesimama vizuri ujue kunamsingi imara uliojengwa kabla, ujasiri, misimamo mikali na kujiamini kwa che guevara kumetokana na nature ya watu wa taifa lake la argentina, si watu wabinafsi, hawapendi kuona mtu au kikundi cha watu kikinyanyasa watu wengine, wazalendo, wanapenda usawa katika jamii.

kwaiyo spirit hiyo haikuanzia kwake kulikua na watu kama juan jose casteli, manuel belgrano, william brown na carlos maria de alvear, waliongoza mapambano dhidi ya spanish collonial rule 1810 na hatimaye argentina inakuja kupata uhuru 1816 na hawakuishia apo mapambano yaliendelea adi katika nchi za chile, uruguay na paraguay kuhakikisha nazo zinakua huru na kujitawala. amezaliwa kwenye taifa la wanamapinduzi, amekua kwa wanamapinduzi thats why na yeye ni muumini wa mapinduzi.
 
Aisee kuna baadhi ya binadamu wanaumea kwa sababu ya maisha duni wanayoishi wengine

kuna watu wanaandika majina yao vizuri kama CHE GUEVARA na wengine wanaandika majina yao vibaya kama HITLER
Hitller alikuwa mtu safi asee
 
Hiii kauli ya cini ina maana kubwa.
 
[emoji24][emoji24][emoji24]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…