Hehehe nyie mmemtandikia mwenzenu jamvi kumbe yuko humu humu hahaha warumi na team yako ni noumerrrrrrr...raha ya umbea msemwaji asiwepo ila huu ni wa grade 1 ...atakuja na account nyingine kujibu mapigo mda si mrefu subirini tu
Uwoya enzi izo bhana, mtoto alikuwa mtamu balaa, siku izi kawa kama housegirl
Haya binamu kifaa chako hcho nimekultea, sema anajua kuvaa kama Kim kardashian.
Bongo movie bongo movie bongo movies pyiuuuuuu....!
Napenda anavyoigiza ila tatizo ni Uwoya 'wanna-be'.....she used to look natural and very humble.....
Ila hajamfikiaa fulaniii
Ha ha ujumbe umefikaBinamu Leo nimekulaje kichambo, kuna mjinga mmoja kaja kuchafua hali ya hewa kwenye himaya yangu, nimempa anachostahili naona hajarud kama sio ban, halaf nahis atakuwa msanii yule maana povu limemtoka hatari, inabid safar hii nikakate health insurance.
Ila hajamfikiaa fulaniii
Huyo co natural kajikoboa zaman alikua mweuc mwangalien kwenye igizo la ITV Mweusi asijishaue hapa