Usiulize maswali haya kwa mpenzi wako

Usiulize maswali haya kwa mpenzi wako

umewahi kuwa na wanaume wangapi... aaaaghhh.. hate this qn jaman
 
Yanaongeza imani. Imagine 27 years of age anasema wewe ni wa pili. Oh unaonekana upo juu
 
KWA JINA NAITADANFORD HAMISI
Kuna watu sijui niseme ni upeo Mdogo katika mahusiano au ndio kukariri.
Hawajui ata swali la kumuuliza mpenzi wake, kwa mfano mtu anakuuliza

1.Umenipenda au umenitamani?
Nikujidanganya tu hakuna tofauti ya kupenda na kutamani.

2. Uliwai kua na wapenzi wangapi?
Ivi unategemea mtu atakuambia ukweli idadi ya wanawake au wanaume aliotembea nao ili iweje.

3. Umenipendea nini?
Apa ndio nachekaga sana, apa unategwa kila utachomjibu kua nimekupenda kwa ajiri ya kitu fulan anakuuliza nikipata ajar kikikatka itakuaje.

4. Eti uliwai kuugua ugonjwa wowote WA dhinaa mpenzi?
Nani atakuambia ukweli kama aliwai kupata gono au pangusa.

5.Bikra ilitoka Lini na alikutoa nan?
Inakuaje mtu anataka kujua bikra ya mtu ilitoka lin ,na kunafaida gan kujua hili.

Na wewe weka swali LA kizushi uliloulizwa na mpenzi wako? hv mpenzi mimi na wazazi wako unampenda nani?
DANFORD PIUS HAMISI A.K.A YOUNG WEEZY
frank madiwa,baraka hamisi
 
KWA JINA NAITWA DANFORD HAMISI
Kuna watu sijui niseme ni upeo Mdogo katika mahusiano au ndio kukariri.
Hawajui ata swali la kumuuliza mpenzi wake, kwa mfano mtu anakuuliza

1.Umenipenda au umenitamani?
Nikujidanganya tu hakuna tofauti ya kupenda na kutamani.

2. Uliwai kua na wapenzi wangapi?
Ivi unategemea mtu atakuambia ukweli idadi ya wanawake au wanaume aliotembea nao ili iweje.

3. Umenipendea nini?
Apa ndio nachekaga sana, apa unategwa kila utachomjibu kua nimekupenda kwa ajiri ya kitu fulan anakuuliza nikipata ajar kikikatka itakuaje.

4. Eti uliwai kuugua ugonjwa wowote WA dhinaa mpenzi?
Nani atakuambia ukweli kama aliwai kupata gono au pangusa.

5.Bikra ilitoka Lini na alikutoa nan?
Inakuaje mtu anataka kujua bikra ya mtu ilitoka lin ,na kunafaida gan kujua hili.

Na wewe weka swali LA kizushi uliloulizwa na mpenzi wako? hv mpenzi mimi na wazazi wako unampenda nani?
DANFORD PIUS HAMISI A.K.A YOUNG WEEZY
frank madiwa,baraka hamisi
 
Mwanamke atakuambia amekuwa na mwanaume mmoja tu kabla yako coz hukumkuta na bikra by the way umeanza mapenzi na binti akiwa na umri wa miaka kumi huko msingi wote mkiwa child then hakuwa na bikra haitokusukbua kweli wewe na kutaka kujua ilitolewa na nani kwa umri huo
 
Maswali mzuri tu hayo mfano anakudanganya then unakuja jua ukwrli unadhani tena mapenzi yatakuwepo tena
 
Embu niambieni ukweli wadau hivi ukiwa unachati na mpenzi wako tena kwa muda mrefu, yaani mpaka maneno ya maana yanawaishia, hivi mkiendelea kuchati unafikiri hamtuanza kuulizana maswali ya kijinga? kwanza mimi napenda kuwaambia kwamba mapenzi yenyewe ni ujinga, nakufanya mapenzi ni ujinga au nani anabisha kuhusu hili? ukitaka kuhakikisha hili embu mchunguze dada/kaka mrembo/mtanashati akiwa na mpenzi wake wanafanya vitu gani vya maana? si ujinga tu asilimia 90. sasa je kama mnafanya ujinga mara nyingi kuna ajabu gani kama mpenzi wako amekuuliza umevaa nini, rangi gani, tena wanaojifanya wanadisi wana lao jambo. Ukiwa na mpenzi wako akili, hekima na busara zinapungua kwa asilimia nyingi sana.:angry:
 
1.Kwanini uliachana na ex wako???(nasemaga aliolewa na mwarabu mwenzake si unajua waarabu hawapendi kujichanganya na waswahili?)
2.Utanioa??(over my dead body!!!ila nitakudanganyajeeeeeeee)
3.Gegedo lako Lina ukubwa gani???(kama pornstar,Mandingo,lt,:ukisema unaogopa kubwa nabadilisha ni wastani tuuuuu)
4.Tukiwa kitandani unapenda nini??(si Kulala jamaniiiii??)
5.Unapenda sexx??Sexx nafasi gani katika mahusiano yako??(unategemea nkwambie napenda unikimbia na sijakugonga??ntakwambia sipendi na haina nafasi kwangu)
6.unapenda nn katika mwili wangu/wa mwanamke(kama hamjui vile!tunapenda papuchi,vingine mbwembwe ila ntakwambia macho,lipz,miguu,south usijione a slut)
7.umenipendea nini??(hivi unataka kweli kusikia jibu la hili swali unalouliza ama??utaweza kuvumilia na kulichukua jibu??mi naonaga nsijibu tuu,koz ntaambulia mitusi pia engine ntawafanya wa-feel low n depressed.honestly nimekutongoza kwa ajili ya mgegedo tuuuu,haya umeridhika??
 
Ni kweli hautakiwi kumuuliza mpenzi wako maswali mengi, tena mimi naamini uongo umesaidia sana kujenga na kuimarisha mapenzi na na mahusiano, kwa maana ya kwamba unampata mpenzi kwakumficha baadhi ya siri zako nyingi, anakubali, pengine ungemwambia ukweli usingempata na kama ni mume/mke wako akikuambia ukweli kabisa kuhusu maisha yake ya zamani unaweza kuvunja ndoa yako, so mimi nashauri uwongo usiwe mwingi sana, na ukisema ukweli jitahidi uwe mkweli maana utaumbuka, mimi naamini asilimia 90 ya vijana wanaofanya dating wanadanganyana na mwishowe wanapendana kweli na hata kuoana, so uwongo ni kiungo cha mapenzi kubali au kataa, hata wewe unayesoma habari hii ni mangapi umemficha mpenzi wako? je unahisi kama ungemwambia ukweli ungekuwa naye mpaka sasa? haya maswali na mengine mengi utajibu mwenyewe na roho yako, usiku mwema.
 
Ni kweli hautakiwi kumuuliza mpenzi wako maswali mengi, tena mimi naamini uongo umesaidia sana kujenga na kuimarisha mapenzi na na mahusiano, kwa maana ya kwamba unampata mpenzi kwakumficha baadhi ya siri zako nyingi, anakubali, pengine ungemwambia ukweli usingempata na kama ni mume/mke wako akikuambia ukweli kabisa kuhusu maisha yake ya zamani unaweza kuvunja ndoa yako, so mimi nashauri uwongo usiwe mwingi sana, na ukisema ukweli jitahidi uwe mkweli maana utaumbuka, mimi naamini asilimia 90 ya vijana wanaofanya dating wanadanganyana na mwishowe wanapendana kweli na hata kuoana, so uwongo ni kiungo cha mapenzi kubali au kataa, hata wewe unayesoma habari hii ni mangapi umemficha mpenzi wako? je unahisi kama ungemwambia ukweli ungekuwa naye mpaka sasa? haya maswali na mengine mengi utajibu mwenyewe na roho yako, usiku mwema.

Umesema kweli na hasaaaa maana kama yatawekwa wazi mambo yaweza haribika jamani
 
Aaaah... Maswali yananibore aisee! Yaliyopita yapite tu tugange yajayo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom