Usithubutu Kumpoteza Mwanamke/mpenzi Wa Kinyakyusa

Kwa bahati ikatokea umepata mchumba/mke wa kinyakyusa. Usifikirie kumuacha maana ni watu wanajibidisha kutafuta pesa, pia kitandani wapo vizuri. Kasoro wana sura ngumu sana.
"Sura ngumu" kivipi, kwamba hako kakibamia kanahitaji kusindikizwa na kidole, au? Teh teh.
 
- Great mind discuss ideas,
- Common mind discuss events,
- Simple mind discuss people.
.......Karl Godats.
 

Kweli ni wachakarikaji na wanapenda kujitegemea, tatizo ni wanajifanya wababe na kutawala wanaume, na hilo la mabwana alafu wanajifanya ni kaka zake ndio balaa zaidi mm nimemwacha mmoja juzi tu hapa kwa swaga hizo za unamkuta katoka na bwana afu anakutambulisha ni kaka yake hawafai kabisa.
 
Hahaha...duuhh mpare alikuona hufai kbs yan anapigwa mbele yako?
 
Sio wanajifanya, ndio walivyo hawataki ubabaishaji. Ungekuwa mwanaume unaempenda labda mngekuwa mmesogea hatua nyingine ya huo uhusiano. Mwache na kaka zake wivu tu
 
Huna lolote mchonganishi mkubwaaa!!
 
Is this English or something else can you rewrite so that we can understand ,
We ni kaka au Dada...nimechekaa mpaka nimekuaa ile ni Latin language a dead language ..duu au jamaa anatania??
 
Tatizo nikikusifia mbichwa unavimbaaaaa unaanza kutongoza kila anayepita, ndio maana nakuacha tu.
Yani ungejua kwa kiasi gani nakupenda wala usingethubutu kusema hivyo
 
Wanyakyusaaaa!!!ni kabla no.Moja kwa ukarimuu Tanzania sema hawapendi madharau...mwanamkee Wa kinyakyusaa akikupendaa hata kodi atalipaa yeyee ila ukijifanya hamnazo mfano mlevi mvivu..mhuni haaa haaa utahama nyumba..heshima ndo anachopendaa woote mbaiwaponda wanyakyusaa hamuwajui..au ndo ile kugeneralize kwa mmoja wawili ambapo kwa makabilaa yoote mtakuita izo kasoroo...sifaa za wanyakyusaa...ukifiwaa wataubeba msiba wakoo utafarijiwaa wewe nakwambia ulizieni...ukizaa mtoto jamani utaletewa kila aina ya Chakula kwenye maharagwe mahindi mchele unga ilimradi kumjaribishaa mgeni..sasa mnaraka wawejee ukiwazingua obviously watakuzingua ila ukienda nae sambamba utaenjoy kama UPo heden...hata wanyakyusaa wakikutana ugenini au nchi nyingine lazima waunde umoha Na kuigeuza Tukuyu sehemu ile Na wakarimu Wa wageni au wenyeji watakaowakuta....ila sema kinginee Wameumbikaa jamani wamefungashaaa!!kwenye sura nzuri wakoo Na ya wastan wapooo....kwanza Mkoa wao full of foods..Shida ya ni ninii wametoka kwenye Neema!! Imbaragaa matokee mambatata....Wanyakyusaa thumb up!!!!!
 
Ndaga fijooooo gwamyitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…