Usithubutu Kumpoteza Mwanamke/mpenzi Wa Kinyakyusa

Usithubutu Kumpoteza Mwanamke/mpenzi Wa Kinyakyusa

Teh teh..Douta anajielewa..We si unaona Mume wake hayupo now lakini still ametulia tu wala hana papara..We ile collabo yako na yule bazazi sumbai ndo ilikuharibia..Sina imani na ww..Nyie ni mnaopiga na kukimbia
Hahaaa ila kweli ile collabo na kina sumbai ilinitoa kwenye mstari kabisa, hadi douta wako akanichana live, nahisi hata cute b alinikimbia sababu hiyo hiyo
 
Teh teh..Douta anajielewa..We si unaona Mume wake hayupo now lakini still ametulia tu wala hana papara..We ile collabo yako na yule bazazi sumbai ndo ilikuharibia..Sina imani na ww..Nyie ni mnaopiga na kukimbia
Hahaaa ila kweli ile collabo na kina sumbai ilinitoa kwenye mstari kabisa, hadi douta wako akanichana live, nahisi hata cute b alinikimbia sababu hiyo hiyo
Nikikumbuka hilo swala daah, naona kama dunia inasimama..

Ashukuriwe douta wako, aliinusuru hii ndoa yangu...maaana daaah.

Paka mke kaisusaa jf
 
mito mnaangalia sura ndo maana mnapata shida kwenye ndoa zenu.Angalieni tabia na akili pia....sio kisa mwanaume mzuri basi akuoe hata kama halina akili.😉Mie kwa kweli nmeacha kuangaliaga sura siku nyingiiiii
 
Hivi hii kitu ni kweli kumbe eeh, mi nikajua watu wanawatania tu!! aisee basi wapunguze kuzaliana wao kwa wao bana
Hahaha miili kwa ajili ya kupiga kazi za kwenye mashamba ya mpunga. hivi unadhani biashara zetu za mpunga zinataka mashauzi?
 
Na kweli mkuu, yaani huyu douta wako umemfunza adabu kweli kweli, ujue ndo maana nilitaka nimlee me. sasa daddy na mwenyewe hamtaki mitala, haya shauriyo ngoja mabazazi waje kumharibu mkose bara na pwani

Hahaa maombi yako yameshindwa

Teh teh..Douta anajielewa..We si unaona Mume wake hayupo now lakini still ametulia tu wala hana papara..We ile collabo yako na yule bazazi sumbai ndo ilikuharibia..Sina imani na ww..Nyie ni mnaopiga na kukimbia

Mabazazi hawa walitaka kuniharibia mnyaki wa watu teh teh
Hahaaa ila kweli ile collabo na kina sumbai ilinitoa kwenye mstari kabisa, hadi douta wako akanichana live, nahisi hata cute b alinikimbia sababu hiyo hiyo

Yani nusu niku-disqualify uhubby material
Nikikumbuka hilo swala daah, naona kama dunia inasimama..

Ashukuriwe douta wako, aliinusuru hii ndoa yangu...maaana daaah.

Paka mke kaisusaa jf
Teh ndo uache ubazazi, mwaka mpya huu
 
Ila mko watamu kweli, nimewahi pata wawili mida tofaiti, mmoja chocolate alafu pale kati pamebalansi kila kitu! Kitu kinabana kwa wastani, kina joto kwa mbali, kina ubichi wa mbali, yaani kei ilinipagawisha balaa! Alafu pia nilipataga mwingine ila yee mweupe kama mrangi vile, nae vile vile!
Pia kwa mimi niliinjoi sababu wanakuacha unakuwa mwanaume, wao wanakuwa PASSIVE!
Tatizo kila mwanaume shemeji!
Hahaha mshkaji unatusifia afu humo humo unaponda daah haya bana
 
mito mnaangalia sura ndo maana mnapata shida kwenye ndoa zenu.Angalieni tabia na akili pia....sio kisa mwanaume mzuri basi akuoe hata kama halina akili.😉Mie kwa kweli nmeacha kuangaliaga sura siku nyingiiiii
Mmh haya bana!! ila hapo kwenye akili umenena point, kuna wanaume kichwani ni hewa kabisaaa
 
Hahaha miili kwa ajili ya kupiga kazi za kwenye mashamba ya mpunga. hivi unadhani biashara zetu za mpunga zinataka mashauzi?
Hivi huko mashambani wanaendaga wamama tu? I mean wanaume hawaendi? coz nimesikia humu wadau wanasema wamama ndo watafutaji
 
Kwa wanyakyusa usithubutu kuwa na demu wa ukoo wa manyafu

Wewe unajifanya mchungaji lakini una imani za kishirikina;nyie ndio mnaingia uchungaji kwa sababu ya njaa na sio wito wa kumtumikia MUNGU!!
 
Hivi huko mashambani wanaendaga wamama tu? I mean wanaume hawaendi? coz nimesikia humu wadau wanasema wamama ndo watafutaji
Hahaha wote tunasaka hela, ila wanawake tumebase mashambani zaidi
 
Nikikumbuka hilo swala daah, naona kama dunia inasimama..

Ashukuriwe douta wako, aliinusuru hii ndoa yangu...maaana daaah.

Paka mke kaisusaa jf
Teh teh..Ukome kijana..namuomba asuse na kukupa unyumba kabisa
 
Duh aiseeee, we noma!! mkuu imekuwaje ukaja na conclusion hii?
Mi navojua wanyaki ni mojawapo ya makabila yanayojua ukabila kweli kweli, I mean hata kwenye mambo ya relationships wanapenda waoane wao kwa wao. Hii inapelekea mzunguko wa genes kubaki zile zile kizazi hadi kizazi, na kufanya community yao kufanana kwa kiwango kikubwa.

Kama lisemwalo ni kweli, basi kuna haja ya kuwashauri wapunguze kuzaliana wao kwa wao, changanyeni damu msiwe homogenous community kama wahutu au watusi. So wadau Heaven Sent, brenda18, miss strong na wengine ichukulieni hii positively mhifanyie kazi kama ina mashiko anyway, kamateni wachumba makabila mengine kujenga sura za wanenu. Mi ningekuwa Ke akyanani pamoja na kuangalia me kwenye promising future ningeangalia pia sura bana, for the betterment of my kids. Kusema hakuna me mbaya ni kuidanganya nafsi ilihali macho yanaona tofauti ipo, tena kubwa tu.

Sista atoto vipi Kaboom wako ana uhendisamu japo kidogo? au umefuata hela tu hamna kitu....teh teh!!
Ni mwendo wa ku-dilute ubaya, nasikia ndio sababu ya wadada kutaka kuzaa na wazungu.
 
Ni mwendo wa ku-dilute ubaya, nasikia ndio sababu ya wadada kutaka kuzaa na wazungu.
Yap yap yap, lazima sura ngumu iwe diluted, watoto wasije wakakulaumu bure!! hata humu JF kuna baadhi huwa walaani washua wao kuoa mke mwenye sura chachu (kumbuka ni mamake tayari) wakati mdingi alikuwa na fweza ya kutosha tu kuweka ndani chombo cha maana, teh teh
 
Yap yap yap, lazima sura ngumu iwe diluted, watoto wasije wakakulaumu bure!! hata humu JF kuna baadhi huwa walaani washua wao kuoa mke mwenye sura chachu (kumbuka ni mamake tayari) wakati mdingi alikuwa na fweza ya kutosha tu kuweka ndani chombo cha maana, teh teh
Wabantu wengi sura nzito, angetafuta mama mrembo lkn toto akatoka kamkopi baba pia... damu zao kali.
 
Kila kabila lina uzuri na ubaya wake na yote in kwa sababu tuna mila na tamaduni tofauti ,so kama umeamua kuoa au kuolewa na kabila tofauti na lako uvumilivu in muhimu otherwise ungeoa/kuolewa kwnu.
 
Duh aiseeee, we noma!! mkuu imekuwaje ukaja na conclusion hii?
Mi navojua wanyaki ni mojawapo ya makabila yanayojua ukabila kweli kweli, I mean hata kwenye mambo ya relationships wanapenda waoane wao kwa wao. Hii inapelekea mzunguko wa genes kubaki zile zile kizazi hadi kizazi, na kufanya community yao kufanana kwa kiwango kikubwa.

Kama lisemwalo ni kweli, basi kuna haja ya kuwashauri wapunguze kuzaliana wao kwa wao, changanyeni damu msiwe homogenous community kama wahutu au watusi. So wadau Heaven Sent, brenda18, miss strong na wengine ichukulieni hii positively mhifanyie kazi kama ina mashiko anyway, kamateni wachumba makabila mengine kujenga sura za wanenu. Mi ningekuwa Ke akyanani pamoja na kuangalia me kwenye promising future ningeangalia pia sura bana, for the betterment of my kids. Kusema hakuna me mbaya ni kuidanganya nafsi ilihali macho yanaona tofauti ipo, tena kubwa tu.

Sista atoto vipi Kaboom wako ana uhendisamu japo kidogo? au umefuata hela tu hamna kitu....teh teh!!
Hahahaha huuu ushauri naukubali kabla hata hujanishauri....
Nikishajua we ni mnyakyusa nakimbia fasta...
Mimi ni mnyaki lakini sitopenda niolewe na mnyaki...hayo mambo yalikua zamani kaka angu..
 
Back
Top Bottom