miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,011
- 3,708
Ha ha ha nipo proud kuwa Mnyakyusa
Hahahaa eeh yamekukuta...Hata unipe mnyakyusa bure na mahitaji ya bure mwaka mzima siwataki hata kuwaona ni wa binafsi mbaya na niwatu wenye roho mbaya wanafiki wajuaji wanataka wawe juu ya mwanaume yani ni shida tupu!!!
Aiseeeeee!!!!!Pole sana mkuu.Khaa!! Wewe si bure, unahitaji upimwe ghorofani kwako :glasses-nerdy:
Ha ha ha nipo proud kuwa Mnyakyusa
Unauliza....unajijibu.Kazi ipo aisee.Hivi ulisha graduate bibie?? Nimekumbuka zile habari zako na lecturer..! Dah.., hakukulamba kweli?
Hahahahaaa. Sawa.Unauliza....unajijibu.Kazi ipo aisee.
Poa....jitahidi kuuliza maswali ya msingi.Anyway niligraduateHahahahaaa. Sawa.
A mnyakyusa woman. very enterprising hard work. very many words like mzaramo. hut not very good it give neighbour her household in private parts
not trustful enough.
Hivi hicho ni kingereza au maneno ya kingereza?ha ha ha 😉Duuuuuuh! Mkuu nimependa kingereza chako !!!!!!!
Sijaona kama mtoa mada amekosea kusema, yeye ameona hivyo hao makahaba na wengine waanzishie thread yao.Kweli kampeni si mpaka baada ya miaka mitano tuuuu
Hata hii ni moja ya kampeni za uchaguzi wa wanandoa cha kusikitisha nadhani haxijaratibiwa na sijui kama ustawi wa jamii na wasajili wa vizazi na vifo wanalitambua..
Kama wanajibidisha kutafuta hera ujue sifa hiyo ikitumika mchaga na muha hawataachwa pembeniii
Na kama kigezo kitakua cha kuweza mambo kitandani mi nadha hapo MAKAHABA hatutowaacha pembeni. Kwani naamini wao hua wanaweza na kaxi yoyote inahitaji uzoefu,, siamini kama kuna bilogical factor kwambs mnyakyusa automatikali ameumbwa awe mtundu kitandani ila lupitia mazoezi kadhaa dheni aba adapt ndio anakua mzuri kitandani ambapo mi naamini hajamfikia KAHABA ambaye amefuzu kwa mazoezi
Kwa wanyakyusa usithubutu kuwa na demu wa ukoo wa manyafu
Dah.. Ulifanyaje kuwa mnyakyusa.. missHa ha ha nipo proud kuwa Mnyakyusa
Karibu tena kyela..Kyelaaa napakumbukaa.., patamu sana .. Mchepuko wangu upo Dar sasa..niliupata kwa tabu sana pale Kyela. Hadi leo tukikutana twakumbushia enzi..
Hahahaa huoni tunavyopondwa tu humu, walau tupo tunajifariji tufanyaje sasaMweeeh! Basi kama nawaona na Heaven Sent mabichwa yalivyowavimba.
Hahahaa huoni tunavyopondwa tu humu, walau tupo tunajifariji tufanyaje sasa