Tena yakwetu ilikuwa inafanana rangi naya obamaLakini tuliwahi kuwa na vitu kama hivi mkuu
tunaanza upya! We have a long way to go! Jiulize viko wapi sasa. Hivi vilikuwepo hata kabla hatujaanza kuchimba madini mengi na kuwa na gesi kama sasa. Jiulize Nyerere alimudu vipi tena tukiwa katika siasa hasa ya ujamaa na kujitegemea. Waliompokea sasa ndio wakaingia mnadani kuuza viwanda na mashirika ya umma kwa bei ya kutupa. Leo nchi zote zilizokuja kupata uhuru baada ya sisi zimetupita kwa mbali sana!
Vipi huwa unalipa ushuru unaotakiwa na kwa wakati. Achana na zile indirect cost nazungumzia direct cost.Mwenye picha ya pangaboi yetu please aniwekee hapa ili nione na sisi kumbe tumo
Hamia kwaoYa kwetu
Wenzetu!
Mkuu huyu ni muongoza ndege...hawa wanaitwa "Marshaller"....kazi yao ni kumuongoza rubani anapokuwa ametua chini.Huyu mtu hapa mbele na hivi vipangaboi anakuwa anafanyaje?wajuvi wa mambo tuambiane...Kazi ya huyu dada/kaka hapa mbele inakuwa ni nini?
View attachment 405049
Maana ana vipangaboi mkononi
Mwenye picha ya pangaboi yetu please aniwekee hapa ili nione na sisi kumbe tumo
Ethihad je?
Pangaboi nasikia linapiga kelele hatari
Ndio mkuu, Airbus A380 upande wa Business class juu ndani kupo hivyo. Hiyo ni counter ya Bar iliyopo upande wa Mkiani.
Panga boi yetu imewashinda emirate mbali sana
Hivi hako kadege ketu kana facilities gani humo ndani? Au unakaa kama upo kwenye hiace KCMC to TOWN.