Usithubutu kusomesha rafiki wa kike (Mpenzi)

mbona wao hawatusomeshi sisi wanapotupenda?? kumsomesha girlfriend ni sawa na kupanda karanga kwny udongo mfinyazi usitarajie utavuna. ukitaka kumsomesha girlfriend ww mpeleke "chuo cha biblia" huo ushauri wng "pastor"
 
Hayo yamewakuta wengi. Nataka pia niongeze kwamba, usithubutu kununua vitu vya kudumu mfano gauni, viatu, nk. eti apendeze. Mpeleke hotelini, bar, na aina nyingine za vyakula na vinywaji. Hivi havina kumbukumbu, akishakwenda chooni ndo basi.

Kweli wote sita niliowafahamu wamesomesha GF...Nimeona wamebaki na manyoa tu...wadada wameishilia kuolewa na watu wengine....
Ukwel utabaki kuwa ukweli tu...Kusomesha siyo kaz ndogo hata kidogo .....mtu unafanya vyote for love ili mwenzio naye awe na elimu at Least ndani muwe na lugha moja ya kuelewana..Lakini mwisho wa siku akimaliza shule na kupata kaz nzuri ujipange kulizwa...Yaan kama umeamua kusomesha somesha bt jipange tu kwa lolote muda wowote....
Iv nyie wanaume hamjui siku hizi wayu hawana utu??
 
Fadhila hazilipwi duniani. We jitolee kusomesha hata ukiachwa solemba
 
Great thinker katika ubora wake,you have seen it in a new perspective!
 




hata mke usisomeshe jamani waliosoma hawafai kuoa jaman chukua fursa standard seven 'E' maana D wooote walienda form one
 




huyo mwanamke nipe namba yake nitamlipia hela ya masters kama ofa ni jasiri sana na anafaa kuwa mgombea uraias 2015 octoba
 

Ni ukweli usiopingika
 
Wengi wao wabinafsi utasikia nataka nijitegemeee, mara nataka niwe na uwezo wa kufanya mambo yangu. Hapo pote anatumia hela isiyo yake ila anataka hiyo hela imuwezeshe kufanya mambo yake.
Mara oooh sitaki mtegemea mwanadamu mwenzangu, ukishasikia hayo andaa maumivu. Mara nyingi tuangalie na familia wanazotoka
 

Hii ni kweli niliambiwa hvyo miezi kama miwili tangia niwe nae nikapiga na makazi nikahamishia kwa mwingine wanawake wasomi siyo wanakuwa na jeuri na ukijifanya mjanja utatunza watoto wasio wako!
 

Nmekupata bandua bandua, mzee wa kuwekeza katika mbunye
 

Wanawake ni viumbe hatari sana kwa kweli, never trust them 100%!
 
mbona wao hawatusomeshi sisi wanapotupenda?? kumsomesha girlfriend ni sawa na kupanda karanga kwny udongo mfinyazi usitarajie utavuna. ukitaka kumsomesha girlfriend ww mpeleke "chuo cha biblia" huo ushauri wng "pastor"

Teh teh teh punguza jazba mkuu, tatizo ni salio likiwepo somesha tu utabarikiwa
 
Naunga mkono hoja...huwa nasema acha maskini apende maskini mwenzake,usimsaidie maskini kwa makubaliano yakupata return hata kama wewe niwa kwanza,wakipata exposure huwa wanasahau wema wote na makubaliano yenu..
 
hivi unaanzaje kusomesha girlfriend?ina mana ndugu zako wote wameisha kusomesha huko kwenye ukoo wenu..
kwa akili hiyo wacha tu muendelee kuchapiwa.
 
Hadithi za mitaani na za kimalezi zimefanya mahusiani kuwa magumu sana .......!!
 
Kwanini umsomeshe??? Je wewe ni mzazi wake au ni ndugu yake wa damu???? Hapo kama sio ndugu wa damu na sio NGO ya watoto wenye shida achana nayo kabisa yani hao viumbe ni stress tupu wakuu
 
teh teh
nacheka ila sio mazuri

wengi wanaosomesha means umri umeenda kidogo, bibie akishasoma sasa kapata kazi cjui bandari huko, au pengine popote si anakutana na kijana mwenzie elimu zinaendana, ahaaa kupigwa chini lazima.

Ukiuliza unaambiwa mzee wangu nae anasumbua, mara ooh yule babu si ajifie tu nile bata yapo yanatokea na tunaona
 

mi nataka kusomesha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…