Usithubutu kusomesha rafiki wa kike (Mpenzi)


Hii ni kweli kabisa na nina ushahidi,bora umsomeshe wakati umeshamuoa.
 
Kuna rafiki yangu yamemkuta!pia mimi nlikuwa na galfrd alikuwa anafanya kazi benki nlishawahi kumlipia ada ya mitihani ya bodi ya bankers,kilichofua ni historia!

Ukamuweka wazi kwa paparazi,...pole mkuu.
 
Hilo ni kosa Kubwa kusomesha mwanamke kwakutarajia utakuja kumuoa kwani wanawake wengi ni drama na asiyeamini afuatilie walio hoa kwa style hyo maana ndo nyingi zimevunjika
 
endeleeni kuwasomesha mkija kulialia tunawacheka ujinga
 
Me nasoma chuo flani nimepanga mtaani,nilipopanga tupo wanafunzi wengi tu,kuna dada mmoja anasomeshwa na jamaa mmoja ni mfanyakazi,huyo dada anovyogawa papuchi hovyo kama mama huruma!huwa namuhurumia sana jamaa akija kumtembelea natamani nimwambie tatizo sina mazoea nao!
 

Makubaliano yana matter sana. Kama c kumuoa aombe kusomeshwa co analeta uongo.
 
Ha ha ha menikumbusha rafik yang kampa ad mimba kujihakikishia ulinzi.....dem kajifungua man akampeleka shule alivomaliza tuuu akaanza vtimbi....ha ha ha ha
 

soma wewe acha umbeya kama me nenda na wewe ukamle hainaga makombo ati
 
angekuwa dada yako ungefurahi?

mnato wake,mtu mzima above 18 ,sasa kama kaamua kugawa nitamkataza?kila mtu ana uhuru wakuchagua maisha yake bana hebu nipm namba yake namie nikaoshe rungu yaelekia kifnyio chake kitamu hatari ndo maana wadau full kubanjua
 
mnato wake,mtu mzima above 18 ,sasa kama kaamua kugawa nitamkataza?kila mtu ana uhuru wakuchagua maisha yake bana hebu nipm namba yake namie nikaoshe rungu yaelekia kifnyio chake kitamu hatari ndo maana wadau full kubanjua

hahaha!usihofu mkuu
 
Naunga mkono hoja.
Oa kwanza ndio upeleke shule.

Sio usomeshe ili malipo yawe kukubali ndoa.
 
Naunga mkono hoja.
Oa kwanza ndio upeleke shule.

Sio usomeshe ili malipo yawe kukubali ndoa.

Hata matumizi pia tusitoe, maana ana wazazi. Tatizo twakosea mwanzoni kuonesha twawajari kwa kuwapa vihela, mtu akisema tu ana njaa afu kesho ana mtihani we unatuma hela, kesho yake sijalipa ada na nimekatazwa fanya mtihani unaona umlipie...... mwishoni ndo matatizoooo
 
mimi nina mdada yuko chuo. huja likizozote kwangu na kwao hunifahamu. tuna 4yrs ktk mapenzi. na tuna mpango wa kuja oana. ila nilisha mtangazia kuwa kila mtu asomeshwe kwao. sisi tukutane kimaisha.ila humpa poketi money kidogo. ila mapenzi yamepungua .anadai nimgalimie kila kitu.nimegoma kuwa sijamuoa. ata cm kapunguza.so ni darili mbaya. nangoja akija akija tu namjulisha mimi mapenzi siwezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…