Usiyoyajua kuhusu CHADEMA

Usiyoyajua kuhusu CHADEMA

Katitima

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2013
Posts
631
Reaction score
122
Leo nimeona nilete vijimambo japo kwa uchache tu kuhusiana na hiki CHAMA CHA USHIRIKA CHA WATU WA KASKAZINI.

baadhi ya mambo hayo ambayo naamini wengi wenu ama hamyajui au mnayajua ila mnaumia ndani kwa ndani ni pamoja na;

1.USIHOJI MAAMUZI YA MWENYEKITI (MBOWE) NA HURUHUSHWI KUGOMBEA NAFASI YAKE.

2.HUTAKIWI KUHOJI MAPATO NA MATUMIZI YA CHAMA.

3.UWE TAYARI KUJITOA MHANGA KWA MASLAHI YA WACHACHE (NA HASA VIONGOZI WA JUU)

4.DEMOKRASIA YA CHAMA NI "CENTRALIZED"(TOPDOWN SYSTEM) i.e wafuasi hawana maamuzi ila ni kupokea tu kutoka juu.

5.NI CHAMA AMBACHO HAKINA MPANGO WA KUJENGA HATA OFISI WILAYANI ILA VIONGOZI HUFANYA UFISADI KWA KUANZISHA 'OPERATIONS' KAMA VILE 'OPERATION CHOPA' NA NYINGI NYINGINE ILI WAJILIPE POSHO ZA KUTOSHA.

6.MICHANGO YA CHAMA IWE AMA KWA MICHANGO MIKUBWA AU KWA HARAMBEE ZINAZOIBUKA GHAFLA KAMA UYOGA MIKUTANONI HULIWA NA WAJANJA WACHACHE.

SOURCE;SOMEBODY IN JF.

my take;CHANGIA KWA HOJA NA SI KUTOKWA NA POVU.

NAWASILISHA WAKUU.
 
Yale yale ...... Hebu jibu hoja za OPD maana hayo makelele yalikuwa ni mateke ya mwisho wakati masalia wanakufa!
 
Napa ni opd nchi inamka ubaguzi wako kawaambukize wakabaguane mamako na nbaba yako kwa kuzaa mtotot si riziki kama wewe
 
Pole maumivu makali M4C Pamoja Daima itaondoka na wengi msongo wa mawazo utawauwa tunangojea jioni mafuriko ya wananchi kwenye Pamoja Daima endelea kusugua ma.kalio kwenye kiti ndugu
 
Leo nimeona nilete vijimambo japo kwa uchache tu kuhusiana na hiki CHAMA CHA USHIRIKA CHA WATU WA KASKAZINI.

baadhi ya mambo hayo ambayo naamini wengi wenu ama hamyajui au mnayajua ila mnaumia ndani kwa ndani ni pamoja na;

1.USIHOJI MAAMUZI YA MWENYEKITI (MBOWE) NA HURUHUSHWI KUGOMBEA NAFASI YAKE.

2.HUTAKIWI KUHOJI MAPATO NA MATUMIZI YA CHAMA.

3.UWE TAYARI KUJITOA MHANGA KWA MASLAHI YA WACHACHE (NA HASA VIONGOZI WA JUU)

4.DEMOKRASIA YA CHAMA NI "CENTRALIZED"(TOPDOWN SYSTEM) i.e wafuasi hawana maamuzi ila ni kupokea tu kutoka juu.

5.NI CHAMA AMBACHO HAKINA MPANGO WA KUJENGA HATA OFISI WILAYANI ILA VIONGOZI HUFANYA UFISADI KWA KUANZISHA 'OPERATIONS' KAMA VILE 'OPERATION CHOPA' NA NYINGI NYINGINE ILI WAJILIPE POSHO ZA KUTOSHA.

6.MICHANGO YA CHAMA IWE AMA KWA MICHANGO MIKUBWA AU KWA HARAMBEE ZINAZOIBUKA GHAFLA KAMA UYOGA MIKUTANONI HULIWA NA WAJANJA WACHACHE.

SOURCE;SOMEBODY IN JF.

my take;CHANGIA KWA HOJA NA SI KUTOKWA NA POVU.

NAWASILISHA WAKUU.
Ulipo utakuwa unaona aibu, wala hatutaomba mods "waifute" wala kuipa hadhi ya "moved"

M4C Pamoja Daima
 
mtoa mada lazima ulikuwa huna la kufanya ukaamua kuweka hapa upuuzi kama huu. Ucwe mvivu wa kufikiria
 
Hivi CCM walishawahi kufanya uchaguzi wa Mwenyekiti lini?? Kumbukumbu zangu zinaonyesha Rais akichaguliwa anarithishwa mikoba ya Uwenyekiti ................ toka Nyerere alipomkabidhi Mwinyi 1989. Kwa ujumla CCM hakuna uchaguzi wa viongozi kwenye ngazi ya Kitaifa. Ndiyo maana huwa wanaparuana sana kwenye uchaguzi wa Rais ............... maana baada ya hapo uwenyekiti unaupata kwenye silvar plate .................na ndiye anayechagua Makamu wake anayemtaka, Katibu anayemtaka yeye na CC nzima. Halafu bado mnataka tukubali kuwa CCM kuna demokrasia. Kama tusingekuwa maskini wa kutupwa tungekuwa kama Korea au Cuba!!
 
Simply pumba tupu


leo nimeona nilete vijimambo japo kwa uchache tu kuhusiana na hiki chama cha ushirika cha watu wa kaskazini.

Baadhi ya mambo hayo ambayo naamini wengi wenu ama hamyajui au mnayajua ila mnaumia ndani kwa ndani ni pamoja na;

1.usihoji maamuzi ya mwenyekiti (mbowe) na huruhushwi kugombea nafasi yake.

2.hutakiwi kuhoji mapato na matumizi ya chama.

3.uwe tayari kujitoa mhanga kwa maslahi ya wachache (na hasa viongozi wa juu)

4.demokrasia ya chama ni "centralized"(topdown system) i.e wafuasi hawana maamuzi ila ni kupokea tu kutoka juu.

5.ni chama ambacho hakina mpango wa kujenga hata ofisi wilayani ila viongozi hufanya ufisadi kwa kuanzisha 'operations' kama vile 'operation chopa' na nyingi nyingine ili wajilipe posho za kutosha.

6.michango ya chama iwe ama kwa michango mikubwa au kwa harambee zinazoibuka ghafla kama uyoga mikutanoni huliwa na wajanja wachache.

Source;somebody in jf.

My take;changia kwa hoja na si kutokwa na povu.

Nawasilisha wakuu.
 
Tatizo linalokubili ni kwamba hujafuata ushauri wa mwenyekiti wa magamba kwamba'mjiandae kisaikolojia'wewe unakuwa mbishi tu hatari yake ni kuwa unaweza poteza maisha kwa msongo wa mawazo ama shinikizo la damu,anyway B 7 yako ya leo kanunue panadol walau upunguze maumivu.
 
Hayo yote uliyotaja yawe kweli au si kweli Watanzania hayawaingii akilini,KITU WANANCHI WANACHOJUA NI NA WANA UHAKIKA KWA 100% NI KUWA CHADEMA HAKIJAWALETEA UMASKINI WATANZANIA,WANATAKA KUKITOA CHAMA KILICHOLETA UMASKINI KWA WA TZ!!!
 
Ulipo utakuwa unaona aibu, wala hatutaomba mods "waifute" wala kuipa hadhi ya "moved"

M4C Pamoja Daima
2Q==
Z
 
Sijawahi kusikia uchaguzi wa mwenyekiti wa taifa wa maccm . lkn sina sababu ya kujibu uzi huu, maana anayoyaandika sijui kayatoa wapi, ambako kumejaa watu wasio na fikra hata nusu kijiko cha chai,
Chama cha kikanda, huko songea,Njombe, Namtumbo, mbeya, Mpanda, Kigoma, Bukoba, nako ni Kaskazini?
 
nitasema ukweli hata kama ukweli unauma...ahahahaaa
 
sahihi kabisa, chama cha kifamilia hk wazaz ndo wanaamua ila nina wasiwas mods wataondoa hii thread mda c mref
 
Back
Top Bottom