md4doctor2000
JF-Expert Member
- Jun 19, 2012
- 736
- 315
miss strong wewe ni mnyakyusa? ....just for curiosity, but I always admire you!
Last edited by a moderator:
hao ni wale wa kyela,lakini wa tukuyu mbona shwari.
uligwakukaja ugwe
Mpamenye fijho nndukwego.....Lupasyo
haa! Mwangalaba?? Ikhoombha mbombo jiliku? Khula bhalipo bha mwangalaba bhabhili??
bhaliko khula loli asamile itolo bhabha gwangu. Loli ikikolo kili ndukwego
Wasafwa;wandali;wamambwe na wengineo wote hao ni makabila madogo madogo Mbeya!
Wanyakusa HATUCHUKII kabila lolote TZ labda wao kama wanatuchikia sisi!
Unaposema makabila madogo unatumia kipimo gani? Mimi mimecheza nao mpira hapo mbeya wanachukiana sana tu hadi wasafwa wanaita wanyakyusa 'wahondya' na wanyakyusa mnawaitajeee vile nimesahau. Kuprove hiyo ni vigumu sana ukute hizo kabila kuoana.
Unakumbuka miaka ya 80's kuna ule msemo wa kanga Bora msafwa mchafu kuliko mnyakyu ma.laya?
Hapo naongelea population wise!Nyakyusa ina cover for almost 100% majimbo ya uchaguzi ya Rungwe;Busokela na Kyela then for some how wapo kila Wilaya inayobaki hapa Mkoani Mbeya hasa Chunya wanazidi sasa nusu ya wakazi wote!
Kalumbu gweto miss strong egigwe no njanga;ngokobhola sya naloli kikolo!!Ahahahahaha
ndipo pa kiiso kwa bhaluguru na abhapogolo
hahaaa! Etataa! Bammwegile kughu? Kumbwan pamo ulinagwe kukisu kya panja uko