Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,377
1.Mie mtu wa Mbeya, wanyaki hawa ni rahisi sana kuwapata ila hata upekeche usiku na asubuhi bado ujue kuna wenzako wanakula mzigo.
2.watoto wa mama mnyakyusa wengi hulelewa na mama peke yake maana ndoa hua hazifungwi na zikifungwa basi hazidumu .
3.mkiwa out ama mnatembea mkakutana na mtu na utambulishwe kwamba ni kaka au shemeji jua tu huyo anakula au alishakula mzigo hapo
All in all kwa Mbeya kuna wanyaki, wanyiha, Wasafwa na makabila yaliyohamia mbeya kwa wingi kama wakinga na wabena kwangu mie mzaliwa wa hapa mbeya naona wabena wapo safi sana endapo wewe kama mwanaume utampenda kwa dhati, ni watu wanyenyekevu, wachangamshi, na waaminifu kwa wapenzi wao wa kiume
2.watoto wa mama mnyakyusa wengi hulelewa na mama peke yake maana ndoa hua hazifungwi na zikifungwa basi hazidumu .
3.mkiwa out ama mnatembea mkakutana na mtu na utambulishwe kwamba ni kaka au shemeji jua tu huyo anakula au alishakula mzigo hapo
All in all kwa Mbeya kuna wanyaki, wanyiha, Wasafwa na makabila yaliyohamia mbeya kwa wingi kama wakinga na wabena kwangu mie mzaliwa wa hapa mbeya naona wabena wapo safi sana endapo wewe kama mwanaume utampenda kwa dhati, ni watu wanyenyekevu, wachangamshi, na waaminifu kwa wapenzi wao wa kiume